luziiii
Member
- Jan 14, 2018
- 43
- 49
zinaitwa daruga
zinaitwa daruga
adam na hawa
Anglia wasije wakakupeleka mahakamaniMambo ya Tanga hayaView attachment 684578View attachment 684579popobawa original

Huo mdomo unaonesha ametukana lile tusi linaishia na you.
Huyu mwanaume wa Dar
Hayo maeneo ya Ludewa hayoNadhani hii ni Njombe au Ludewa![]()
Hahaha, acha uchochezi basiWa mikoani mkuje tucheke na mambo zenu za kukulana kwenye vichaka![]()
Hiyo inavaliwa wakati wa kwenda shamba, hata mvua inyeshe siku nzima utelezi haufui dafu hapo.Ahahahhaha
Aahhah eti ni kweli mnakula huko vichakaniHahaha, acha uchochezi basi
Sasa shamba ndio kanisani jamanHiyo inavaliwa wakati wa kwenda shamba, hata mvua inyeshe siku nzima utelezi haufui dafu hapo.
Tena tuanzie kanda ya ziwaMshana Jr huu uzi ungekuwa mtam Zaidi kama tungepita mkoa kwa mkoa
Huko ndio kuzuri sasa, full kiupepo,tofauti na huko dar, joto ni kali kiasi kwamba wakati wa kukulalana mnasikikia harufu ya mishkaki.Aahhah eti ni kweli mnakula huko vichakani
Hayo sasa ndio tunaita matumizi Mabaya ya rasilimali.Sasa shamba ndio kanisani jaman
Hiyo harufu ya mishkaki inatokea wapi tena na wadudu hamuwaogopi kabisaHuko ndio kuzuri sasa, full kiupepo,tofauti na huko dar, joto ni kali kiasi kwamba wakati wa kukulalana mnasikikia harufu ya mishkaki.
umechagua fungu jemaMkiwasema wakurya mnaugusa mtima wangu. Nawapenda sana wanaume wa mara
Hakika shemejiumechagua fungu jema