Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,442
- 41,504
Mkuu ukibahatika tazama movie inaitwa shut em up. Hii jamaa alimzalisha mwanamke wakati mwanamke huyo ana windwa kuuliwa majambazi wamezunguka wakati mapambano yakiendelea jamaa akakosa wembe akaamua kitovu cha mtoto kukikata kwa risasi,
Nyingine alikuwa anakula papuchi majambazi wakavamia alipambana nao huku dushe lipo ndani na mwanamke anaguna tu ana mbadili mitindo mbalimbali hadi maadui wakaisha na yeye akamwaga wachina..
Kuna uongo humo japo inafurahisha
Teh teh teh 🤣🤣🤣 nimecheka sana aisee.Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal au lipuli
Teh teh teh 🤣🤣🤣 nimecheka sana aisee.Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal au lipuli
Teh teh teh 🤣🤣🤣 nimecheka sana aisee.Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal au lipuli
Teh teh teh 🤣🤣🤣 nimecheka sana aisee.Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal au lipuli
Teh teh teh 🤣🤣🤣 nimecheka sana aisee.Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal au lipuli
Hahahaha! Mkuu umesema ukweli tupu aisee! Halafu hiyo No 6 inapatikana sana kwenye muvi za Kikolea na Kichina. Eti mtu anakuwekea panga shingoni taratiiibu halafu wewe unalitoa taratibu na kisha kuanza kupigana mapanga ya uwongo......unasikia tu mapanga yanalia nshaaa! nshaaaaa! lakini hakuna damu wala mtu anayeumia. Upuuzi mtupu.Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi za kizugu.
1. Bunduki kutokuisha risasi. Ushawahi ona kwenye muvi mtu ana ki bastola au SMG anamwaga risasi lisaa lizima na haziishi? Uongo mtupu.
2. Watu kupigana juu ya treni huku inatembea! Hiki ni kitu cha hovyo kabisa hata kukiwaza tu. Hata kupigana juu ya treni iliyosimama ni shughuli pevu achilia mbali inayotembea.
3. Bomu la kutegwa kupiga alarm kabla ya kulipuka. Wanajeshi wanaingia kwenye nyumba, hawajui kama kuna bomu. Mara wanasikia mlio pi pi pi pi pipipipipipi...Booom! 😆 saa hiyo wanakua wameshatoka nje.
4. Watu wema kushinda. Katika muvi karibu nyingi, wale watu wema hua wanashinda na watu wabaya wanauawa. Hii haina uhalisia wowote kwenye maisha ya kawaida.
5. Kuwasha gari kwa kuchomoa nyaya chini ya usukani na kuzigusanisha. Japo hii inawezekana, lakini ni ngumu mno kutekelezeka kiuhalisia. Hata fundi mwenye vifaa, inakuchukua muda mrefu sana kufanikisha hili.
6. Maadui kuweka bunduki chini ili wapigane ngumi 😂
Hebu na wewe ongezea vitu vya kijinga ulivyowahi kuona kwenye movie
AnView attachment 1625874
Bora hizi kidogo kuna kaukweli
Kwa mila na tamaduni zao kua homosexual sio tatzo.Inabidi isisahau kazi ya fasihi pia ni kutangaz utamaduni wa hadhira husikaVipi muvi za siku hizi wanapoweka karibu kila familia ina kijana ambae ni gay, hapo wana promote nini?
Sasa kama hyo muafrika ni supporting actor unataka afike mwsho ili iweje.Mbona kuna movie nyingi hao watu weusi wanafika mpka mwishoHii pia nimeiona sana. Yaani imefika mahali nikiona mwafrika kwenye muvi najua tu huyu atakufa mda si mrefu
Utamsalimia wakanda dogo juniaNiko msibani sitakujibu leo, nakutafutia "Engo"😅