Hii mada imenifanya nicheke sana. Nahisi kama vile Mwanakijiji huwaga anaanzisha mada kutokana na experiences zake mwenyewe teh teh teh.
Wee Mwanakijiji, bibi umemfanya nini tena?
Mkuu.. yaani nimeingia nyumba natupa kile kitu pembeni nimekasirika naanza kufoka tu jinsi kazini jamaa walivyonitibua; bibi yenu ikabidi aanze kuniuliza taratibu "whats wrong hunny".. ndio namsukumizia mbali kabisa kwamba "these people are impossible".. "kwani wamekufanya nini jamani!" anauliza kwa kubembeleza.
Kumbe zilikuwa gia nilijua kulikuwa na mjadala hatukuumaliza na akawa amekasirika. Lakini hiyo gia ya hasira nayo haiwezi kufanya next time..!!
Wanawake wakorofi...wagomvi...walalamikaji.
Hivi wanaume nanyi hamwezi kua mavuvuzela?Wanaitwa vuvuzela, i cant imagine.
Baada ya furaha za mwanzo za maisha ya pamoja kuna baadhi ya wanaume huanza kunyemelea nyumba zao wenyewe. Mtu toka anatoka kazini anapiga mahesabu ya jinsi gani ataingia nyumbani bila kusababisha mfarakano. Wengine huja na giza za 'uchovu' wengine huja na giza 'kukasirishwa' na mtu huko na wengine huja na hata gia za 'unyonge'. Lengo la gia hizo zote na nyingine nyingi ni kutuliza hasira za mwenza wake pale nyumbani. Lakini wakati mwingine, mwanamme anaingia nyumbani kwa kunyemelea kwa sababu ya hofu ya kile atakachokikuta nyumbani siku hiyo.
Ni vitu gani hasa vinaweza kumfanya mwanamme apaone nyumbani pake pa chungu na hivyo kutafuta kila sababu ya kuchelewa au hata kukwepa kulala nyumbani siku fulani fulani?
Hivi wanaume nanyi hamwezi kua mavuvuzela?'
<br />Ukiwa handsome kama mimi (ref avatar yangu) lazima ujiamini tu hamna kunyata. Hata kama kuna issue, akikuona tu yameisha. Hahahahaa!!
Tatizo hata mkikosea mkaulizwa still mnatuita mavuvuzela, hamtaki kuulizwa hata mkifumaniwa haiwezekaniKuna wimbo 'naogopa kurudi nyumbani mke wangu ni vu vu vuvuzeelaaa ...' hapo changanya na za kwako lol!
Mnaangalia nini ? lol!<br />
<br />
mmh! Hatuangalii sura bwana.
Kweli mara zingine mme ana kosa lakini kuna wake wenye hulka ya kufokafoka tu hata kwenye hiphop wangefanikiwa sana tu lol!Tatizo hata mkikosea mkaulizwa still mnatuita mavuvuzela, hamtaki kuulizwa hata mkifumaniwa haiwezekani
ninong'oneze basi.<br />
<br />
vilivyobaki.
Baada ya furaha za mwanzo za maisha ya pamoja kuna baadhi ya wanaume huanza kunyemelea nyumba zao wenyewe. Mtu toka anatoka kazini anapiga mahesabu ya jinsi gani ataingia nyumbani bila kusababisha mfarakano. Wengine huja na giza za 'uchovu' wengine huja na giza 'kukasirishwa' na mtu huko na wengine huja na hata gia za 'unyonge'. Lengo la gia hizo zote na nyingine nyingi ni kutuliza hasira za mwenza wake pale nyumbani. Lakini wakati mwingine, mwanamme anaingia nyumbani kwa kunyemelea kwa sababu ya hofu ya kile atakachokikuta nyumbani siku hiyo.
Ni vitu gani hasa vinaweza kumfanya mwanamme apaone nyumbani pake pa chungu na hivyo kutafuta kila sababu ya kuchelewa au hata kukwepa kulala nyumbani siku fulani fulani?