Vita ya Libya Afrika naTanzania yetu tulikuwa mabwege, sasa tunajidai kulaani vita ya Ukraine

Hivi kweli kwa akili ya kawaida kuna nchi yoyote ya Afrika inaweza jitokeza hadharani na kuiunga mkono URUSI?kwa sasa, tuweni wakweli?
Ni misaada kiasi gani anachotusaidia?kulinganisha na nchi za magharibi?yeye muombe msaada wa kukandamiza wapinzani, au vifaa vya kijeshi!!
Tatizo letu waafrika ni kitu kimoja tunapokuwa kwa wazungu, hata tukifanya kosa tunakimbilia kwenye ubaguzi tu!!
Jana kuna habari niliiona juu ya hilo eti kubaguliwa, kuingia nchi hizo kama poland, romania, hasa poland!!kwa wafrika wengi poland imekuwa ni lango kuu la kuingilia ulaya, na wao pale mpakani , ukraine lazima wajirizishe kwanza kama una documents zote halali za kuishi ukraine, wakuruhusu, kwani upande wa poland nao wana kagua je uliingia ukraine kihalali?!!sasa mtu documents zako hazieleweki kuwekwa pembeni kwanza kelele!!
Kwani ukishaingia poland tayari unakuwa na hadhi ya ukimbizi.Mbona wanafunzi wao hawakutani na kero hiyo kwani wako huko kihalali, wenye shida hii ni wale wanaoishi huko kwa kufanya kazi.
Nawe unaleta mjadala tofauti na uelewa wetu. Mbona wanaruhusu wazungu wa Ukraine kwani ni raia wa EU? Au unadhani Ukraine ni sehemu ya EU? Muhimu wote ni wakimbizi. awe mweusi au mzungu
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Kaka hii umepata wapi kwamba Marekani ilivamia Libya? Na wapi mataifa ya Afrika yangelalamika mbele ya Baraza la Usalama la UM???
Je, nakosa nikisema kulikuwa na Azimio la Baraza la Usalama la kusimamisha mauaji ya wananchi na jeshi la Gaddhafi??
Ona hii: "Resolution 1973 was adopted by the United Nations Security Council on 17 March 2011 in response to the First Libyan Civil War. The Security Council resolution was proposed by France, Lebanon, and the United Kingdom. The resolution formed the legal basis for military intervention in the Libyan Civil War, demanding "an immediate ceasefire" and authorizing the international community to establish a no-fly zone and to use all means necessary short of foreign occupation to protect civilians."

Je nakosa nikisema kama Gaddafi asingeendelea kushambulia wapinzani wake kwa jeshi la anga, hakuna mashabulizi?#

Halafu walioshiriki walikuwa pamoja na Uturuki, Falme za Kiarabu na Katar, Jordan...

Je nakosa nikisema si "wafuasi wa Mareklani" waliomwua Gaddafi, lakini raia wake waliochoka utawala wake wa damu? na kuuawa na jeshi lake?
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Hapana nchi yetu haijalaani waka kusupport Russia. Kwa namna nyingine sisi kama nchi tumejiweka pembeni... waulize Kenya labda
 
Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao.

Yaani gadafi na mbwembwe zote zile alilawitiwa! Nadhani hata muunda genge la wasiojulikana hawa akina kingai at al, yangetokea maandamano ambayo yangeleta vita ya kulifukuza genge la ccm madarakani angelawitiwa pia.

Yale yaliyotokea huko Libya tunamuomba mungu yatokee kwetu ili ccm tuifurushe madarakani.
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Ukikosea mara moja ndo excuse ya kila kosa linalofata uwe unakosea? Acha maku
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!

Wengi wetu hatutaonea huruma dikteta yeyote awe Libya, Uganda, Sudan au Rwanda
 
Libya ilivamiwa na US kwa ushirika wa Ulaya na hasa Uingereza na Ufaransa. Wakaona ni haki yao kuvamia Libya na kumuondoa rais na hata akalawitiwa na wafuasi wao. Hakuna nchi ya kiafrika iliyolaani kwa nguvu au kujitokeza kupeleka kwenye baraza la usalama la UN. Ulaya pia hakuna aliyeandamana kulaani tukio hilo.

Leo hii yamewapata Ulaya. Mbabe wao kavamia kipenzi chao. Eti sasa Afrika inaonesha kihelehele cha kulaani Urusi. Tanzania nayo kihelehele utadhani itatuongezea mikopo na misaada.

Huu ni ujinga wa Mwafrika. Tunachowinda ni kusifiwa na Ulaya na US. Yaani tuko kama mitoto inayosubilia kuambia unapendeza! Hatuna msimamo kama nchi. Inaonesha hata Waziri wa mambo ya nje ni boya!

Nimemuona akishindwa hata kulaani ubaguzi unaowapata waafrika huko kwenye mipaka ya Ukraine. Tanzania hatuna hata msaada wa kueleweka kwa wanafunzi wetu, just bhla!-bhla!
Kwa tarifa ndugu Tanzania kwenye kura za kuilan Urusi katika Vita hyo sisi hatujaegemea upande wowote.. .kiufupi hatujapiga kura upande wowote.kabla ya kuandika jiridhishe...
 
Back
Top Bottom