Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Nikamweleza suala la kazi. Akanambia atanisaidia kwenda kwa mzee wetu flani kule kijijini. Kweli baba alienda akanambia nimtumie kiasi flani cha pesa.nikatuma. zilitumwa dawa za kuoga na kutafuna. Niliambiwa nioge usiku ambao kesho yake naenda tafuta kazi. Then nilale chini, nisi sex ,nisinywe pombe.nlioga nikalala chini.

Kesho yake nikarudi Pugu Road( Nyerere Road) kule kule kwa wahindi. Nikasema nataka onana na manager.kweli nikapelekwa kwake.nikaonana naye nikamwambia nahitaji kazi.

Akanambia kama nipo tayari nianze muda huo anipeleke kwa supervisor.kweli akanipeleka kwa supervisor na kunambia nianze kazi ni deal na yale magari ambayo yalikuwa na shida kwenye body(panel beating)

Nikaanza kazi.

Hichi kipande kimenisisimua sanaa....
Na hichi kipande ndo mimi kimenifungua kwamba hii story nishaisoma kitambo sana ila sikumbuki vizuri msimuliaji alikuwa nani. Anyway tuendelee kuburudika nakujifunza pia
 
PART VI

Pale kazini nlifanya kazi miezi kama 8 hivi. Siku moja nlienda kazini nikaanza kazi zangu vizuri kama kawaida. Mchana hivi nlijiwa na kizunguzungu ghafla nikiwa chooni nliteleza katika mazingira ambayo chooni kwenyewe hakukuwa kunatelezesha kabisa. Kulikuwa kukavu.

Sikuanguka nikajigonga kichwa ukutani.nilitoka na kwenda kukaa chini ya gari moja nyuma kwenye Trailer.

Nikiwa nimekaa pale chini nliona kama mdada anakatisha mbele yangu akiwa ana nukia vizuri. Ila ghafla akapotea.

Maumivu ya kichwa yalizidi sana nikamwambia supervisor kuwa sipo ok. Kwa kuwa sikuwa na tabia ya kuomba omba ruhusa hakusita kuniruhusu kuondoka.

Nlirudi home nikiwa na joto kali sana huku natetemeka. Nlinunua panadol na kumeza nikaenda kulala. Nikiwa usingizini nilimwota Manager mmoja wa kihindi ambaye huyu alikuwa anaogopwa sana.alikuwa hana masikhara,ana matusi na anaamini waswahili ni wavivu. Hata wahindi wenzie walikuwa wanamwogopa. Akisema jambo hakuna wa kumpinga.

Nliota amenimwagia maji machafu. Nlishtuka kitandani saa 11 jioni nmeloana kwa jasho.nimeloana sana. Haraka nikamwambia mzee kuwa nina hali mbaya.

Mzee akanipa namba ya babu wetu wa familia. Nikampigia babu. Akaomba kama kuna nguo yangu yoyote ipelekwe kwake haraka. Ikapelekwa.

Alikuja nipigia simu usiku saa 8 niamke nikaoge. Nliamka kichwa kikiwa kinaniuma sana.

Nikaenda oga.nliporudi akanitaka nikae chini kabisa katikati ya chumba.

Akanambia kesho muda kama ule nliojigonga chooni ilitakiwa nife kwa maumivu ya kichwa ila kiuhalisia ni kuwa wale wahindi walitaka nitoa kafara.

Akanambia kuna jini nimetupiwa na lilikuwa linapambana na nguvu za ukoo. Akanambia nikaulize kazini mwaka jana kama kuna mtu alifariki na mwaka juzi.

But pia akanambia nisimwambie mtu jambo lolote kuhusiana na yale aliyonambia.

Kweli nlilala usiku ule kesho asubuhi nikaenda kazini. Kazini nlimuuliza jamaa yangu mmoja kuhusiana na wafanyakazi pale.

Kwenye maongezi jamaa alinambia pale almost kila mwaka lazima mtu afe.kutokana na zile kazi wengi hawanywi maziwa.so huwa wanaumwa kichwa then they pass away.

Lakini boss wao huwa anagharamia kila kitu ila anakosa muda wa kuhudhuria kwenye misiba. Husafirisha sehemu yoyote Tanzania bila shida.

Saa tano nlikuja itwa nikaonane na manager. Kufik ofisini kwake. Alikuwa amekasirika sana ananifokea kuwa hawezi vumilia uvivu na utoro.jana nmeondoka bila kufuata taratibu za kuomba ruksa.hivyo hataki niona tena pale kazini.

Nlishangaa kwa jinsi alivyokuwa amekasirika haraka akanambia niende kwa mhasibu akanipe stahiki zangu. Kwa mhasibu nlipofika nlikuta tayari ameshatenga mishahara yangu miwili.

Nlishangaa why iwe issue kubwa vile na ni kama imejadiliwa na kufanywa maamuzi.hamna kuomba msamaha,hamna maelezo. Nikatoka zangu kwenda beba vitu vyangu.

Nikarudi home .Katika watu ambao ni hatari ni wafanyabiashara tena wale wafanya biashara wakubwa achana na hawa wadogo wadogo.

Wafanyabiashara wengi Waarabu,Wahindi,Waswahili(Afrika) wanatumia sana ushirikina.pia ni wakatili sana linapokuja suala la pesa. Kukupoteza si jambo la kujiuliza mara mbili.

Sijafanya kazi kwa Wazungu. Nakumbuka CEO wa ile Kampuni pale Pugu Road alikuwa akifika asubuhi. Hasalimiani na mtu mpaka kwanza afike ofisini halafu anatoka ndo anasalimia.

Mkikutana asubuh kabla hajaingia ofisini kwake hakusemeshi na ukimsemesha hakujibu.

Yule bwana aliyenifukuza ilikuwa kuna kipindi cha sikukuu anatoa zawadi ya pesa yeye mwenyewe kila mtu anawekewa kwenye bahasha. Ila hakupi mkononi. Anaweka mezani kwa mkono wa kushoto halafu wewe ndo uichukue.

Siku moja kulitokea tatizo la umeme. Aliitwa fundi aje kutengeneza. Yule fundi alipanda juu darini akifuatilia waya wa umeme.

Aliyekuwa reception amekaa anasubiri (kwenda kwa Boss) dereva mmoja alikuwa anasubiri kuonana na Boss anasema kule juu alimsikia fundi akipiga kelele kali sana. Mara akaanguka akiwa ametoboa dari. Alipofika chini akawa anatoa povu. Walimpeleka hosp wale wahindi. Hatukumwona tena.

Haifahamiki nini kiliendelea maana hakuna taarifa ambayo iliwahi tangazwa next time alikuja fundi uneme mhindi.kukawa na minong'ono kuwa labda jamaa alishika umeme ukamrusha.

Haya yooote ndo yakaanza kuwa yanajirudia akilini. Nikarudi home.nikawa napata watu binafsi wanataka niwafanyie kazi. Nakodi mashine naenda wafanyia.

Nlikuja kupata msichana mmoja nikawa naye ghetto kipindi hicho nina vyumba vitatu kimoja ndo jiko na store.kingine sebule na kingine ndo cha kulala.

Nlikuwa na Kitanda kimoja tano kwa sita na kochi tatu za mbao za mtu mmoja mmoja.

Kiukweli kwa wasichana wa uswahilini walikuwa wananiona ninazo ukichukulia najipenda na mwonekano wangu. Basi yule bint akaanza taratibu akija anaacha nguo mwisho akija analala siku mbili tatu.

Mwisho akawa ndo mke wangu. Alikuwa mzuri sema mwongeaji sana.mimi nlikuwa mkimya mwenye aibu kiasi kwa mtu mgeni.but kwake nlizoea tu.

Yeye alikuwa ametoka Mbagala akawa anauza duka sinza baadaye anasema mume wa tajiri yake akawa anamtaka.wakagombana akaondoka. Akaanza kuuza vipodozi na mpaka muda huo alikuwa na kijiduka cha vipodozi na kisaluni.

Siku moja alikuja tembelewa na mdogo wake. Wakaenda kunywa pombe.mdogo mtu hakulewa sana ila huyu mke jina alilewa akarudi amechoka sana.

Nmerudi mimi saa mbili namkuta mdogo wake na yeye amelalal. Nikasalimiana na mdogo wake sababu tulikuwa tayari tunafahamiana.

Yule bint alikuwa mzuri kweli. Kama dada yake sema yeye umri mdogo. Halafu mtundu sana.

Mpka saa tatu ,saa nne sioni akitaka kuaga.na kumbuka anakaa mbagala ni mbali. Mwishowe akasema "leo shemu tunalala sote"

Nliona kama ananitania.wakati huo dada yake anakoroma tu kwenye kochi.

Akaingia chumbani kutandika.then akarudi kunambia chumbani tayari.nikambeba mke jina nikaenda mlaza.

Basi nami nikalala huku nikiamini anatania.

Akatoka akaenda oga.akarudi akaingia chumban akapanda kitandani.mke jina amelala tu anakoroma.

Yule bint alinisisimua maana nilitegemea angelala upande wa dada yake yeye akaja akaniweka katikati. Halafu kavaa khanga na chupi tu.

Siku ile nlifanya jambo la kijinga sana. Nlimla yule bint.mpaka usiku saa saba nlikuwa sijaweza lala. Nikamgeukia na kumgusisha **** akashika akasogeza chupi pembeni....

Sielewi ule ujasiri nlitoa wapi.asubuhi aliamka amechangamka tu wala hana wasiwasi.na mke jina analalamika kichwa kinamuuna.

Yule shemeji jina ilibidi nipange naye kuonana siku ile ile guest moja uswahilini huko ya 5,000 tukaenjoy sana. Huyu alikuwa mdogo wake kabisa kabisa mke jina.

Muda ulikuwa umepita nikaenda Mwenge kuulizia habari za Abdul. Kila mara baada ya mwezi nikakuta taarifa zake kuwa alikuja niulizia. Nilijawa na furaha sana.

Nikaelekezwa anakopatikana kwa mujibu wa maelezo yake. Abduli alikuwa anaishi Kinondoni. Muda mrefu ulikuwa umepita nlitamani sana kumwona.

Jumamosi nikaenda kinondoni Biafra sehemu ambayo alinielekeza nikiulizia ntampata. Siku nmekutana naye. Daaah.... Abdul bonge la bishooo... Anavaa hadi cheni na pete kibao mkononi. Alikuwa anaendesha gari toyota baloon. Nlishangaa sana. Abdul alikuwa si yule wa Kigoma.

Tulikaa sehemu tukawa tunakula...abdul anapiga na pombe za bei kubwa kidogo. Mimi mpaka muda huo nlikuwa naweza kunywa chupa moja au mbili tu. Katika maongezi ndo abdul akanipa michongo anayofanya. Nlishtuka sana....abdul hakuwa mwenzangu yule wa kutoka naye Kigoma....

Nitaendelea.....
 
Asanteeeee
PART VI

Pale kazini nlifanya kazi miezi kama 8 hivi. Siku moja nlienda kazini nikaanza kazi zangu vizuri kama kawaida. Mchana hivi nlijiwa na kizunguzungu ghafla nikiwa chooni nliteleza katika mazingira ambayo chooni kwenyewe hakukuwa kunatelezesha kabisa. Kulikuwa kukavu.

Sikuanguka nikajigonga kichwa ukutani.nilitoka na kwenda kukaa chini ya gari moja nyuma kwenye Trailer.

Nikiwa nimekaa pale chini nliona kama mdada anakatisha mbele yangu akiwa ana nukia vizuri. Ila ghafla akapotea.

Maumivu ya kichwa yalizidi sana nikamwambia supervisor kuwa sipo ok. Kwa kuwa sikuwa na tabia ya kuomba omba ruhusa hakusita kuniruhusu kuondoka.

Nlirudi home nikiwa na joto kali sana huku natetemeka. Nlinunua panadol na kumeza nikaenda kulala. Nikiwa usingizini nilimwota Manager mmoja wa kihindi ambaye huyu alikuwa anaogopwa sana.alikuwa hana masikhara,ana matusi na anaamini waswahili ni wavivu. Hata wahindi wenzie walikuwa wanamwogopa. Akisema jambo hakuna wa kumpinga.

Nliota amenimwagia maji machafu. Nlishtuka kitandani saa 11 jioni nmeloana kwa jasho.nimeloana sana. Haraka nikamwambia mzee kuwa nina hali mbaya.

Mzee akanipa namba ya babu wetu wa familia. Nikampigia babu. Akaomba kama kuna nguo yangu yoyote ipelekwe kwake haraka. Ikapelekwa.

Alikuja nipigia simu usiku saa 8 niamke nikaoge. Nliamka kichwa kikiwa kinaniuma sana.

Nikaenda oga.nliporudi akanitaka nikae chini kabisa katikati ya chumba.

Akanambia kesho muda kama ule nliojigonga chooni ilitakiwa nife kwa maumivu ya kichwa ila kiuhalisia ni kuwa wale wahindi walitaka nitoa kafara.

Akanambia kuna jini nimetupiwa na lilikuwa linapambana na nguvu za ukoo. Akanambia nikaulize kazini mwaka jana kama kuna mtu alifariki na mwaka juzi.

But pia akanambia nisimwambie mtu jambo lolote kuhusiana na yale aliyonambia.

Kweli nlilala usiku ule kesho asubuhi nikaenda kazini. Kazini nlimuuliza jamaa yangu mmoja kuhusiana na wafanyakazi pale.

Kwenye maongezi jamaa alinambia pale almost kila mwaka lazima mtu afe.kutokana na zile kazi wengi hawanywi maziwa.so huwa wanaumwa kichwa then they pass away.

Lakini boss wao huwa anagharamia kila kitu ila anakosa muda wa kuhudhuria kwenye misiba. Husafirisha sehemu yoyote Tanzania bila shida.

Saa tano nlikuja itwa nikaonane na manager. Kufik ofisini kwake. Alikuwa amekasirika sana ananifokea kuwa hawezi vumilia uvivu na utoro.jana nmeondoka bila kufuata taratibu za kuomba ruksa.hivyo hataki niona tena pale kazini.

Nlishangaa kwa jinsi alivyokuwa amekasirika haraka akanambia niende kwa mhasibu akanipe stahiki zangu. Kwa mhasibu nlipofika nlikuta tayari ameshatenga mishahara yangu miwili.

Nlishangaa why iwe issue kubwa vile na ni kama imejadiliwa na kufanywa maamuzi.hamna kuomba msamaha,hamna maelezo. Nikatoka zangu kwenda beba vitu vyangu.

Nikarudi home .Katika watu ambao ni hatari ni wafanyabiashara tena wale wafanya biashara wakubwa achana na hawa wadogo wadogo.

Wafanyabiashara wengi Waarabu,Wahindi,Waswahili(Afrika) wanatumia sana ushirikina.pia ni wakatili sana linapokuja suala la pesa. Kukupoteza si jambo la kujiuliza mara mbili.

Sijafanya kazi kwa Wazungu. Nakumbuka CEO wa ile Kampuni pale Pugu Road alikuwa akifika asubuhi. Hasalimiani na mtu mpaka kwanza afike ofisini halafu anatoka ndo anasalimia.

Mkikutana asubuh kabla hajaingia ofisini kwake hakusemeshi na ukimsemesha hakujibu.

Yule bwana aliyenifukuza ilikuwa kuna kipindi cha sikukuu anatoa zawadi ya pesa yeye mwenyewe kila mtu anawekewa kwenye bahasha. Ila hakupi mkononi. Anaweka mezani kwa mkono wa kushoto halafu wewe ndo uichukue.

Siku moja kulitokea tatizo la umeme. Aliitwa fundi aje kutengeneza. Yule fundi alipanda juu darini akifuatilia waya wa umeme.

Aliyekuwa reception amekaa anasubiri (kwenda kwa Boss) dereva mmoja alikuwa anasubiri kuonana na Boss anasema kule juu alimsikia fundi akipiga kelele kali sana. Mara akaanguka akiwa ametoboa dari. Alipofika chini akawa anatoa povu. Walimpeleka hosp wale wahindi. Hatukumwona tena.

Haifahamiki nini kiliendelea maana hakuna taarifa ambayo iliwahi tangazwa next time alikuja fundi uneme mhindi.kukawa na minong'ono kuwa labda jamaa alishika umeme ukamrusha.

Haya yooote ndo yakaanza kuwa yanajirudia nyumbani. Nikarudi home.nikawa napata watu binafsi wanataka niwafanyie kazi. Nakodi mashine naenda wafanyia.

Nlikuja kupata msichana mmoja nikawa naye ghetto kipindi hicho nina vyumba vitatu kimoja ndo jiko na store.kingine sebule na kingine ndo cha kulala.

Nlikuwa na Kitanda kimoja tano kwa sita na kochi tatu za mbao za mtu mmoja mmoja.

Kiukweli kwa wasichana wa uswahilini walikuwa wananiona ninazo ukichukulia najipenda na mwonekano wangu. Basi yule bint akaanza taratibu akija anaacha nguo mwisho akija analala siku mbili tatu.

Mwisho akawa ndo mke wangu. Alikuwa mzuri sema mwongeaji sana.mimi nlikuwa mkimya mwenye aibu kiasi kwa mtu mgeni.but kwake nlizoea tu.

Yeye alikuwa ametoka Mbagala akawa anauza duka sinza baadaye anasema mume wa tajiri yake akawa anamtaka.wakagombana akaondoka. Akaanza kuuza vipodozi na mpaka muda huo alikuwa na kijiduka cha vipodozi na kisaluni.

Siku moja alikuja tembelewa na mdogo wake. Wakaenda kunywa pombe.mdogo mtu hakulewa sana ila huyu mke jina alilewa akarudi amechoka sana.

Nmerudi mimi saa mbili namkuta mdogo wake na yeye amelalal. Nikasalimiana na mdogo wake sababu tulikuwa tayari tunafahamiana.

Yule bint alikuwa mzuri kweli. Kama dada yake sema yeye umri mdogo. Halafu mtundu sana.

Mpka saa tatu ,saa nne sioni akitaka kuaga.na kumbuka anakaa mbagala ni mbali. Mwishowe akasema "leo shemu tunalala sote"

Nliona kama ananitania.wakati huo dada yake anakoroma tu kwenye kochi.

Akaingia chumbani kutandika.then akarudi kunambia chumbani tayari.nikambeba mke jina nikaenda mlaza.

Basi nami nikalala huku nikiamini anatania.

Akatoka akaenda oga.akarudi akaingia chumban akapanda kitandani.mke jina amelala tu anakoroma.

Yule bint alinisisimua maana nilitegemea angelala upande wa dada yake yeye akaja akaniweka katikati. Halafu kavaa khanga na chupi tu.

Siku ile nlifanya jambo la kijinga sana. Nlimla yule bint.mpaka usiku saa saba nlikuwa sijaweza lala. Nikamgeukia na kumgusisha **** akashika akasogeza chupi pembeni....

Sielewi ule ujasiri nlitoa wapi.asubuhi aliamka amechangamka tu wala hana wasiwasi.na mke jina analalamika kichwa kinamuuna.

Yule shemeji jina ilibidi nipange naye kuonana siku ile ile guest moja uswahilini huko ya 5,000 tukaenjoy sana. Huyu alikuwa mdogo wake kabisa kabisa mke jina.

Muda ulikuwa umepita nikaenda Mwenge kuulizia habari za Abdul. Kila mara baada ya mwezi nikakuta taarifa zake kuwa alikuja niulizia. Nilijawa na furaha sana.

Nikaelekezwa anakopatikana kwa mujibu wa maelezo yake. Abduli alikuwa anaishi Kinondoni. Muda mrefu ulikuwa umepita nlitamani sana kumwona.

Jumamosi nikaenda kinondoni Biafra sehemu ambayo alinielekeza nikiulizia ntampata. Siku nmekutana naye. Daaah.... Abdul bonge la bishooo... Anavaa hadi cheni na pete kibao mkononi. Alikuwa anaendesha gari toyota baloon. Nlishangaa sana. Abdul alikuwa si yule wa Kigoma.

Tulikaa sehemu tukawa tunakula...abdul anapiga na pombe za bei kubwa kidogo. Mimi mpaka muda huo nlikuwa naweza kunywa chupa moja au mbili tu. Katika maongezi ndo abdul akanipa michongo anayofanya. Nlishtuka sana....abdul hakuwa mwenzangu yule wa kutoka naye Kigoma....

Nitaendelea.....
Arosto ni mbaya bhajameni😆😆
 
Le
PART VI

Pale kazini nlifanya kazi miezi kama 8 hivi. Siku moja nlienda kazini nikaanza kazi zangu vizuri kama kawaida. Mchana hivi nlijiwa na kizunguzungu ghafla nikiwa chooni nliteleza katika mazingira ambayo chooni kwenyewe hakukuwa kunatelezesha kabisa. Kulikuwa kukavu.

Sikuanguka nikajigonga kichwa ukutani.nilitoka na kwenda kukaa chini ya gari moja nyuma kwenye Trailer.

Nikiwa nimekaa pale chini nliona kama mdada anakatisha mbele yangu akiwa ana nukia vizuri. Ila ghafla akapotea.

Maumivu ya kichwa yalizidi sana nikamwambia supervisor kuwa sipo ok. Kwa kuwa sikuwa na tabia ya kuomba omba ruhusa hakusita kuniruhusu kuondoka.

Nlirudi home nikiwa na joto kali sana huku natetemeka. Nlinunua panadol na kumeza nikaenda kulala. Nikiwa usingizini nilimwota Manager mmoja wa kihindi ambaye huyu alikuwa anaogopwa sana.alikuwa hana masikhara,ana matusi na anaamini waswahili ni wavivu. Hata wahindi wenzie walikuwa wanamwogopa. Akisema jambo hakuna wa kumpinga.

Nliota amenimwagia maji machafu. Nlishtuka kitandani saa 11 jioni nmeloana kwa jasho.nimeloana sana. Haraka nikamwambia mzee kuwa nina hali mbaya.

Mzee akanipa namba ya babu wetu wa familia. Nikampigia babu. Akaomba kama kuna nguo yangu yoyote ipelekwe kwake haraka. Ikapelekwa.

Alikuja nipigia simu usiku saa 8 niamke nikaoge. Nliamka kichwa kikiwa kinaniuma sana.

Nikaenda oga.nliporudi akanitaka nikae chini kabisa katikati ya chumba.

Akanambia kesho muda kama ule nliojigonga chooni ilitakiwa nife kwa maumivu ya kichwa ila kiuhalisia ni kuwa wale wahindi walitaka nitoa kafara.

Akanambia kuna jini nimetupiwa na lilikuwa linapambana na nguvu za ukoo. Akanambia nikaulize kazini mwaka jana kama kuna mtu alifariki na mwaka juzi.

But pia akanambia nisimwambie mtu jambo lolote kuhusiana na yale aliyonambia.

Kweli nlilala usiku ule kesho asubuhi nikaenda kazini. Kazini nlimuuliza jamaa yangu mmoja kuhusiana na wafanyakazi pale.

Kwenye maongezi jamaa alinambia pale almost kila mwaka lazima mtu afe.kutokana na zile kazi wengi hawanywi maziwa.so huwa wanaumwa kichwa then they pass away.

Lakini boss wao huwa anagharamia kila kitu ila anakosa muda wa kuhudhuria kwenye misiba. Husafirisha sehemu yoyote Tanzania bila shida.

Saa tano nlikuja itwa nikaonane na manager. Kufik ofisini kwake. Alikuwa amekasirika sana ananifokea kuwa hawezi vumilia uvivu na utoro.jana nmeondoka bila kufuata taratibu za kuomba ruksa.hivyo hataki niona tena pale kazini.

Nlishangaa kwa jinsi alivyokuwa amekasirika haraka akanambia niende kwa mhasibu akanipe stahiki zangu. Kwa mhasibu nlipofika nlikuta tayari ameshatenga mishahara yangu miwili.

Nlishangaa why iwe issue kubwa vile na ni kama imejadiliwa na kufanywa maamuzi.hamna kuomba msamaha,hamna maelezo. Nikatoka zangu kwenda beba vitu vyangu.

Nikarudi home .Katika watu ambao ni hatari ni wafanyabiashara tena wale wafanya biashara wakubwa achana na hawa wadogo wadogo.

Wafanyabiashara wengi Waarabu,Wahindi,Waswahili(Afrika) wanatumia sana ushirikina.pia ni wakatili sana linapokuja suala la pesa. Kukupoteza si jambo la kujiuliza mara mbili.

Sijafanya kazi kwa Wazungu. Nakumbuka CEO wa ile Kampuni pale Pugu Road alikuwa akifika asubuhi. Hasalimiani na mtu mpaka kwanza afike ofisini halafu anatoka ndo anasalimia.

Mkikutana asubuh kabla hajaingia ofisini kwake hakusemeshi na ukimsemesha hakujibu.

Yule bwana aliyenifukuza ilikuwa kuna kipindi cha sikukuu anatoa zawadi ya pesa yeye mwenyewe kila mtu anawekewa kwenye bahasha. Ila hakupi mkononi. Anaweka mezani kwa mkono wa kushoto halafu wewe ndo uichukue.

Siku moja kulitokea tatizo la umeme. Aliitwa fundi aje kutengeneza. Yule fundi alipanda juu darini akifuatilia waya wa umeme.

Aliyekuwa reception amekaa anasubiri (kwenda kwa Boss) dereva mmoja alikuwa anasubiri kuonana na Boss anasema kule juu alimsikia fundi akipiga kelele kali sana. Mara akaanguka akiwa ametoboa dari. Alipofika chini akawa anatoa povu. Walimpeleka hosp wale wahindi. Hatukumwona tena.

Haifahamiki nini kiliendelea maana hakuna taarifa ambayo iliwahi tangazwa next time alikuja fundi uneme mhindi.kukawa na minong'ono kuwa labda jamaa alishika umeme ukamrusha.

Haya yooote ndo yakaanza kuwa yanajirudia akilini. Nikarudi home.nikawa napata watu binafsi wanataka niwafanyie kazi. Nakodi mashine naenda wafanyia.

Nlikuja kupata msichana mmoja nikawa naye ghetto kipindi hicho nina vyumba vitatu kimoja ndo jiko na store.kingine sebule na kingine ndo cha kulala.

Nlikuwa na Kitanda kimoja tano kwa sita na kochi tatu za mbao za mtu mmoja mmoja.

Kiukweli kwa wasichana wa uswahilini walikuwa wananiona ninazo ukichukulia najipenda na mwonekano wangu. Basi yule bint akaanza taratibu akija anaacha nguo mwisho akija analala siku mbili tatu.

Mwisho akawa ndo mke wangu. Alikuwa mzuri sema mwongeaji sana.mimi nlikuwa mkimya mwenye aibu kiasi kwa mtu mgeni.but kwake nlizoea tu.

Yeye alikuwa ametoka Mbagala akawa anauza duka sinza baadaye anasema mume wa tajiri yake akawa anamtaka.wakagombana akaondoka. Akaanza kuuza vipodozi na mpaka muda huo alikuwa na kijiduka cha vipodozi na kisaluni.

Siku moja alikuja tembelewa na mdogo wake. Wakaenda kunywa pombe.mdogo mtu hakulewa sana ila huyu mke jina alilewa akarudi amechoka sana.

Nmerudi mimi saa mbili namkuta mdogo wake na yeye amelalal. Nikasalimiana na mdogo wake sababu tulikuwa tayari tunafahamiana.

Yule bint alikuwa mzuri kweli. Kama dada yake sema yeye umri mdogo. Halafu mtundu sana.

Mpka saa tatu ,saa nne sioni akitaka kuaga.na kumbuka anakaa mbagala ni mbali. Mwishowe akasema "leo shemu tunalala sote"

Nliona kama ananitania.wakati huo dada yake anakoroma tu kwenye kochi.

Akaingia chumbani kutandika.then akarudi kunambia chumbani tayari.nikambeba mke jina nikaenda mlaza.

Basi nami nikalala huku nikiamini anatania.

Akatoka akaenda oga.akarudi akaingia chumban akapanda kitandani.mke jina amelala tu anakoroma.

Yule bint alinisisimua maana nilitegemea angelala upande wa dada yake yeye akaja akaniweka katikati. Halafu kavaa khanga na chupi tu.

Siku ile nlifanya jambo la kijinga sana. Nlimla yule bint.mpaka usiku saa saba nlikuwa sijaweza lala. Nikamgeukia na kumgusisha **** akashika akasogeza chupi pembeni....

Sielewi ule ujasiri nlitoa wapi.asubuhi aliamka amechangamka tu wala hana wasiwasi.na mke jina analalamika kichwa kinamuuna.

Yule shemeji jina ilibidi nipange naye kuonana siku ile ile guest moja uswahilini huko ya 5,000 tukaenjoy sana. Huyu alikuwa mdogo wake kabisa kabisa mke jina.

Muda ulikuwa umepita nikaenda Mwenge kuulizia habari za Abdul. Kila mara baada ya mwezi nikakuta taarifa zake kuwa alikuja niulizia. Nilijawa na furaha sana.

Nikaelekezwa anakopatikana kwa mujibu wa maelezo yake. Abduli alikuwa anaishi Kinondoni. Muda mrefu ulikuwa umepita nlitamani sana kumwona.

Jumamosi nikaenda kinondoni Biafra sehemu ambayo alinielekeza nikiulizia ntampata. Siku nmekutana naye. Daaah.... Abdul bonge la bishooo... Anavaa hadi cheni na pete kibao mkononi. Alikuwa anaendesha gari toyota baloon. Nlishangaa sana. Abdul alikuwa si yule wa Kigoma.

Tulikaa sehemu tukawa tunakula...abdul anapiga na pombe za bei kubwa kidogo. Mimi mpaka muda huo nlikuwa naweza kunywa chupa moja au mbili tu. Katika maongezi ndo abdul akanipa michongo anayofanya. Nlishtuka sana....abdul hakuwa mwenzangu yule wa kutoka naye Kigoma....

Nitaendelea.........
Leta mchuziiiiiiiii
 
PART VI

Pale kazini nlifanya kazi miezi kama 8 hivi. Siku moja nlienda kazini nikaanza kazi zangu vizuri kama kawaida. Mchana hivi nlijiwa na kizunguzungu ghafla nikiwa chooni nliteleza katika mazingira ambayo chooni kwenyewe hakukuwa kunatelezesha kabisa. Kulikuwa kukavu.

Sikuanguka nikajigonga kichwa ukutani.nilitoka na kwenda kukaa chini ya gari moja nyuma kwenye Trailer.

Nikiwa nimekaa pale chini nliona kama mdada anakatisha mbele yangu akiwa ana nukia vizuri. Ila ghafla akapotea.

Maumivu ya kichwa yalizidi sana nikamwambia supervisor kuwa sipo ok. Kwa kuwa sikuwa na tabia ya kuomba omba ruhusa hakusita kuniruhusu kuondoka.

Nlirudi home nikiwa na joto kali sana huku natetemeka. Nlinunua panadol na kumeza nikaenda kulala. Nikiwa usingizini nilimwota Manager mmoja wa kihindi ambaye huyu alikuwa anaogopwa sana.alikuwa hana masikhara,ana matusi na anaamini waswahili ni wavivu. Hata wahindi wenzie walikuwa wanamwogopa. Akisema jambo hakuna wa kumpinga.

Nliota amenimwagia maji machafu. Nlishtuka kitandani saa 11 jioni nmeloana kwa jasho.nimeloana sana. Haraka nikamwambia mzee kuwa nina hali mbaya.

Mzee akanipa namba ya babu wetu wa familia. Nikampigia babu. Akaomba kama kuna nguo yangu yoyote ipelekwe kwake haraka. Ikapelekwa.

Alikuja nipigia simu usiku saa 8 niamke nikaoge. Nliamka kichwa kikiwa kinaniuma sana.

Nikaenda oga.nliporudi akanitaka nikae chini kabisa katikati ya chumba.

Akanambia kesho muda kama ule nliojigonga chooni ilitakiwa nife kwa maumivu ya kichwa ila kiuhalisia ni kuwa wale wahindi walitaka nitoa kafara.

Akanambia kuna jini nimetupiwa na lilikuwa linapambana na nguvu za ukoo. Akanambia nikaulize kazini mwaka jana kama kuna mtu alifariki na mwaka juzi.

But pia akanambia nisimwambie mtu jambo lolote kuhusiana na yale aliyonambia.

Kweli nlilala usiku ule kesho asubuhi nikaenda kazini. Kazini nlimuuliza jamaa yangu mmoja kuhusiana na wafanyakazi pale.

Kwenye maongezi jamaa alinambia pale almost kila mwaka lazima mtu afe.kutokana na zile kazi wengi hawanywi maziwa.so huwa wanaumwa kichwa then they pass away.

Lakini boss wao huwa anagharamia kila kitu ila anakosa muda wa kuhudhuria kwenye misiba. Husafirisha sehemu yoyote Tanzania bila shida.

Saa tano nlikuja itwa nikaonane na manager. Kufik ofisini kwake. Alikuwa amekasirika sana ananifokea kuwa hawezi vumilia uvivu na utoro.jana nmeondoka bila kufuata taratibu za kuomba ruksa.hivyo hataki niona tena pale kazini.

Nlishangaa kwa jinsi alivyokuwa amekasirika haraka akanambia niende kwa mhasibu akanipe stahiki zangu. Kwa mhasibu nlipofika nlikuta tayari ameshatenga mishahara yangu miwili.

Nlishangaa why iwe issue kubwa vile na ni kama imejadiliwa na kufanywa maamuzi.hamna kuomba msamaha,hamna maelezo. Nikatoka zangu kwenda beba vitu vyangu.

Nikarudi home .Katika watu ambao ni hatari ni wafanyabiashara tena wale wafanya biashara wakubwa achana na hawa wadogo wadogo.

Wafanyabiashara wengi Waarabu,Wahindi,Waswahili(Afrika) wanatumia sana ushirikina.pia ni wakatili sana linapokuja suala la pesa. Kukupoteza si jambo la kujiuliza mara mbili.

Sijafanya kazi kwa Wazungu. Nakumbuka CEO wa ile Kampuni pale Pugu Road alikuwa akifika asubuhi. Hasalimiani na mtu mpaka kwanza afike ofisini halafu anatoka ndo anasalimia.

Mkikutana asubuh kabla hajaingia ofisini kwake hakusemeshi na ukimsemesha hakujibu.

Yule bwana aliyenifukuza ilikuwa kuna kipindi cha sikukuu anatoa zawadi ya pesa yeye mwenyewe kila mtu anawekewa kwenye bahasha. Ila hakupi mkononi. Anaweka mezani kwa mkono wa kushoto halafu wewe ndo uichukue.

Siku moja kulitokea tatizo la umeme. Aliitwa fundi aje kutengeneza. Yule fundi alipanda juu darini akifuatilia waya wa umeme.

Aliyekuwa reception amekaa anasubiri (kwenda kwa Boss) dereva mmoja alikuwa anasubiri kuonana na Boss anasema kule juu alimsikia fundi akipiga kelele kali sana. Mara akaanguka akiwa ametoboa dari. Alipofika chini akawa anatoa povu. Walimpeleka hosp wale wahindi. Hatukumwona tena.

Haifahamiki nini kiliendelea maana hakuna taarifa ambayo iliwahi tangazwa next time alikuja fundi uneme mhindi.kukawa na minong'ono kuwa labda jamaa alishika umeme ukamrusha.

Haya yooote ndo yakaanza kuwa yanajirudia akilini. Nikarudi home.nikawa napata watu binafsi wanataka niwafanyie kazi. Nakodi mashine naenda wafanyia.

Nlikuja kupata msichana mmoja nikawa naye ghetto kipindi hicho nina vyumba vitatu kimoja ndo jiko na store.kingine sebule na kingine ndo cha kulala.

Nlikuwa na Kitanda kimoja tano kwa sita na kochi tatu za mbao za mtu mmoja mmoja.

Kiukweli kwa wasichana wa uswahilini walikuwa wananiona ninazo ukichukulia najipenda na mwonekano wangu. Basi yule bint akaanza taratibu akija anaacha nguo mwisho akija analala siku mbili tatu.

Mwisho akawa ndo mke wangu. Alikuwa mzuri sema mwongeaji sana.mimi nlikuwa mkimya mwenye aibu kiasi kwa mtu mgeni.but kwake nlizoea tu.

Yeye alikuwa ametoka Mbagala akawa anauza duka sinza baadaye anasema mume wa tajiri yake akawa anamtaka.wakagombana akaondoka. Akaanza kuuza vipodozi na mpaka muda huo alikuwa na kijiduka cha vipodozi na kisaluni.

Siku moja alikuja tembelewa na mdogo wake. Wakaenda kunywa pombe.mdogo mtu hakulewa sana ila huyu mke jina alilewa akarudi amechoka sana.

Nmerudi mimi saa mbili namkuta mdogo wake na yeye amelalal. Nikasalimiana na mdogo wake sababu tulikuwa tayari tunafahamiana.

Yule bint alikuwa mzuri kweli. Kama dada yake sema yeye umri mdogo. Halafu mtundu sana.

Mpka saa tatu ,saa nne sioni akitaka kuaga.na kumbuka anakaa mbagala ni mbali. Mwishowe akasema "leo shemu tunalala sote"

Nliona kama ananitania.wakati huo dada yake anakoroma tu kwenye kochi.

Akaingia chumbani kutandika.then akarudi kunambia chumbani tayari.nikambeba mke jina nikaenda mlaza.

Basi nami nikalala huku nikiamini anatania.

Akatoka akaenda oga.akarudi akaingia chumban akapanda kitandani.mke jina amelala tu anakoroma.

Yule bint alinisisimua maana nilitegemea angelala upande wa dada yake yeye akaja akaniweka katikati. Halafu kavaa khanga na chupi tu.

Siku ile nlifanya jambo la kijinga sana. Nlimla yule bint.mpaka usiku saa saba nlikuwa sijaweza lala. Nikamgeukia na kumgusisha **** akashika akasogeza chupi pembeni....

Sielewi ule ujasiri nlitoa wapi.asubuhi aliamka amechangamka tu wala hana wasiwasi.na mke jina analalamika kichwa kinamuuna.

Yule shemeji jina ilibidi nipange naye kuonana siku ile ile guest moja uswahilini huko ya 5,000 tukaenjoy sana. Huyu alikuwa mdogo wake kabisa kabisa mke jina.

Muda ulikuwa umepita nikaenda Mwenge kuulizia habari za Abdul. Kila mara baada ya mwezi nikakuta taarifa zake kuwa alikuja niulizia. Nilijawa na furaha sana.

Nikaelekezwa anakopatikana kwa mujibu wa maelezo yake. Abduli alikuwa anaishi Kinondoni. Muda mrefu ulikuwa umepita nlitamani sana kumwona.

Jumamosi nikaenda kinondoni Biafra sehemu ambayo alinielekeza nikiulizia ntampata. Siku nmekutana naye. Daaah.... Abdul bonge la bishooo... Anavaa hadi cheni na pete kibao mkononi. Alikuwa anaendesha gari toyota baloon. Nlishangaa sana. Abdul alikuwa si yule wa Kigoma.

Tulikaa sehemu tukawa tunakula...abdul anapiga na pombe za bei kubwa kidogo. Mimi mpaka muda huo nlikuwa naweza kunywa chupa moja au mbili tu. Katika maongezi ndo abdul akanipa michongo anayofanya. Nlishtuka sana....abdul hakuwa mwenzangu yule wa kutoka naye Kigoma....

Nitaendelea.....
Ina sisimua sana aisee.

Btw, kuna hicho kipande naona ulikula tunda kimasihara
 
Chief nimeifuatilia story yako, inazidi nipa reflection ya mambo kadhaa ambayo nimekutana nayo kupitia (kwa waganga ambao nimeshatembelea kwao), watu niliofamiana nao in the course of life na wanawake [ni mmoja hasa] niliyekuwa naye. Huyu mwanamke alinifumbua macho kwa mambo mengi ya kusaka utajiri huko ziwa tanganyika. Noti alikuwa nayo hasa, licha ya kuwa alikua akinipenda na sometimes kunipiga tafu sana financially maana by that time nilikua broke, niliamua kuachana nae baada ya kuniletea story za maagano kati yangu na yeye [hiki ni kitu kibaya sana], ingawa haikuwa rahisi kuachana nae.

pia nilipokuwa university, kuna jambo lilitokea likanilazimu niwe na lala ghetto kwa jamaa yangu. Yule jamaa alikuwa na ghetto kama lile aliloimba ngwea. Kilichonishangaza jamaa alikuwa analala chini. Nimepoa pale geto siku tatu, ikabidi nijikatae nitafute kigesti hausi nipoe kwa muda, mishe za yule mkigoma nilikua sizielewi. Huwezi kuwa tajiri kama huna roho ngumu.
 
Chief nimeifuatilia story yako, inazidi nipa reflection ya mambo kadhaa ambayo nimekutana nayo kupitia (kwa waganga ambao nimeshatembelea kwao), watu niliofamiana nao in the course of life na wanawake [ni mmoja hasa] niliyekuwa naye. Huyu mwanamke alinifumbua macho kwa mambo mengi ya kusaka utajiri huko ziwa tanganyika. Noti alikuwa nayo hasa, licha ya kuwa alikua akinipenda na sometimes kunipiga tafu sana financially maana by that time nilikua broke, niliamua kuachana nae baada ya kuniletea story za maagano kati yangu na yeye [hiki ni kitu kibaya sana], ingawa haikuwa rahisi kuachana nae.

pia nilipokuwa university, kuna jambo lilitokea likanilazimu niwe na lala ghetto kwa jamaa yangu. Yule jamaa alikuwa na ghetto kama lile aliloimba ngwea. Kilichonishangaza jamaa alikuwa analala chini. Nimepoa pale geto siku tatu, ikabidi nijikatae nitafute kigesti hausi nipoe kwa muda, mishe za yule mkigoma nilikua sizielewi. Huwezi kuwa tajiri kama huna roho ngumu.
Unalijua ghetto la Ngwea wewe?
 
Chief nimeifuatilia story yako, inazidi nipa reflection ya mambo kadhaa ambayo nimekutana nayo kupitia (kwa waganga ambao nimeshatembelea kwao), watu niliofamiana nao in the course of life na wanawake [ni mmoja hasa] niliyekuwa naye. Huyu mwanamke alinifumbua macho kwa mambo mengi ya kusaka utajiri huko ziwa tanganyika. Noti alikuwa nayo hasa, licha ya kuwa alikua akinipenda na sometimes kunipiga tafu sana financially maana by that time nilikua broke, niliamua kuachana nae baada ya kuniletea story za maagano kati yangu na yeye [hiki ni kitu kibaya sana], ingawa haikuwa rahisi kuachana nae.

pia nilipokuwa university, kuna jambo lilitokea likanilazimu niwe na lala ghetto kwa jamaa yangu. Yule jamaa alikuwa na ghetto kama lile aliloimba ngwea. Kilichonishangaza jamaa alikuwa analala chini. Nimepoa pale geto siku tatu, ikabidi nijikatae nitafute kigesti hausi nipoe kwa muda, mishe za yule mkigoma nilikua sizielewi. Huwezi kuwa tajiri kama huna roho ngumu.
Utajiri una mambo mengi sana. Maagano yapo sana. Mtu ambaye hajapitia changamoto hizi anaweza ona ni hadhith za alfu lela ulela.mtu mmoja alinambia kama siyo MBINAFSI,SIYO MCHOYO,MKATILI HUWEZI KUWA TAJIRI.
 
Back
Top Bottom