Vita kati ya Seif na Hamad Rashid yaibukia Manzese

Nafasi ya ukatibu mkuu CUF hupatikana vipi?
Kwa kuchaguliwa au kuteuliwa?
Na ukomo wake ni muda gani?
Maana tangu CUF inaanzishwa, pale ilipoungana na Chama cha Wananchi cha Mapalala na kile cha ZNZ, zamani kitambo Katibu mkuu ni Maalim Seif tu
 

Hivi Julius Mtatiro bado hajui kwamba huu ni muafaka wa kujikweza katika medani ya siasa ndani ya CUF kwa huku bara?

Huu ugomvi mkali kati ya Wapemba wawili -- yaani Maalim Seif na Hamad Rashid Mohamed ni muafaka mzuri sana kwa Mtatiro kunyakuwa nafasi na kujipambanua katika CUF kukitetea chama kutokana na jinsi kinavyodidimia upande wa Bara.

Anachotakiwa kufanya ni mara moja kutoa tamko la kumuunga mkono Hamad Rashi Mohamed, hasa katika kauli yake kwamba CUF imepoteza mvuto Bara na kinatakiwa kifanye mabadiliko makubwa kiuongozi.

Mimi nadhani hata Prof Lipumba hatimaye angemuunga mkono Mtatiro – na hapo ndiyo ingekuwa mwisho wa Seif.

Au mnasemaje wadau?

Angalizo: Mimi si mfuasi wa CUF – natoa tu ushauri.
 
Dhambi ya usaliti itawatafuna sana. Naweza tabiri kwamba 2015,hata kama CUF itapata viti vingi Pemba,lakini itapoteza baadhi ya majibo. Hamad Rashid ni janga zaidi ya Seif.
 

Hivi Julius Mtatiro bado hajui kwamba huu ni muafaka wa kujikweza katika medani ya siasa ndani ya CUF kwa huku bara?

Huu ugomvi mkali kati ya Wapemba wawili -- yaani Maalim Seif na Hamad Rashid Mohamed ni muafaka mzuri sana kwa Mtatiro kunyakuwa nafasi na kujipambanua katika CUF kukitetea chama kutokana na jinsi kinavyodidimia upande wa Bara.

Anachotakiwa kufanya ni mara moja kutoa tamko la kumuunga mkono Hamad Rashi Mohamed, hasa katika kauli yake kwamba CUF imepoteza mvuto Bara na kinatakiwa kifanye mabadiliko makubwa kiuongozi.

Mimi nadhani hata Prof Lipumba hatimaye angemuunga mkono Mtatiro – na hapo ndiyo ingekuwa mwisho wa Seif.

Au mnasemaje wadau?

Angalizo: Mimi si mfuasi wa CUF – natoa tu ushauri.

Mie nadhani Mtatiro hana busara wala ujasiri -- kamwe hawezi kuchukuwa upenyo huu kwa ajili ya kutetea masilahi ya CUF kwa Bara.
 
Sasa huoni kama CUF ikifufuka kitasababisha chama chako kuwa mashakani? nadhani unajua watu wanakishabikia kwakuwa hawana mbadala.

Usemayo sawa -- lakini mimi hupenda sana siasa za ushindani wa kweli. Na iwapo Seif atatengwa basi serikali ile ya umoja huko Zenj kwishney!
 
Sasa huoni kama CUF ikifufuka kitasababisha chama chako kuwa mashakani? nadhani unajua watu wanakishabikia kwakuwa hawana mbadala.
Tanganyika hatuhitji siasa za vyama viwili kama kule Zanzibar, huku Tanganyika tunahitaji Demokrasia ya kweli na sio Chadema na CCM peke yao wahodhi siasa za Tanganyika. Big no!
 
Teh teh teh...!mwanamke anatangatanga namna hii na mmewe yuko wapi?
 
Hayo yote ni kwa sababu ya maslahi binafsi,chama cha mapinduzi ndo kinatakiwa kufanyiwa marekebisho ili kupata mvuto kwa wananchi.Vyama vya upinzani vimejidhirisha kuwa haviwezi vikaendelea kwa sababu ya mwanzo mbaya cuf seif vs rashid,cdm ukaskazni na udini,nccr mbatia,machali vs mkosamali,kafulila
@monduli -forza El
 

Hivi Julius Mtatiro bado hajui kwamba huu ni muafaka wa kujikweza katika medani ya siasa ndani ya CUF kwa huku bara?

Huu ugomvi mkali kati ya Wapemba wawili -- yaani Maalim Seif na Hamad Rashid Mohamed ni muafaka mzuri sana kwa Mtatiro kunyakuwa nafasi na kujipambanua katika CUF kukitetea chama kutokana na jinsi kinavyodidimia upande wa Bara.

Anachotakiwa kufanya ni mara moja kutoa tamko la kumuunga mkono Hamad Rashi Mohamed, hasa katika kauli yake kwamba CUF imepoteza mvuto Bara na kinatakiwa kifanye mabadiliko makubwa kiuongozi.

Mimi nadhani hata Prof Lipumba hatimaye angemuunga mkono Mtatiro – na hapo ndiyo ingekuwa mwisho wa Seif.

Au mnasemaje wadau?

Angalizo: Mimi si mfuasi wa CUF – natoa tu ushauri.
sikubaliani na wewe hata kidogo.
HAMAD RASHID ni mdini sana na hana huruma kwa wanadamu.
ukweli ni kwamba maalim Seif anaitaji kujiangalia upya na kukisukuma mbele chama na siyo huyu Hamad.
Mtatiro anasubiria 2014 kutimkia CDM
 
Haka kamgogoro kamepikwa na ccm na baadhi ya mashabiki wa cdm wanashangilia, jamani mnafurahia upinzani unapodhoofika?
 
Hamadi rashidi kama namuon vile.....huyoooooooooooooooo aanakatiza chalinze,segera,mombo,same,njia panda ya hima,moshi,machame.........antua hai kuchukua kadi ya chama cha kususa na kuandamana,hamna lia,yeye si alikua anachekelea prof safari alivyokuwa anadhalilishwa kwa kujaribu kutumia haki yake kugombe uenyekiti?sema chadema hamad rashid bonge la mtaji,atawasaidia kufuta ile propaganda ya wapinzani wenu jamaa wa magamba kwamabchama chenu ni cha kanisa,ikiungana na profesa safari na mzee said arfi na toto lenu tundu zitto kabwe,magamba kimyaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom