Visomo hivi si dalili njema sana

Visomo hivi si dalili njema sana

Wewe na hao wasoma kisomo akili yenu sawa. Mbona hawakusoma kibiti au Idi Amini? Akili fupi! Wasome tu

Wewe
IMG-20170917-WA0023.jpg
 
Mshana while I am sympathetical about Tundu lisu, putting your mind to such a primitive level s dangerous. Tusaidieni kuipeleka nchi mbele maana mwenye mawazo ya kisomo ni sawa na akili ya kuua albino ili ufanikiwe.

Tafsiri yake ni pana zaidi ya unavyoona kwenye picha
 
Mshana while I am sympathetical about Tundu lisu, putting your mind to such a primitive level s dangerous. Tusaidieni kuipeleka nchi mbele maana mwenye mawazo ya kisomo ni sawa na akili ya kuua albino ili ufanikiwe.
Lakini nadhani tunahitaji michango ya aina zote I mean mawazo ya kila aina ya kisomi na yasiyo ya kisomi
 
Mleta mada,
Nilikuwa naheshimu michango yako humu JF. Japo mengine yalipingana na Imani yangu ya dini lakini nilivumilia na kuamini ya kwamba wewe ni mtu makini na Mwenye busara.
Sikujua kama wewe ni mpuuzi wa kiwango hiki. Nashukuru kwa kunijulisha hilo.
Mnasambaza chuki na sumu ya ukabila katika Taifa letu. Ila Mungu ni zaidi ya nyinyi na soon ukweli utakuwa upenuni.
Shame on you mchawi kiongozi wa JF.
NAHISI 100% HUJAELEWA MAADA AU UJUMBE, POLE SANA NA HAUKO PEKE YAKO PITIA TENA UZI MKUU
 
Hakuna kitu hapo bana, mm ni Muislam walichofanya kama kisomo wapo kinyume kabisa na uislam, kisomo cha al badr ni ushirikina tena mkubwa hizo ni mbwembwe tu!, yaani mishirikina inawatisha mishirikina wenzakeo ujinga mtupu bora wangesema wanaomba dua, Adui mwombee dua njema huenda atakua mtu mzuri mbeleni au ukishindwa hilo omba dua kisha pigana Vita kavu kavu hill ndo ninalofahamu ktk uislam hakuna msaada isipokua kwa Mungu tu badr si ktk dini yetu ya uislam waache kuisingizia dini yetu na kuichafua wapumbavu wakubwa.
Tupe Aya mkuu
 
Mkuu mshana jr Ahsante.. Bandiko bora Kabisa..Jana nimesikitika Synthesizer Aliweka bandiko La kufikirisha ajabu Mods wakaliondoa kabla hatujaanza kuchangia

Mkuu Prs, afadhali umegundua. Sina tena imani na JF. Kwanza humu ndani JF, kabla hata ya Tundu Lisu kupigwa risasi, niliweka bandiko kwamba "Siasa za Tanzania za sasa ni rahisi sana kuzalisha ugaidi nchini", Moderators wakaona sijui nisemalo, wakanibadilishia titke ya thread baada ya watu kuchangia kwa nguvu sana. Wao wakaweka maneno eti sijui Watanzania tuishi kwa kuvumiliana - total crap. Sasa niliyosema yanatokea - ugaidi ugaidi tu. Kisha juzi hapa nimezungumzia kwamba japo Katiba ya Tanzania hairuhusu kumfungulia Raisi mashitaka, haikatazi kumhoji juu ya matukio kama upigwaji risasi wa Tundu Lisu. Wakaiondoa thread yangu haraka sana! Sasa huu uwazi wa JF sijui unaenda wapi. Siku hizi nime-tone down sana ushiriki wangu kuanzisha thread, haina maana tena. Nimekataa JF kunichagulia cha kusema! Na wanadai ni jukwaa huru - jukwaa huru my leg!
 
Hakuna dini hapo usanii Tz na inapangwa Sio eti kwamba Watz wamegusws. Wtz ni wasanii snaa. Wale wa kibiti Maombi gani yalitolewa. "usihukumu na hautahukumiwa@ sasa nani ana uhakika wa haya mambo. Mmekuuwa na majibu ya haraka sna. Kma mmepanga kabisa haya mambo. Ndo mnafanya watu wenye akili wafikirie mbali. Mbona hamkuwahi kusoma kwa wezi wa mali za Taifa kama ndo uzalendo. Usanii huu utawarudia. MUNGU HAJARIBIWI endeleeni tu kuligawa taifa.

Mkuu kwani wewe ulikuwa wapi hayo ya Kibiti yakitokea? Je ulizuiwa kufanya maombi? Mbona hukuongoza kuhamasisha maombi kwa ajili ya hao wakibiti. Ni upuuzi kushutumu watu wakifanya maombi kwa ajili ya mtu au tukio fulani kwa ajili wewe hukufanya maombi kwa ajili ya tukio lenye kipaumbele kwako.
 
Hakuna dini hapo usanii Tz na inapangwa Sio eti kwamba Watz wamegusws. Wtz ni wasanii snaa. Wale wa kibiti Maombi gani yalitolewa. "usihukumu na hautahukumiwa@ sasa nani ana uhakika wa haya mambo. Mmekuuwa na majibu ya haraka sna. Kma mmepanga kabisa haya mambo. Ndo mnafanya watu wenye akili wafikirie mbali. Mbona hamkuwahi kusoma kwa wezi wa mali za Taifa kama ndo uzalendo. Usanii huu utawarudia. MUNGU HAJARIBIWI endeleeni tu kuligawa taifa.
msifananishe mambo ya kibiti na LISSU, wala yule jenerali aliyeko lugalo watanzania wana akili timamu
 
msifananishe mambo ya kibiti na LISSU, wala yule jenerali aliyeko lugalo watanzania wana akili timamu
Hivi kuna mtz yeyote aliyeamini kwamba yule jenerali alipigwa risasi kweli? Vitu mingine vichekesho kweli kweli.
 
Back
Top Bottom