Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,529
- 2,969
Hata aongoze miaka Ishirini hatokuja kuwa bora...ni failure from day 1.Rais Samia, Mama Mnyenyekevu, Mzalendo na Mchamungu,
ni kiongozi alitejawa akili za ajabu na mtu mwenye uelewa mkubwa anafanay kazi usiku na mchana kuhakikisha Tanzania inapata maendeleo.
Kikundi cha wapuuzi wachache wanaopambana kuchafua maamuzi na utendaji kazi wa Rais Samia tunatangaza vita kali dhidi yenu kuwa hamtaweza.
Watanzania tuko nyuma na Rais Samia na tutapambana kuhakikisha anaongoza kwa amani.
Wananchi wameanza kuneemeka
Mzunguko wa pesa unarudi,
Biashara zinakuwa watu wanaweza kukopa na kufanya marejesho,
Bandari inaongeza ukusanyaji wa mapato kuliko kipindi kilichopita,
Shule, Hospitali na Zahanati zinajengwa kila mahali nchini,
Hakuna mtu aliyeuwawa wala kupotezwa,
Ma benki wameongeza kukopesha watanzania,
Uwekezaji umeongezeka watu wanakuja Tanzania kuwekeza ili vijana wapate ajira,
Sasa tunatoa onyo kuwa icho kikundi chenu ambacho mnataka kuchafua taswira ya Rais Samia hamtaweza,
Tumetangaza vita na kwenye vita hii hamtaweza. Rais Samia yupo sana na ataendelea kuleta maendeleo Tanzania.
Magugu yote yatang'olewa hatuwezi kuwa na watu wasaliti ndani ya Chama.
RAIS SAMIA
#KAZI IENDELEE