ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,587
- 44,832
Niliwahi kusikia baadhi ya watumishi katika taasisi au mashirika fulani fulani hawana cha kufanya ofisini ni kama kula tu mshahara wa Bure na kula umeme tu wa serikali. Kama ni mtu mzima anayekaribia kustaafu Sawa maana alitumika amechoka acha akakae tu ofisini apulizwe feni na AC, anywe Chai asubuhi ikifika mchana aagize chakula saa tisa arudi nyumbani au aende bar.
ILa Kwa kijana huwa inaboa sana ni kweli umesoma fani fulani hasa zile ambazo unahitajika zaidi uende field kweli ukabahatika kupata ajira, of course Kwa nguvu za ujana unatamani ufanye activities nyingi huko site za kukujenga uwe mbobezi sometimes hata usilipwe posho kamili ila unafurahi kufanya kazi ili kujifunza mengi kuisadia pia serikali wananchi wapate huduma.
Ila unakutana na sentensi kwamba hakuna program yoyote Kwa kuwa hakuna Hela licha ya kusikia bajeti ikiongezeka kila kukicha katika mawizara ila kiuhalisia ukija taasisini unakuta kumekauka hata OC za kuendesha office zinatoka Kwa shida yaani uwapigie pigie simu wakuu na wahasibu zaidi ya Mara 10.
Kwa situation kama Hizo unashauri kijana ujifunze skill gani rahisi ambayo kipindi umekaa kwenye kiti ofisini unaweza kuendelea kuifanyia kazi na ikakuzalishia kipato na isiwe na athari ofisini.
Maana huwezi kusema ubebe cherehani ukakae nayo ofisini uwe unashona huo utakuwa ni uongo nataman kujua vitu fulani simple kama vile kutengeneza culture za shanga,n. K.. Kawe hata kama ni kamashine fulani kadogo ila kanazalisha bidhaa ndogo ndogo Hivi ili masaa haya tisa ya siku za kazi yasipotee Bure kama kwenye michoro yao hawakuiti we uendelee na Michongo yako.
Na kama utanishauri vitu vya mtandaoni sijui content creator, blog, freelance basi unifafanulie deep unipe na ideas kamili. Natanguliza shukrani.
ILa Kwa kijana huwa inaboa sana ni kweli umesoma fani fulani hasa zile ambazo unahitajika zaidi uende field kweli ukabahatika kupata ajira, of course Kwa nguvu za ujana unatamani ufanye activities nyingi huko site za kukujenga uwe mbobezi sometimes hata usilipwe posho kamili ila unafurahi kufanya kazi ili kujifunza mengi kuisadia pia serikali wananchi wapate huduma.
Ila unakutana na sentensi kwamba hakuna program yoyote Kwa kuwa hakuna Hela licha ya kusikia bajeti ikiongezeka kila kukicha katika mawizara ila kiuhalisia ukija taasisini unakuta kumekauka hata OC za kuendesha office zinatoka Kwa shida yaani uwapigie pigie simu wakuu na wahasibu zaidi ya Mara 10.
Kwa situation kama Hizo unashauri kijana ujifunze skill gani rahisi ambayo kipindi umekaa kwenye kiti ofisini unaweza kuendelea kuifanyia kazi na ikakuzalishia kipato na isiwe na athari ofisini.
Maana huwezi kusema ubebe cherehani ukakae nayo ofisini uwe unashona huo utakuwa ni uongo nataman kujua vitu fulani simple kama vile kutengeneza culture za shanga,n. K.. Kawe hata kama ni kamashine fulani kadogo ila kanazalisha bidhaa ndogo ndogo Hivi ili masaa haya tisa ya siku za kazi yasipotee Bure kama kwenye michoro yao hawakuiti we uendelee na Michongo yako.
Na kama utanishauri vitu vya mtandaoni sijui content creator, blog, freelance basi unifafanulie deep unipe na ideas kamili. Natanguliza shukrani.