Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,381
Hata kwenye movie ya TEARS OF THE SUN yake BRUCE WILLIAMSMkuu hii sio kweli mbona movie ya will smith nilimuona mpaka mwisho wala hakufa mniga yule
Hata kwenye movie ya TEARS OF THE SUN yake BRUCE WILLIAMSMkuu hii sio kweli mbona movie ya will smith nilimuona mpaka mwisho wala hakufa mniga yule
Uongo upi kwa mfano?Hata zile zina uongo bwana
Kuna hiyo "Welcome to sudden death" Star aliua adui na kikopo cha coca, alimpiga kikopo cha uso dada chali hajaamka mpaka movie inaishaTena ya mguu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 au ngumi moja tu anazima jumla
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hivi ndio vitu sasa vinavyofanya tulalamike sio kama hatuna sababu ya msingi ya kulalamikaKuna hiyo "Welcome to sudden death" Star aliua adui na kikopo cha coca, alimpiga kikopo cha uso dada chali hajaamka mpaka movie inaisha
🤣 🤣 kina sharukani ndo zao hizo kila muvi!Unatembea zako njiani uko bize na simu. Ghafla unagongana na mdada aliebeba makorokoro kibao na yanaanguka chini (always huyu mdada lazima awe pisi kali). Anachuchumaa kuyaokota na wewe unamsaidia.
Wakati mnayaokota unamshika mkono.. anakuangalia usoni na wewe unamuangalia macho yanagongana... mnaangaliana kama dakika mbili halafu taratibu mnaanza kusogeleana mpaka midomo inakutana mnakiss, mvua inaanza kunyesha na kuanzia hapo mnakua wapenzi! Kesho yake mnaonekana mko beach mnakimbizana na kumwagiana maji....Life is so easy kwenye movies.😂😂
🤣🤣🤣Na unakuta dakika mbili zilizopita huyo adui (ambae ni muuaji wa kutisha) alikutana na huyo mpenzi wa staring kwenye ngazi, akampiga ila hamuui anamuacha amelala hapo na bastola ipo pembeni ndio anamfata staring. 🤣🤣🤣 Jamaa wanatuona maboya sana
Star hata apigwe risasi hua hafi anaweza chezea kichapo cha hatari ila mwishoni utashangaa eti yeye ndio anashinda. Wakati huo huo maadui wakipigwa ngumi moja tu wanazima moja kwa moja wala hawaamki tena asilani
Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal au lipuli
Nishangaalia kama movie 1000 na naendelea.Dah napenda sana animation, angalia moja inaitwa Shrek, iko 1mpaka 4 kama sikosei
Poa mkuu, mpya za 2020 ni zipi mkuu?Nishangaalia kama movie 1000 na naendelea.
Shrek zotee zilishaisha zamani sanaa
#YNWA
Wahindi sio watu wazuri hawataki ujinga ujinga kabisa we mtu anaruka fuso unazani mchezoKuna moja niliona mtu kachomwa kifuani na ndizi mbivu dah wahindi noma asee
Shenzi wewe! Umesababisha nacheka peke yangu kama chiziWahindi sio watu wazuri hawataki ujinga ujinga kabisa we mtu anaruka fuso unazani mchezo
Gari ile kubwa (van) inatumika kama silaha ya kuadhibia watu!!! yaani maadui wanakuja mbio wakiwa na silaha basi kabla hawajamfikia staa anaikanyaga buti gari inaserereka na kuwakumba na kuwaua wote (tena gari hiyo inawakumba kiupande upande- siyo kwenda mbele wala nyuma)Wahindi sio watu wazuri hawataki ujinga ujinga kabisa we mtu anaruka fuso unazani mchezo
Kaka ile ni sanaa,na moja ya kazi ya sanaa ni kufundisha na kuelimisha.Ndio mkuu muvi zote maadui/majambazi hua wanaishia kuuawa 😀