Unachokifanya ni kitendo kibaya sana! Huna lengo la kumsifu Samia, unatafuta sababu ya matusi kwake maana hayo yote uliyoandika hayaendani na yeye, alivyo. Kweli Samia ana uelewa? Autoe wapi wakati elimu ni duni? Unasema hata benki wanakopesha kwa kufuata maelekezo ya Samia! Samia yupi? Yule wa Benki au Ikulu?Rais Samia, Mama Mnyenyekevu, Mzalendo na Mchamungu,
ni kiongozi alitejawa akili za ajabu na mtu mwenye uelewa mkubwa anafanay kazi usiku na mchana kuhakikisha Tanzania inapata maendeleo.
Kikundi cha wapuuzi wachache wanaopambana kuchafua maamuzi na utendaji kazi wa Rais Samia tunatangaza vita kali dhidi yenu kuwa hamtaweza.
Watanzania tuko nyuma na Rais Samia na tutapambana kuhakikisha anaongoza kwa amani.
Wananchi wameanza kuneemeka
Mzunguko wa pesa unarudi,
Biashara zinakuwa watu wanaweza kukopa na kufanya marejesho,
Bandari inaongeza ukusanyaji wa mapato kuliko kipindi kilichopita,
Shule, Hospitali na Zahanati zinajengwa kila mahali nchini,
Hakuna mtu aliyeuwawa wala kupotezwa,
Ma benki wameongeza kukopesha watanzania,
Uwekezaji umeongezeka watu wanakuja Tanzania kuwekeza ili vijana wapate ajira,
Sasa tunatoa onyo kuwa icho kikundi chenu ambacho mnataka kuchafua taswira ya Rais Samia hamtaweza,
Tumetangaza vita na kwenye vita hii hamtaweza. Rais Samia yupo sana na ataendelea kuleta maendeleo Tanzania.
Magugu yote yatang'olewa hatuwezi kuwa na watu wasaliti ndani ya Chama.
RAIS SAMIA
#KAZI IENDELEE
Nyie ni wahaini,tutawapiga bullet za kwenye makalio yenu kenge nyinyi,Chifu Hangaya ni Rais wa mchongo.Anapaswa kupigwa vitu na kila mtu hadi wafu.
Chifu Hangaya hana kibali cha wananchi.Ni Rais mwenye kibali cha mapolisi.Ni Rais wa aibu.
View attachment 2045139View attachment 2045140View attachment 2045142
Huwezi kumfananisha na dikteta magufuli, kaigomea Corona,mwishoe ikasepanaeUnachokifanya ni kitendo kibaya sana! Huna lengo la kumsifu Samia, unatafuta sababu ya matusi kwake maana hayo yote uliyoandika hayaendani na yeye, alivyo. Kweli Samia ana uelewa? Autoe wapi wakati elimu ni duni? Unasema hata benki wanakopesha kwa kufuata maelekezo ya Samia! Samia yupi? Yule wa Benki au Ikulu?
Ombi langu kwako, Toa sifa kwa Kikwete anaendelea kumpa maelekezo na majina ya teuzi zake.
Hao wanaishi na chuki, ukichunguza hata sura zao zitakuwa zimezeeka kabla ya wakati. Wanaruhusu machungu yazitese akili zao bila ya sababu ya msingi.Unataka kibali gani
kwanza alifanya kampeni
pili ameapa kw akatiba ya Tanzania
wewe unataka nini
Bora anakuwa chawa wa mtu aliye hai kuliko wale wanaoufanya uchawa kwa RIP.Wakati mwingine jitendee haki wewe mwenyewe,huu uchawa wako ni zaidi ya upumbavu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Lugha chafu na matusi dhidi ya mh.Rais zimekusaidia nini mpaka sasa ?!!!Chifu Hangaya ni Rais wa mchongo.Anapaswa kupigwa vitu na kila mtu hadi wafu.
Chifu Hangaya hana kibali cha wananchi.Ni Rais mwenye kibali cha mapolisi.Ni Rais wa aibu.
View attachment 2045139View attachment 2045140View attachment 2045142
Zikifika wapi wakati zishatumika, si unaona hujui hata Kama hiyo pesa ishatumika na hujui imetumika kwenye niniKazi kubwa inafanyika
Trillion 1 tumeona matunda yake
Trillion 6 ziko on the way zikifika utaona matunda yake
Mfano huyo BEHAVIOURIST 🤣🤣🤣Hao wanaishi na chuki, ukichunguza hata sura zao zitakuwa zimezeeka kabla ya wakati. Wanaruhusu machungu yazitese akili zao bila ya sababu ya msingi.
Acha kabisa ndugu yangu.Mfano huyo BEHAVIOURIST 🤣🤣🤣
Jamaa "mgonjwa" fikrani......
Atakuwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia ...🤣🤣
#Siempre JMT
Ilipotangazwa vita ya uchumi 2017 Tundu Lissu alifanywa chekeche huko Dodoma, hii sijui wahanga watakuwa nani.Rais Samia, Mama Mnyenyekevu, Mzalendo na Mchamungu,
ni kiongozi alitejawa akili za ajabu na mtu mwenye uelewa mkubwa anafanay kazi usiku na mchana kuhakikisha Tanzania inapata maendeleo.
Kikundi cha wapuuzi wachache wanaopambana kuchafua maamuzi na utendaji kazi wa Rais Samia tunatangaza vita kali dhidi yenu kuwa hamtaweza.
Watanzania tuko nyuma na Rais Samia na tutapambana kuhakikisha anaongoza kwa amani.
Wananchi wameanza kuneemeka
Mzunguko wa pesa unarudi,
Biashara zinakuwa watu wanaweza kukopa na kufanya marejesho,
Bandari inaongeza ukusanyaji wa mapato kuliko kipindi kilichopita,
Shule, Hospitali na Zahanati zinajengwa kila mahali nchini,
Hakuna mtu aliyeuwawa wala kupotezwa,
Ma benki wameongeza kukopesha watanzania,
Uwekezaji umeongezeka watu wanakuja Tanzania kuwekeza ili vijana wapate ajira,
Sasa tunatoa onyo kuwa icho kikundi chenu ambacho mnataka kuchafua taswira ya Rais Samia hamtaweza,
Tumetangaza vita na kwenye vita hii hamtaweza. Rais Samia yupo sana na ataendelea kuleta maendeleo Tanzania.
Magugu yote yatang'olewa hatuwezi kuwa na watu wasaliti ndani ya Chama.
RAIS SAMIA
#KAZI IENDELEE
Naye atoe mapipa ya mafutabei imepanda kwenye soko la dunia ndio maana Joe Biden alitoa mapipa ya mafuta ku regulate bei hio duniani
kumbukeni watumiaji wakuu wa mafuta wamerudi kwenye uzalishaji baada ya korona kupungua na wazalishaji ndio wameanza operation zao
Dunia gani unazungumzia weye mbona hapo Zambia tu bei haijapandakama sisi.bei imepanda kwenye soko la dunia ndio maana Joe Biden alitoa mapipa ya mafuta ku regulate bei hio duniani
kumbukeni watumiaji wakuu wa mafuta wamerudi kwenye uzalishaji baada ya korona kupungua na wazalishaji ndio wameanza operation zao
Kazi gani zaidi ya majungu ya kiswahili. Kuongozwa na mswahili ni maumivuRais Samia anafanya kazi kubwa
na naamini baada ya muda utakuja hapa kupongeza
Samia yupo ikulu kwa sababu ya imani ya marahemu JPM kwake. Kumbuka alitembea nchi nzima pamoja na hayati wakati wa kampeni.Unachokifanya ni kitendo kibaya sana! Huna lengo la kumsifu Samia, unatafuta sababu ya matusi kwake maana hayo yote uliyoandika hayaendani na yeye, alivyo. Kweli Samia ana uelewa? Autoe wapi wakati elimu ni duni? Unasema hata benki wanakopesha kwa kufuata maelekezo ya Samia! Samia yupi? Yule wa Benki au Ikulu?
Ombi langu kwako, Toa sifa kwa Kikwete anaendelea kumpa maelekezo na majina ya teuzi zake.
Hatari mkuu wangu!Acha kabisa ndugu yangu.
Mama wa kambo si mama.Pac the Don
huamini au
tunamaanisha ni vita dhidi ya Tanzania na hatuna utani