Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Watu Wawili wanastahili Kuwawakilisha Wananchi wote 55+ Million waliopo Tanzania? Halafu hakuna Rais Mseven kama ulivyoandika hapa bali kuna Rais Museveni. Vilevile haijaandikwa mahala popote pale kwamba ni lazima Rais fulani amuige Rais mwingine hasa katika Kukabiliana na Janga hili baya la CORONA. Anaweza akawa kweli hajitokezi Kuzungumza na Wananchi ila akawa anatoa Maelekezo yake ya uhakika kwa Wasaidizi wake hao akina Majaliwa na Ummy na bado mambo yakawa yanaenda vile inavyotakiwa. Halafu Watanzania hatuhitaji Rais ajitokeze hovyo hovyo bali tunahitaji Mikakati Madhubuti ya Serikali kwa Kushirikiana na Wadau juu ya Kulikabili hili tatizo. Na tunaposema kuwa Rais hajitokezi hadharani Kipindi hiki cha hili Janga sidhani kama ni kweli au tunamtendea haki kwani hata hapa juzi kati tu alijitokeza akiwa huko aliko na Kuligusia hili Suala ( Janga ) na Kulitolea Ufafanuzi na hadi Maelekezo mapya. COVID-19 si ya Magufuli pekee bali ni ya Watanzania, wana Afrika Mashariki, wana Afrika na Ulimwengu mzima. Ni kweli Rais Dkt. Magufuli kama Binadamu anaweza akawa na Mapungufu yake ila nasi hasa ( Wanasiasa wa Upinzani ) na Wanaomchukia kwasababu zao / zetu tu Binafsi tumezidi Kumtupia Lawama na Kumshutumu kupita Kiasi.
Wewe kuna mikakati unaiona hapo ?!. Kama hata kuikarantiini tu Dar imeshindikana !!. Mikakati gani unaiona

Odhis *
 
Wewe kuna mikakati unaiona hapo ?!. Kama hata kuikarantiini tu Dar imeshindikana !!. Mikakati gani unaiona

Odhis *

Hao Wamarekani na Waingereza pamoja na Wachina ambao ni Matajiri na wameweza huko Kukarantini Kwako wameshakabiliana na huu Ugonjwa? Je, pamoja na hizo juhudi zao Watu ( Wananchi ) wao hawafi kila Siku kama Kuku wa Mdondo? Sasa kama Wewe umeshasema kuwa Rais Dkt. Magufuli hana Mikakati na Wewe Mkosoaji wake unayo kama unavyojionyesha hapa kwanini kwa Faida ya Watanzania wote usiitoe hapa au kaitoe huko Serikalini ili uponye Taifa lako? au hujui kuwa hata Wewe Mwananchi pia ni Serikali na ni wajibu wako Kujitolea kwa nchi yako? au Wewe Mchago wako pekee kwa Rais Dkt. Magufuli ni Kuishia tu Kumsema na Kumsimanga hivi? Punguzeni Unafiki, Uanaharakati na Chuki za Kipuuzi Kwake.
 
Tangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?

Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.

Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.

View attachment 1425111
Heh heh hao ndio wananchi?
 
Watu Wawili wanastahili Kuwawakilisha Wananchi wote 55+ Million waliopo Tanzania? Halafu hakuna Rais Mseven kama ulivyoandika hapa bali kuna Rais Museveni. Vilevile haijaandikwa mahala popote pale kwamba ni lazima Rais fulani amuige Rais mwingine hasa katika Kukabiliana na Janga hili baya la CORONA. Anaweza akawa kweli hajitokezi Kuzungumza na Wananchi ila akawa anatoa Maelekezo yake ya uhakika kwa Wasaidizi wake hao akina Majaliwa na Ummy na bado mambo yakawa yanaenda vile inavyotakiwa. Halafu Watanzania hatuhitaji Rais ajitokeze hovyo hovyo bali tunahitaji Mikakati Madhubuti ya Serikali kwa Kushirikiana na Wadau juu ya Kulikabili hili tatizo. Na tunaposema kuwa Rais hajitokezi hadharani Kipindi hiki cha hili Janga sidhani kama ni kweli au tunamtendea haki kwani hata hapa juzi kati tu alijitokeza akiwa huko aliko na Kuligusia hili Suala ( Janga ) na Kulitolea Ufafanuzi na hadi Maelekezo mapya. COVID-19 si ya Magufuli pekee bali ni ya Watanzania, wana Afrika Mashariki, wana Afrika na Ulimwengu mzima. Ni kweli Rais Dkt. Magufuli kama Binadamu anaweza akawa na Mapungufu yake ila nasi hasa ( Wanasiasa wa Upinzani ) na Wanaomchukia kwasababu zao / zetu tu Binafsi tumezidi Kumtupia Lawama na Kumshutumu kupita Kiasi.
Huitaji ajitokeze hovyo hovyo au useme ukweli Kala kona, kama hajala kona mbona hatumuoni akitengua na kuapisha kama kawaida yake.. CORONA noma walifanya mzaha sasa acha tushike adabu wote
 
Kabla ya corona kuja nchini kuna watu tuliwaogopa sana na kuwaona miamba kweli kweli kiasi kwamba hata wakiongea tunasema mwanaume kaongea,tukae kimya tumsikilize.

Sasa baada ya corona kuja wameonyesha udhaifu wa hari ya juu sana,hadi wafuasi wao tumekuwa tunasemwa mtaani hadi aibu,kweli jabali,mwanajeshi,jiwe lisilotingishika unaogopa corona,unaikimbia corona kwenye hili nakuvua vyeo vyote kumbe sio mwanajeshi ni mgambo aliechangamka.

Mwanajeshi ambae tumekusifia kila kona ya nchi hii,kila siku tunasema jiwe zaidi ya jiwe ambae hateteleshwi na kiumbe chochote katika ulimwengu huu,Leo unakuja unaikimbia corona khaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huitaji ajitokeze hovyo hovyo au useme ukweli Kala kona, kama hajala kona mbona hatumuoni akitengua na kuapisha kama kawaida yake.. CORONA noma walifanya mzaha sasa acha tushike adabu wote
Kweli wewe Ni mzushi unafikiri raisi ni kama vyicheo vyenu vya pale ufipa kutengua na kuteua Ni uamuzi wake atakapo ona msaidizi yupi atenguliwe yupi ateuliwe kumbe kwako ni big ishu ungedili Kwanza na matatizo ya Sacco's yenu ingekuwa Bora zaidi SUMU HAIONJWI KWA MDOMO
 
Back
Top Bottom