Visomo hivi si dalili njema sana

Visomo hivi si dalili njema sana

Hivi mzungu anaweza kulogwa au kusomewa alibadiri na kuwa chizi?
 
Ni jambo gumu kidogo kwa wale ambao si waamini. Visomo hivi vimezoeleka kuwa kwenye mambo ya binafsi zaidi. Hili la wiki hii ni kama linaelekea kuwa jambo la kitaifa.

Nimesikia majigambo mengi ya watawala, Nimemuona kwa macho yangu Ndugai akisema kwa midomo wake maneno haya CHEZA NA KITU KINGINE SIO NDUGAI. niliogopa sana.

Muda huu alfajiri kuna maombi yanafikia tamati pale kariakoo... Mchungaji kiongozi anataja damu iliyomwagika Tanzania.

Ishu ya kisomo hata kama imekuzwa sana lakini vema watawala wapate ujumbe wa kiroho wenye tafakuri kuu.

Kwamba wananchi wanaona hakuna kimbilio tena na hawana imani na serikali yao, sasa wanapeleka mashtaka yao kwenye NGUVU zisizojulikana. Hata kama visomo hivyo havitaleta madhara tarajiwa lakini ni ujumbe mbaya kwa serikali, kuna kaliba inahisi kuonewa na kunyanyaswa, kuna kaliba inaona wazi kabisa imetengwa na kufanywa yatima.

Energy ya hii kaliba isipuuzwe chondechonde! Tusiwafundishe watu kuacha misingi.

Viongozi na watawala tendeni kwa weledi, tendeni kwa hekima, tendeni kwa tafakuri na maono makuu.Angalieni malalamiko yasiwe mengi mno.

Tumshukuru Mungu wameamua kutumia silaha za maombi na visomo, waacheni msiwazuie. Hawana pengine pa kupumulia, hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna kuandamana. Hivi vitu husaidia mno kupunguza nyongo iliyozidi.

Tendeni kwa weledi sana hakukuwa na haja ya kuzuia wachangia damu pale Temeke hospital.. Mambo mengine mbona ni ya kawaida mno?

Kuna ule wimbo wa Ney, ule wa wapo. Baada tu ya Mwakyembe kuruhusu upigwe, haraka sana ule wimbo ukawa sio habari tena!

Visomo hivi ni njia mpya ya kushtua ya kupeleka ujumbe mkubwa.

Visipuuzwe! Visomo vikishindikana hali inaweza kuwa tofauti LAKINI visomo vikijibu hata kama ni coicedence? Tutegemee nini kama taifa?
Wasome hata somo la ''Crisis Management'' Hawajui km kila mtu ni kichaa ''Degree of madness is measured when Angry''
 
Mleta mada,
Nilikuwa naheshimu michango yako humu JF. Japo mengine yalipingana na Imani yangu ya dini lakini nilivumilia na kuamini ya kwamba wewe ni mtu makini na Mwenye busara.
Sikujua kama wewe ni mpuuzi wa kiwango hiki. Nashukuru kwa kunijulisha hilo.
Mnasambaza chuki na sumu ya ukabila katika Taifa letu. Ila Mungu ni zaidi ya nyinyi na soon ukweli utakuwa upenuni.
Shame on you mchawi kiongozi wa JF.
Angalia wakati utakapodhihirisha ukweli usije kuwa wa kuumbuka. Wa kusema wacha waseme, wenye akili tunaweka akiba ya maneno!
 
Na wasome tu vitawarudia hiyo ni dalili ya kutapatapa
Kama visomo vingekua vinafanya kazi Sefu angekua madarakani,hakuna serikali inayoanguka kwa visomo,haswa vikiwa vinasomwa na wasanii
Ni Siku gani sefu aliyofanya visomo/au kutangaza visomo ili aingie madarakan hebu eleza ili tuamini hii kauli yko.
 
Angalia wakati utakapodhihirisha ukweli usije kuwa wa kuumbuka. Wa kusema wacha waseme, wenye akili tunaweka akiba ya maneno!
Ungekuwa na akili ungepita kimya. Wafuasi wa Kibwetere mna matatizo sana.
Pathetic swine!
 
Malofa na wapumbavu ndio waliwao....hivi kama.unataka.kuvunja chungu au kusoma si usome tuu mpaka utangaze? Matangazo yanini kila mtu si aingie kwenye nyumba yake ya ibada asome? Hapo hakuna lolote ni utapeli tuu...
......
.....nasikia ameanza kuokota makopo
 
Ni jambo gumu kidogo kwa wale ambao si waamini. Visomo hivi vimezoeleka kuwa kwenye mambo ya binafsi zaidi. Hili la wiki hii ni kama linaelekea kuwa jambo la kitaifa.

Nimesikia majigambo mengi ya watawala, Nimemuona kwa macho yangu Ndugai akisema kwa midomo wake maneno haya CHEZA NA KITU KINGINE SIO NDUGAI. niliogopa sana.

Muda huu alfajiri kuna maombi yanafikia tamati pale kariakoo... Mchungaji kiongozi anataja damu iliyomwagika Tanzania.

Ishu ya kisomo hata kama imekuzwa sana lakini vema watawala wapate ujumbe wa kiroho wenye tafakuri kuu.

Kwamba wananchi wanaona hakuna kimbilio tena na hawana imani na serikali yao, sasa wanapeleka mashtaka yao kwenye NGUVU zisizojulikana. Hata kama visomo hivyo havitaleta madhara tarajiwa lakini ni ujumbe mbaya kwa serikali, kuna kaliba inahisi kuonewa na kunyanyaswa, kuna kaliba inaona wazi kabisa imetengwa na kufanywa yatima.

Energy ya hii kaliba isipuuzwe chondechonde! Tusiwafundishe watu kuacha misingi.

Viongozi na watawala tendeni kwa weledi, tendeni kwa hekima, tendeni kwa tafakuri na maono makuu.Angalieni malalamiko yasiwe mengi mno.

Tumshukuru Mungu wameamua kutumia silaha za maombi na visomo, waacheni msiwazuie. Hawana pengine pa kupumulia, hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna kuandamana. Hivi vitu husaidia mno kupunguza nyongo iliyozidi.

Tendeni kwa weledi sana hakukuwa na haja ya kuzuia wachangia damu pale Temeke hospital.. Mambo mengine mbona ni ya kawaida mno?

Kuna ule wimbo wa Ney, ule wa wapo. Baada tu ya Mwakyembe kuruhusu upigwe, haraka sana ule wimbo ukawa sio habari tena!

Visomo hivi ni njia mpya ya kushtua ya kupeleka ujumbe mkubwa.

Visipuuzwe! Visomo vikishindikana hali inaweza kuwa tofauti LAKINI visomo vikijibu hata kama ni coicedence? Tutegemee nini kama taifa?
Mkuu hua ninakupa respect sna ktk maneno yako na hua sewezi kupingana na wewe lakini najaribu pia kufikili kwa undani na kukumbuka ya nyuma kwa sisi wenyewe wananchi kwamba

1. Ktk nchi hii huko nyuma kidogo tu watu walipiga kelele sana juu ya uongozi wa juu na mambo yanavyokwenda

2. Hawakuishia hapo wakaenda mbele wakisema nchi hii inahitaji uongozi mkali na wenye uthubutu huku wakitoa maneno makali ya kukashifu waliokuwepo ktk kipindi hicho wakisema ni dhaifu na nchi inaibiwa sana kupita kiasi,na kuna watu waliomba kwa MUNGU vivyo hivyo wakisema nchi imekua inaibiwa,vijana wetu wanaangamia kwa madawa ya kulevya na mambo chungu mzima

3. Nina kumbumbuku pia watu wa vyama pinzani walisema maneno mazuri tu kama kuishauli serikali yetu na kupiga kelele sana,jambo ambalo mpaka leo tulipo kuna baadhi ya mambo wananchi tunaona uongozi wa juu ndio unaoshughulika nayo,kwa mfano issue ya madini lakini hapo hapo na wale wale wameanza tena kulaumu na kusema huyu ndugu anatupeleka pabaya kiasi kwamba sisi wananchi tunashindwa hata kujua tunapelekwa wapi na nani tumuamini.

4. Na la mwisho kabisa leo watu tunafanya kisomo na huko nyuma kisomo na maombi yalifanyika kuiombea nchi na uongozi,wenye kuomba mema juu ya uongozi walikuwepo,wenye kuomba mabaya juu ya uongozi walikuwepo pia,sasa hili nalo najikuta nachelea kusema kwamba MUNGU ni wa wote na hujibu kwa kadri ya watu watakavyo.yamkini kuna maombi yalienda mbele sana mpaka yakafika kwa MUNGU kama yale maombi ya kolnerio na sasa MUNGU ameshuka kujibu tulichoomba,leo tena tuombe MUNGU abadilishe uelekeo atatuelewa kweli?

Najaribu kujifikirisha kwa sauti mkuu AKSANTE
 
Si dalili njema hata kidogo na bahati mbaya wakubwa kama wameweka pamba masikioni. Binafsi huwa naamini damu ya binadamu ina laana yake pale inapomwagika bila sababu ya msingi.
 
Ni jambo gumu kidogo kwa wale ambao si waamini. Visomo hivi vimezoeleka kuwa kwenye mambo ya binafsi zaidi. Hili la wiki hii ni kama linaelekea kuwa jambo la kitaifa.

Nimesikia majigambo mengi ya watawala, Nimemuona kwa macho yangu Ndugai akisema kwa midomo wake maneno haya CHEZA NA KITU KINGINE SIO NDUGAI. niliogopa sana.

Muda huu alfajiri kuna maombi yanafikia tamati pale kariakoo... Mchungaji kiongozi anataja damu iliyomwagika Tanzania.

Ishu ya kisomo hata kama imekuzwa sana lakini vema watawala wapate ujumbe wa kiroho wenye tafakuri kuu.

Kwamba wananchi wanaona hakuna kimbilio tena na hawana imani na serikali yao, sasa wanapeleka mashtaka yao kwenye NGUVU zisizojulikana. Hata kama visomo hivyo havitaleta madhara tarajiwa lakini ni ujumbe mbaya kwa serikali, kuna kaliba inahisi kuonewa na kunyanyaswa, kuna kaliba inaona wazi kabisa imetengwa na kufanywa yatima.

Energy ya hii kaliba isipuuzwe chondechonde! Tusiwafundishe watu kuacha misingi.

Viongozi na watawala tendeni kwa weledi, tendeni kwa hekima, tendeni kwa tafakuri na maono makuu.Angalieni malalamiko yasiwe mengi mno.

Tumshukuru Mungu wameamua kutumia silaha za maombi na visomo, waacheni msiwazuie. Hawana pengine pa kupumulia, hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna kuandamana. Hivi vitu husaidia mno kupunguza nyongo iliyozidi.

Tendeni kwa weledi sana hakukuwa na haja ya kuzuia wachangia damu pale Temeke hospital.. Mambo mengine mbona ni ya kawaida mno?

Kuna ule wimbo wa Ney, ule wa wapo. Baada tu ya Mwakyembe kuruhusu upigwe, haraka sana ule wimbo ukawa sio habari tena!

Visomo hivi ni njia mpya ya kushtua ya kupeleka ujumbe mkubwa.

Visipuuzwe! Visomo vikishindikana hali inaweza kuwa tofauti LAKINI visomo vikijibu hata kama ni coicedence? Tutegemee nini kama taifa?
Uongozi uliopo madarakani kwa sasa Tanzania katika mihimili hasa ya Serikali na Bunge ni wa hovyoo haujawahi kutokea Tanzania tangu ilipopata uhuru. Ni kioja sasa wananchi wanakimbilia kwenye albadili huku viongozi wa mihili hii wakijigamba "Sijaribiwi" na mwingine "chezea ndugai wewe!" . Huu ni ulofa wa uongozi uliopitiliza.

Mwingine nikisimama Mungu amesimama
 
Hakuna dini hapo usanii Tz na inapangwa Sio eti kwamba Watz wamegusws. Wtz ni wasanii snaa. Wale wa kibiti Maombi gani yalitolewa. "usihukumu na hautahukumiwa@ sasa nani ana uhakika wa haya mambo. Mmekuuwa na majibu ya haraka sna. Kma mmepanga kabisa haya mambo. Ndo mnafanya watu wenye akili wafikirie mbali. Mbona hamkuwahi kusoma kwa wezi wa mali za Taifa kama ndo uzalendo. Usanii huu utawarudia. MUNGU HAJARIBIWI endeleeni tu kuligawa taifa.
Kaka subiri mbona unaharaka ... tulia kama unazaa ... soon utajionea watu wakivaa chupi kichwani pale magogoni ...

Yaani itakua kituko ... sa'sijui kagame ateleta waganga kutoka Rwanda ...
 
Back
Top Bottom