Usicheke mura. Hii ni mbaya sana kuwatukana wakurya ati tunakunywa bombe na wanawake setu. Hii haiko na haitakuwebo kimwi.Hahaha
Usicheke mura. Hii ni mbaya sana kuwatukana wakurya ati tunakunywa bombe na wanawake setu. Hii haiko na haitakuwebo kimwi.Hahaha
Duuu hadi mtotoHaha FITA sio VITA
FITA NI FITA MURA HATA KAMA UNAPIGANA NA MTOTO
Wanaume wa DSM na Upungu ni damudamu
Kwahiyo mpaka saizi una-makovu mangapi mwilini?Mkiwasema wakurya mnaugusa mtima wangu. Nawapenda sana wanaume wa mara
Hahaha andaa kabisa na first aid kitNakuomba mdogo mtu
Mwembe basha,mto ngono,bonde matako hayo maeneo nahisi sio tanzania labda japan kwa kina kumamoto au takosafi huko japani







Basi umefikaYani hao wa tarime ndo wananiua wifi jamani.
Hahaha waangiree,wanawake kazi yao kwenda shamba kung'oa amalibwahUkawona wabi mwanamuke akinywa bombe (a marwa) na wanaume?? Kweri mnatuapisa kafisa. Harafu machitu yamejikaria yanafyotaka ati wanakunywa a marwa gha bamura! Kha!!! kha khaaaa!!
Hawa ni wahaya sio kwetu Tarime. Kure wanawake kasi yao ni kusombea machi ya moto tu kuweka humo. Ariyekaa kure mwisho ana wake 4 kwenda chuu. Akisikia kirio ati amefiwa anaurisa; Ni yubi?? Hawesi kukimbia nje kwani anajua wamebaki 3.
Kwa kweri ni aipu kupwa kunywa marwa na mawanawake. Naangire kimwi
Kwa ajili yako au yangu?Hahaha andaa kabisa na first aid kit
Nashukuru wifi. Mume wangu yuko wapi?Basi umefika
Nitajitahd sana nikatembelee Bukoba mwishoni mwa mwezi ujao!Bukoba lango la HIV Tanzania... Kuna mto unaitwa katerero.... Gesti za kule magodoro yana nylon ngumu kwa sababu ya huo mchezo... Huku ni lazima kuongea kiingereza kama alama ya usomi
Yangu tena?Ya kwakoKwa ajili yako au yangu?
Ucwaze nakuunganisha nae muyajengeNashukuru wifi. Mume wangu yuko wapi?

Utakua umefanya jambo jema wiiUcwaze nakuunganisha nae muyajenge![]()
Hujambo mama,
Hatari sanaHujambo mama,
JF,kina v2ko vingi sana!
Bro, umegusa pabaya!!! huku kanda ya kati hususani manyoni ni noma. hawana wivu. mtu na mkewe wanakwenda bar. Kutega chanel. ukimhusudu mke wake ukamtokea anakwambia mlipie yule pale, Wala Usijali wewe lipa. Bro. huyo dem unaenda kupiga nae shoo mpaka lukwili Wala hamna shida. hela unayompa asubuhi anawakilishiwa Mzee.JF Manda ya Ziwa mbona kimya sana? Kanda ya kati je? Nyanda za juu kusini? Hebu kujeni acheni noma zenyu hizio... Au huko sio mikoani?
!!!
Bro, umegusa pabaya!!! huku kanda ya kati hususani manyoni ni noma. hawana wivu. mtu na mkewe wanakwenda bar. Kutega chanel. ukimhusudu mke wake ukamtokea anakwambia mlipie yule pale, Wala Usijali wewe lipa. Bro. huyo dem unaenda kupiga nae shoo mpaka lukwili Wala hamna shida. hela unayompa asubuhi anawakilishiwa Mzee.![]()
![]()
!!!
