Vituko mikoani

Vituko mikoani

e4c8140ce92e48d8dd1e6842bc701783.jpg


Mkoani si sawa na vijijini wajameni ...

1. Hakuna sehemu watu wamestaarabika kama mikoani maana ni mara chache kukuta vitu vya watu waliokosa kazi kama vigodoro mara sijui kuchambana..simply ustaarabu

2.hakuna sehemu zenye natural view poa na hali ya hewa nzuri kama mikoani.hivyo ukihitaji sehemu ya kupunguza stress then mkoani ni sehemu poa .

3. Chakula na bidhaa nyinginezo ukizitoa za viwandani ..hupatikana kwa bei nafuuu na maisha huku hayasubiri foleni ..hivyo kwa kiasi fulani ni stress free zone...

4.Magonjwa ya ajabu ajabu kama kipindupindu au upungufu wa nguvu fulani ni nadra kuyasikia pia kutokana na nature ya maisha...

5.huku ndo kuna wataalamu wa asili ambao watu wajanja huja kuogeshwa uchi huku wakililia masuala fulani ..sasa sijui mjanja anaekalishwa na mshamba nimuiteje

6.. huku ndipo wanapotokea waendeshaji wa dar maana wenyeji wameshakimbia na waliokulia huko wengi hawana ustahimilivu na maisha ndo maana wengi wamekuwa wateja badala ya wauzaji...

7. Watu waliopo karibu na mipaka ya nchi ni kawaida kusomesha watoto na kufanya shopping nchi jirani kwa mfano wana kagera wengi wanaijua kampala na kona zake kuliko hata dar na hata bidhaa za madukani kama nguo kwa kanda hii hutokea Uganda...

8. Vituko vya huku ni vituko kweli na kama ni ushirikina bhasi sio ule soft kama ulojo na kama matukio ya shoka ni shoka kweli la kiume...

All in all dar ni sehemu ya biashara hivyo pesa ni rahisi kiasi lakini mikoani ni sehemu ya kuishi vyema..nasubiri treni la magu lije ili nione watu wangapi watalala mikoani na kufanya biashara dsm ...
 
Aisee kwenye iisue ya Tanga kuongoza kwa waganga na wajanja wanaojifanya waganga ni pasua kichwa. Hasa kabila la wasambaa na wazigua. Nakumbuka enzi zile za giza kabla hata mambo ya kurikodi sauti hayajaenea kwa wengi kuna mshenzi mmoja msambaa kwa kabila aliwapukutisha watu wa uchagani kweli kweli. Huyo mshezi alikuwa na kibuyu chake kilichukuwa ''kinaongea'' kama mtoto mdogo anayejifunza kuongea kwa sauti ya kijini-jini hivi. Ukifika tu unaelezea shida yako halafu kibiyu kinaanza ''kufoka'' povu kama la bia lakini jeusi halafu kinakuagualia kwa kukueleza m'baya wako. Kama ni Mshana kinasema ''tio... tio.. ni shana... shana... loga loga'' (kikiwa na maana ya ndiyo ndiyo ni Mshana amekuloga.) Basi huyo mshenzi alikula vichwa vya wachaga wengi sana kwa hicho ''klijini'' chake. Baada ya mimi kukua na kutafakari ndio nikagundua kumbe alikuwa anaweka spika ndogo ndani ya kibuyu na kuunganisha waya wa kisiri siri kwa chini mpka kwenye chumba kingine karibu ambapo alikaa mwongeaji.
 
Aisee kwenye iisue ya Tanga kuongoza kwa waganga na wajanja wanaojifanya waganga ni pasua kichwa. Hasa kabila la wasambaa na wazigua. Nakumbuka enzi zile za giza kabla hata mambo ya kurikodi sauti hayajaenea kwa wengi kuna mshenzi mmoja msambaa kwa kabila aliwapukutisha watu wa uchagani kweli kweli. Huyo mshezi alikuwa na kibuyu chake kilichukuwa ''kinaongea'' kama mtoto mdogo anayejifunza kuongea kwa sauti ya kijini-jini hivi. Ukifika tu unaelezea shida yako halafu kibiyu kinaanza ''kufoka'' povu kama la bia lakini jeusi halafu kinakuagualia kwa kukueleza m'baya wako. Kama ni Mshana kinasema ''tio... tio.. ni shana... shana... loga loga'' (kikiwa na maana ya ndiyo ndiyo ni Mshana amekuloga.) Basi huyo mshenzi alikula vichwa vya wachaga wengi sana kwa hicho ''klijini'' chake. Baada ya mimi kukua na kutafakari ndio nikagundua kumbe alikuwa anaweka spika ndogo ndani ya kibuyu na kuunganisha waya wa kisiri siri kwa chini mpka kwenye chumba kingine karibu ambapo alikaa mwongeaji.
 
mikoani uku raha dem akitoka uko dar akifka uku kwanza tunam bandulia vichakani kama alama yakumkarbisha kesho unamkuta yeye mwenyewe anakusubir jirani na kakichaka
 
mikoani uku raha dem akitoka uko dar akifka uku kwanza tunam bandulia vichakani kama alama yakumkarbisha kesho unamkuta yeye mwenyewe anakusubir jirani na kakichaka
 
Back
Top Bottom