Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Kuna watu humu jamvini wanaishi Kwa kubisha na kuponda kila kitu wapumbavu sana aiseeUsiishi kwa kukariri ndugu, huwezi kuwa mjuvi wa kila kitu vitu vingine uliza ufahamishwe. Walioishi Mwanza na maeneo yenye ushirikina wa Mamba, hili wala sio la ajabu.