prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,375
Mkuu mshana jr Ahsante.. Bandiko bora Kabisa..Jana nimesikitika Synthesizer Aliweka bandiko La kufikirisha ajabu Mods wakaliondoa kabla hatujaanza kuchangia
Otea!Kwa hiyo hapo ndiyo umemaliza ku comment au bado unaendelea
Wasome hata somo la ''Crisis Management'' Hawajui km kila mtu ni kichaa ''Degree of madness is measured when Angry''Ni jambo gumu kidogo kwa wale ambao si waamini. Visomo hivi vimezoeleka kuwa kwenye mambo ya binafsi zaidi. Hili la wiki hii ni kama linaelekea kuwa jambo la kitaifa.
Nimesikia majigambo mengi ya watawala, Nimemuona kwa macho yangu Ndugai akisema kwa midomo wake maneno haya CHEZA NA KITU KINGINE SIO NDUGAI. niliogopa sana.
Muda huu alfajiri kuna maombi yanafikia tamati pale kariakoo... Mchungaji kiongozi anataja damu iliyomwagika Tanzania.
Ishu ya kisomo hata kama imekuzwa sana lakini vema watawala wapate ujumbe wa kiroho wenye tafakuri kuu.
Kwamba wananchi wanaona hakuna kimbilio tena na hawana imani na serikali yao, sasa wanapeleka mashtaka yao kwenye NGUVU zisizojulikana. Hata kama visomo hivyo havitaleta madhara tarajiwa lakini ni ujumbe mbaya kwa serikali, kuna kaliba inahisi kuonewa na kunyanyaswa, kuna kaliba inaona wazi kabisa imetengwa na kufanywa yatima.
Energy ya hii kaliba isipuuzwe chondechonde! Tusiwafundishe watu kuacha misingi.
Viongozi na watawala tendeni kwa weledi, tendeni kwa hekima, tendeni kwa tafakuri na maono makuu.Angalieni malalamiko yasiwe mengi mno.
Tumshukuru Mungu wameamua kutumia silaha za maombi na visomo, waacheni msiwazuie. Hawana pengine pa kupumulia, hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna kuandamana. Hivi vitu husaidia mno kupunguza nyongo iliyozidi.
Tendeni kwa weledi sana hakukuwa na haja ya kuzuia wachangia damu pale Temeke hospital.. Mambo mengine mbona ni ya kawaida mno?
Kuna ule wimbo wa Ney, ule wa wapo. Baada tu ya Mwakyembe kuruhusu upigwe, haraka sana ule wimbo ukawa sio habari tena!
Visomo hivi ni njia mpya ya kushtua ya kupeleka ujumbe mkubwa.
Visipuuzwe! Visomo vikishindikana hali inaweza kuwa tofauti LAKINI visomo vikijibu hata kama ni coicedence? Tutegemee nini kama taifa?
Angalia wakati utakapodhihirisha ukweli usije kuwa wa kuumbuka. Wa kusema wacha waseme, wenye akili tunaweka akiba ya maneno!Mleta mada,
Nilikuwa naheshimu michango yako humu JF. Japo mengine yalipingana na Imani yangu ya dini lakini nilivumilia na kuamini ya kwamba wewe ni mtu makini na Mwenye busara.
Sikujua kama wewe ni mpuuzi wa kiwango hiki. Nashukuru kwa kunijulisha hilo.
Mnasambaza chuki na sumu ya ukabila katika Taifa letu. Ila Mungu ni zaidi ya nyinyi na soon ukweli utakuwa upenuni.
Shame on you mchawi kiongozi wa JF.
Ni Siku gani sefu aliyofanya visomo/au kutangaza visomo ili aingie madarakan hebu eleza ili tuamini hii kauli yko.Na wasome tu vitawarudia hiyo ni dalili ya kutapatapa
Kama visomo vingekua vinafanya kazi Sefu angekua madarakani,hakuna serikali inayoanguka kwa visomo,haswa vikiwa vinasomwa na wasanii
Ungekuwa na akili ungepita kimya. Wafuasi wa Kibwetere mna matatizo sana.Angalia wakati utakapodhihirisha ukweli usije kuwa wa kuumbuka. Wa kusema wacha waseme, wenye akili tunaweka akiba ya maneno!
Hili nalo neno, tena lenye ukweli mtupu!Mungu akitaka kumpiga kiongozi dharimu humuondolea hekima na busara...
PhotoshopWapi hiyo Mkuu???
......Malofa na wapumbavu ndio waliwao....hivi kama.unataka.kuvunja chungu au kusoma si usome tuu mpaka utangaze? Matangazo yanini kila mtu si aingie kwenye nyumba yake ya ibada asome? Hapo hakuna lolote ni utapeli tuu...
......Kwani lazima usome uwanjani? Kwani lazima ujuze watu...hata muda huu si wasome tuu wakiwa wamejifungia sehemu? Au mikwara tuuu....hakuna cha kisomo hapo....
Kumbe unatangaza biashara humu JF! Sasa nimekuelewa. Jipitie tu leo sina mkuki.Mkuu muwasho wako mkali balaa.Kwendraa huko kazibuliwe chemba kama kawaida yako.Lembembez anakusubiri
Mkuu hua ninakupa respect sna ktk maneno yako na hua sewezi kupingana na wewe lakini najaribu pia kufikili kwa undani na kukumbuka ya nyuma kwa sisi wenyewe wananchi kwambaNi jambo gumu kidogo kwa wale ambao si waamini. Visomo hivi vimezoeleka kuwa kwenye mambo ya binafsi zaidi. Hili la wiki hii ni kama linaelekea kuwa jambo la kitaifa.
Nimesikia majigambo mengi ya watawala, Nimemuona kwa macho yangu Ndugai akisema kwa midomo wake maneno haya CHEZA NA KITU KINGINE SIO NDUGAI. niliogopa sana.
Muda huu alfajiri kuna maombi yanafikia tamati pale kariakoo... Mchungaji kiongozi anataja damu iliyomwagika Tanzania.
Ishu ya kisomo hata kama imekuzwa sana lakini vema watawala wapate ujumbe wa kiroho wenye tafakuri kuu.
Kwamba wananchi wanaona hakuna kimbilio tena na hawana imani na serikali yao, sasa wanapeleka mashtaka yao kwenye NGUVU zisizojulikana. Hata kama visomo hivyo havitaleta madhara tarajiwa lakini ni ujumbe mbaya kwa serikali, kuna kaliba inahisi kuonewa na kunyanyaswa, kuna kaliba inaona wazi kabisa imetengwa na kufanywa yatima.
Energy ya hii kaliba isipuuzwe chondechonde! Tusiwafundishe watu kuacha misingi.
Viongozi na watawala tendeni kwa weledi, tendeni kwa hekima, tendeni kwa tafakuri na maono makuu.Angalieni malalamiko yasiwe mengi mno.
Tumshukuru Mungu wameamua kutumia silaha za maombi na visomo, waacheni msiwazuie. Hawana pengine pa kupumulia, hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna kuandamana. Hivi vitu husaidia mno kupunguza nyongo iliyozidi.
Tendeni kwa weledi sana hakukuwa na haja ya kuzuia wachangia damu pale Temeke hospital.. Mambo mengine mbona ni ya kawaida mno?
Kuna ule wimbo wa Ney, ule wa wapo. Baada tu ya Mwakyembe kuruhusu upigwe, haraka sana ule wimbo ukawa sio habari tena!
Visomo hivi ni njia mpya ya kushtua ya kupeleka ujumbe mkubwa.
Visipuuzwe! Visomo vikishindikana hali inaweza kuwa tofauti LAKINI visomo vikijibu hata kama ni coicedence? Tutegemee nini kama taifa?
Ni jambo gumu kidogo kwa wale ambao si waamini. Visomo hivi vimezoeleka kuwa kwenye mambo ya binafsi zaidi. Hili la wiki hii ni kama linaelekea kuwa jambo la kitaifa.
Nimesikia majigambo mengi ya watawala, Nimemuona kwa macho yangu Ndugai akisema kwa midomo wake maneno haya CHEZA NA KITU KINGINE SIO NDUGAI. niliogopa sana.
Muda huu alfajiri kuna maombi yanafikia tamati pale kariakoo... Mchungaji kiongozi anataja damu iliyomwagika Tanzania.
Ishu ya kisomo hata kama imekuzwa sana lakini vema watawala wapate ujumbe wa kiroho wenye tafakuri kuu.
Kwamba wananchi wanaona hakuna kimbilio tena na hawana imani na serikali yao, sasa wanapeleka mashtaka yao kwenye NGUVU zisizojulikana. Hata kama visomo hivyo havitaleta madhara tarajiwa lakini ni ujumbe mbaya kwa serikali, kuna kaliba inahisi kuonewa na kunyanyaswa, kuna kaliba inaona wazi kabisa imetengwa na kufanywa yatima.
Energy ya hii kaliba isipuuzwe chondechonde! Tusiwafundishe watu kuacha misingi.
Viongozi na watawala tendeni kwa weledi, tendeni kwa hekima, tendeni kwa tafakuri na maono makuu.Angalieni malalamiko yasiwe mengi mno.
Tumshukuru Mungu wameamua kutumia silaha za maombi na visomo, waacheni msiwazuie. Hawana pengine pa kupumulia, hakuna mikutano ya kisiasa, hakuna kuandamana. Hivi vitu husaidia mno kupunguza nyongo iliyozidi.
Tendeni kwa weledi sana hakukuwa na haja ya kuzuia wachangia damu pale Temeke hospital.. Mambo mengine mbona ni ya kawaida mno?
Kuna ule wimbo wa Ney, ule wa wapo. Baada tu ya Mwakyembe kuruhusu upigwe, haraka sana ule wimbo ukawa sio habari tena!
Visomo hivi ni njia mpya ya kushtua ya kupeleka ujumbe mkubwa.
Visipuuzwe! Visomo vikishindikana hali inaweza kuwa tofauti LAKINI visomo vikijibu hata kama ni coicedence? Tutegemee nini kama taifa?
Uongozi uliopo madarakani kwa sasa Tanzania katika mihimili hasa ya Serikali na Bunge ni wa hovyoo haujawahi kutokea Tanzania tangu ilipopata uhuru. Ni kioja sasa wananchi wanakimbilia kwenye albadili huku viongozi wa mihili hii wakijigamba "Sijaribiwi" na mwingine "chezea ndugai wewe!" . Huu ni ulofa wa uongozi uliopitiliza.
Kaka subiri mbona unaharaka ... tulia kama unazaa ... soon utajionea watu wakivaa chupi kichwani pale magogoni ...Hakuna dini hapo usanii Tz na inapangwa Sio eti kwamba Watz wamegusws. Wtz ni wasanii snaa. Wale wa kibiti Maombi gani yalitolewa. "usihukumu na hautahukumiwa@ sasa nani ana uhakika wa haya mambo. Mmekuuwa na majibu ya haraka sna. Kma mmepanga kabisa haya mambo. Ndo mnafanya watu wenye akili wafikirie mbali. Mbona hamkuwahi kusoma kwa wezi wa mali za Taifa kama ndo uzalendo. Usanii huu utawarudia. MUNGU HAJARIBIWI endeleeni tu kuligawa taifa.
time will tell