Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Itakuainawezekana mganga au mchawi wake ndio huyo huyo
Itakuainawezekana mganga au mchawi wake ndio huyo huyo
Siyo mkoa wa Mara kiujumla mkuu ni Wilaya ya Tarime tu ndo ina visa ivyo na ilo ni kabira la wakurya.. Mara kuna makabira mengi ila wakurya ndo wana visa ivyo hapo ulivyovitajaMkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao upendo huonyeshwa kwa vipigo... Ni mkoa pekee ambao karibu kila nyumba haikosi mtuhumiwa wa mauaji na ndio mkoa pekee wenye death rate kubwa kutokana na kuuana... Kule ni MURA VITA NI VITA MURA
Nadhani hii ni Njombe au LudewaKuna wakati hasa ule wa miezi ya tatu hivi ukiwa na sh 4000 we ni nusu mfalme, kipindi hicho ulanzi unauzwa sh 200 lita moja na sh 300 lita 2.
Basi bwana ukiwa na kiwango hicho cha pesa unaweza ng'oa mrembo mzuri kabisa na hapo hesabu za guest hazipigwi, ni mwendo wa kuingia kwenye mahindi marefu. Hapa watu wa Ulayasi, Mkiu, Masimbwe lazima wanielewe.

Hii ni kule kwetu kwenye mapangaView attachment 684546mahakama za vijijini
Sitaki uchokozi leo weekend ujue
Haha FITA sio VITAMkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao upendo huonyeshwa kwa vipigo... Ni mkoa pekee ambao karibu kila nyumba haikosi mtuhumiwa wa mauaji na ndio mkoa pekee wenye death rate kubwa kutokana na kuuana... Kule ni MURA VITA NI VITA MURA




Mkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao upendo huonyeshwa kwa vipigo... Ni mkoa pekee ambao karibu kila nyumba haikosi mtuhumiwa wa mauaji na ndio mkoa pekee wenye death rate kubwa kutokana na kuuana... Kule ni MURA VITA NI VITA MURA
Mkiwasema wakurya mnaugusa mtima wangu. Nawapenda sana wanaume wa maraHaha FITA sio VITA
FITA NI FITA MURA HATA KAMA UNAPIGANA NA MTOTO
Ahsante Mama..Mkiwasema wakurya mnaugusa mtima wangu. Nawapenda sana wanaume wa mara
Nimesahau au nimesamehewa?Ahsante Mama..
Umesahau dhambi zako enenda kwa aman
UmesamehewaNimesahau au nimesamehewa?
Nitakupa kaka anguMkiwasema wakurya mnaugusa mtima wangu. Nawapenda sana wanaume wa mara
Ni mkurya kaka yako wifi?Nitakupa kaka angu