Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Sasa ww hyo mbona ndogo mkuu hujazngua wala.. Mimi j2 moja saa moja nko bar siku hyo dili langu la online freelancing kipind nko chuo lilitema nkaotea kama dollar 780 nimeisubiria karbia 2month aisee mpaka inafika saa 10:30am niko bati siunaelewa valeur kubwa ukipiga mwenyew.

Nkaona ngoja nikachek sehem flan nyama choma si nimefika sehem nkakuta watu wamekaa naona sahan zinaandaliwa nkasema yes kumbe ni harambee ya kanisa nkaingia nkakaa na mimi msafara nkaunga pastor ananipimia tu, baada ya menu nkawasalimia wote alaf nkalaza.

Nkaamia bar ingne agiza mdudu na ugali aisee baada ya kula si nkaletewa tissue nikaushe mikono nkaona pilipil iko mezan mi nimeshika tissue kumbe najua ni nyama.. Nkachomvea tissue kweny pilipil alaf nikaitupia mdomon aisee kulikuwa na meza pemben wale masister walicheka kinoma mpaka wakaja kukaa meza moja na mimi nachokumbuka asubuh nimeamka nko kifua waz alaf naangalia nko wap naona geto flan lina pochi ya kike na nguo,tv kumbe nliondoka na dem mmoja.

Nimetoka room seblen namkuta anaandaa chai aisee mpaka nikawa sielew, nkapiga chai nkatoka simu inaita kumbe nliacha nkaibuka bar nkachukua koti nkaeka gambe tena jion yake nlijikuta nipo town alaf sijui nimeenda fwata nin aise acha kabsa.
Uliipiga mkuu au?
 
Nakumbuka tukiwa chuo mshkaji wangu akaniambia tukastue akili kijijini ,tukapiga mbege chubuku mbili+konyagi kubwa sasa tukawa tumeishiwa ikabidi tuwe tunapiga debe watu waingie kwenye hice, gari ikajaa tukamzidi konda akili akatulia kama abiria wengine huku sisi tumedandia mlangoni tunazinguana na mshkaji wangu watu kwenye gari nikucheka tuu.

tukafika tunaposhuka tukaondoka konda anaseme nyie wahuni nyie nlijua tuu Hamna nauli,hapo tunalekea kwa jamaa wa masters alituambia tukachinje mbuzi kufika tukalianzisha tungi tena tukachinja tukachoma nikakomaa nikachkua kichwa cha mbuzi nkasepa nacho hiyo ni mida ya saa tano usiku geto ni mbali kidogo kuulizia bodaboda ni elfu 7

nikaona ujinga huu bora niende mdogomdogo huwezi amini nilifika mahali nikasikia mbwa wanabweka mbaya kabisa kugeuka nyuma mbwa kama mia hivi wanataka ile kichwa ya mbuzi mbaya zaidi hamna hata jabali ikabidi nivurumishe ile kichwa chini vumbi likatimka nkaona mbwa wanakimbia na Mimi nikawatolea uchovu nikaanza kuwatimua hapo fungi limekata kufika homu mikono imechubuka kesho yake nkamwambia dogo kuna kichwa ya ndafu kwenye mfuko set supu dogo ananiambia umekiokota wapi mbona kina vumbi hivi kweli kucheki utafkiri mzoga ikabidi kiundwe Kibishi ,baada yakumweleza kilichonisibu.

Ila kuacha siwezi huwa nainjoi haya matukio sana
 
Pombe acheni iitwe pombe tu haswa hizi kali,nishafanya viroja si haba hadi kumramba kichwa ubavu wangu.

August 2013,09 usiku wa eid mosi tulipiga vyombo magetoni nyumba za kota zile mpaka saa sita sita hv tulipojiridhisha kwamba sasa tumewaka likaja wazo twende baa ili kuepusha soo tusije fanya maajabu kesho tukawa stori kitaa,basi bwana wengine wakasema twende buguruni wengine tukakaza buguruni mbali na tushakua tungi,ikabidi tuliunge buryaga pale.

Pale napo tukavamia nyagi sijui sigara ilimradi fujo tu vituko vya kila aina sumbua sana mabaamedi mara hivi....kushtuka morn najikuta nipo gheto kwny kiti masela wengine kitandani mzee na viatu miguuni nikaona isiwe kesi namstua jamaa namuuliza tumerudijerudije et ananijibu hata yy hajui...ebwana eeeeeh pombe zote ziliniisha nikaanza kujikagua najiuliza wahuni hawajatufanya vibaya kweli?

Nikaenda kumfuata jamaa yangu nwngne ye dada zake hawakulala walimuweka sebuleni usiku kucha wanamkanda, ndo nikasimuliwa pale what happened, ila hamna siku nilijikuta boya km ile siku asee.

Na baada ya pale kuna jamaa waliugua homa na vipandauso km wiki mbili na pombe waliacha tangu hyo siku.
 
Hivi kwa nini walevi wakinywa pombe wanaongea sana kiingereza kuna uhusiano gani kati ya pombe na kiingereza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wengi kiingereza wanajua ( chakuandika)...what they write comes from mind....what they speak comes..wanashindwa kuongea wanapokua sober sababu wanakosa confidence ambayo wanaipata wakiwa drunk...huwezi kulewa ukaongea kirusi kama hakipo kwenye mind.
 
Hapa kama ninakiri!

Kitendo kilichonifanya kuacha kunywa pombe ni tukio la aibu nililolifanya miaka 30 iliyopita, lakini hadi leo bado linanibungua kichwa kwa aibu ile!

Miaka hiyo nilikuwa ninaishi 'kotaz' nyumba zenye kufanana kuanzia sura, rangi na mpaka mazingira ya nje.

Kimbembe kilipoanzia ni pale nilipotoka safari na kukuta 'ugeni' wa rafiki yangu wa siku nyingi kanitembelea hapo nyumbani.

Mahali gani pazuri pa kumpeleka 'outing' huyu ndugu akasuuze roho yake, hakuna pengine ni bar tu!

Sa9 alasiri tayari tupo kwenye meza ndefu tunakunywa, baada kama ya saa1 na nusu nikamuona mgeni wangu 'keshanitaimu' kalewa tayari mimi bado mkavu na bia hazinibambi, nikaona kama ananisanifu, sasa nifanyeje kufukia mashimo?

Wakati natafakari cha kufanya, nikaona mgeni wangu yupo chakari kabisa, nikaitisha tax ikampeleka nyumbani, mi nikabaki bar.

Bia zilivyoendelea kudunda nikaona niagize pombe kali nimix ili kupata ulabu kwa kasi, kumbe ninajitengenezea sumu!

Nikachukua viroba viwili vya 'power' (pombe ilikuwa inaingizwa toka Zambia)nikavimiminia kwenye chupa ya bia na kuanza kuifakamia.

Kumbukumbu zangu ndiyo zilipokomea hapo, yaliyofuata ni simulizi tu nilizokuja kusimuliwa bila mimi kukumbuka hata1.

Inaonekana ilipofika sa1 niliondoka bar kwa miguu kuelekea nyumbani, maana hapakuwa mbali sana.

Nilipofika, kwa kuwa nyumba zinafanana sana, nikakosea nikaingia nyumba kama yangu,lakini line ya mbele kabla sijafika kwangu.

Nilipofika nikaingia ndani na kupitiliza moja kwa moja chumbani kulala, wakati wenye nyumba wapo nje wanaongea!

Walipoingia wakakuta nimelala kitandani kwao na tayari 'shaharibu'.

Wakaenda kwa ghadhabu kumueleza 'wife' aje kunichukua, akakuta siamshiki wala sibebeki.

Njia iliyotumika kunitoa pale na kunipeleka kwangu pamoja na aibu yote niliyoifanya ndani ya nyumba hiyo na kwa familia hiyo, niliporudiwa fahamu na kusimuliwa, nilitamani dunia ipasuke inimeze!

Kwa unyenyekevu mkubwa, nikaiomba radhi familia hiyo na tangia hapo nikaacha pombe moja kwa moja mpaka takapokufa.
.


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] mkuu unenifanya chizi leo sio kwa kucheka huku
 
Siku ingine nilifakamia sana pombe mchanganyiko nilikuwa na binamu yangu wakati tunaondoka tupo ndani ya daladala mimi tu ndo nilikuwa muongeaji watu wote vicheko. Tuliposhuka nikawa naenda njia ambayo sio binamu yangu akaniita.

Tulipofika nyumbani nikasema ngoja nikanywe ya mwisho wakati narudi nikapotea tena nyumbani nikashtuka kuwa nimepotea nyumba baada ya kuona sifunguliwi mlango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akili yako kwenye pombe nyepesi kama yangu
 
Nikiwa pale Mwakavuta Secondary tulikunywa ulanzi , getoni tulikuwa watatu tulijiharishia balsa, ule ulanzi sijui yule Mzee alichanganya na nn
Mwakavuta Makete hii

Mwaka gani mkuu
 
Hapa kama ninakiri!

Kitendo kilichonifanya kuacha kunywa pombe ni tukio la aibu nililolifanya miaka 30 iliyopita, lakini hadi leo bado linanibungua kichwa kwa aibu ile!

Miaka hiyo nilikuwa ninaishi 'kotaz' nyumba zenye kufanana kuanzia sura, rangi na mpaka mazingira ya nje.

Kimbembe kilipoanzia ni pale nilipotoka safari na kukuta 'ugeni' wa rafiki yangu wa siku nyingi kanitembelea hapo nyumbani.

Mahali gani pazuri pa kumpeleka 'outing' huyu ndugu akasuuze roho yake, hakuna pengine ni bar tu!

Sa9 alasiri tayari tupo kwenye meza ndefu tunakunywa, baada kama ya saa1 na nusu nikamuona mgeni wangu 'keshanitaimu' kalewa tayari mimi bado mkavu na bia hazinibambi, nikaona kama ananisanifu, sasa nifanyeje kufukia mashimo?

Wakati natafakari cha kufanya, nikaona mgeni wangu yupo chakari kabisa, nikaitisha tax ikampeleka nyumbani, mi nikabaki bar.

Bia zilivyoendelea kudunda nikaona niagize pombe kali nimix ili kupata ulabu kwa kasi, kumbe ninajitengenezea sumu!

Nikachukua viroba viwili vya 'power' (pombe ilikuwa inaingizwa toka Zambia)nikavimiminia kwenye chupa ya bia na kuanza kuifakamia.

Kumbukumbu zangu ndiyo zilipokomea hapo, yaliyofuata ni simulizi tu nilizokuja kusimuliwa bila mimi kukumbuka hata1.

Inaonekana ilipofika sa1 niliondoka bar kwa miguu kuelekea nyumbani, maana hapakuwa mbali sana.

Nilipofika, kwa kuwa nyumba zinafanana sana, nikakosea nikaingia nyumba kama yangu,lakini line ya mbele kabla sijafika kwangu.

Nilipofika nikaingia ndani na kupitiliza moja kwa moja chumbani kulala, wakati wenye nyumba wapo nje wanaongea!

Walipoingia wakakuta nimelala kitandani kwao na tayari 'shaharibu'.

Wakaenda kwa ghadhabu kumueleza 'wife' aje kunichukua, akakuta siamshiki wala sibebeki.

Njia iliyotumika kunitoa pale na kunipeleka kwangu pamoja na aibu yote niliyoifanya ndani ya nyumba hiyo na kwa familia hiyo, niliporudiwa fahamu na kusimuliwa, nilitamani dunia ipasuke inimeze!

Kwa unyenyekevu mkubwa, nikaiomba radhi familia hiyo na tangia hapo nikaacha pombe moja kwa moja mpaka takapokufa.
.


Sent using Jamii Forums mobile app
Dah
 
Huu uzi nacheka sana anyway mi pia nina vituko vingi sana vya pombe but niliamua kuipumzisha baada ya kuona inanishinda

Japo mara chache huwa naamsha sema ndio huwa nalewa sana kutokana na kutokunywa muda mrefu
 
Hapa kama ninakiri!

Kitendo kilichonifanya kuacha kunywa pombe ni tukio la aibu nililolifanya miaka 30 iliyopita, lakini hadi leo bado linanibungua kichwa kwa aibu ile!

Miaka hiyo nilikuwa ninaishi 'kotaz' nyumba zenye kufanana kuanzia sura, rangi na mpaka mazingira ya nje.

Kimbembe kilipoanzia ni pale nilipotoka safari na kukuta 'ugeni' wa rafiki yangu wa siku nyingi kanitembelea hapo nyumbani.

Mahali gani pazuri pa kumpeleka 'outing' huyu ndugu akasuuze roho yake, hakuna pengine ni bar tu!

Sa9 alasiri tayari tupo kwenye meza ndefu tunakunywa, baada kama ya saa1 na nusu nikamuona mgeni wangu 'keshanitaimu' kalewa tayari mimi bado mkavu na bia hazinibambi, nikaona kama ananisanifu, sasa nifanyeje kufukia mashimo?

Wakati natafakari cha kufanya, nikaona mgeni wangu yupo chakari kabisa, nikaitisha tax ikampeleka nyumbani, mi nikabaki bar.

Bia zilivyoendelea kudunda nikaona niagize pombe kali nimix ili kupata ulabu kwa kasi, kumbe ninajitengenezea sumu!

Nikachukua viroba viwili vya 'power' (pombe ilikuwa inaingizwa toka Zambia)nikavimiminia kwenye chupa ya bia na kuanza kuifakamia.

Kumbukumbu zangu ndiyo zilipokomea hapo, yaliyofuata ni simulizi tu nilizokuja kusimuliwa bila mimi kukumbuka hata1.

Inaonekana ilipofika sa1 niliondoka bar kwa miguu kuelekea nyumbani, maana hapakuwa mbali sana.

Nilipofika, kwa kuwa nyumba zinafanana sana, nikakosea nikaingia nyumba kama yangu,lakini line ya mbele kabla sijafika kwangu.

Nilipofika nikaingia ndani na kupitiliza moja kwa moja chumbani kulala, wakati wenye nyumba wapo nje wanaongea!

Walipoingia wakakuta nimelala kitandani kwao na tayari 'shaharibu'.

Wakaenda kwa ghadhabu kumueleza 'wife' aje kunichukua, akakuta siamshiki wala sibebeki.

Njia iliyotumika kunitoa pale na kunipeleka kwangu pamoja na aibu yote niliyoifanya ndani ya nyumba hiyo na kwa familia hiyo, niliporudiwa fahamu na kusimuliwa, nilitamani dunia ipasuke inimeze!

Kwa unyenyekevu mkubwa, nikaiomba radhi familia hiyo na tangia hapo nikaacha pombe moja kwa moja mpaka takapokufa.
.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii yako kali asee😂😂😂😂 kwa hyo ulipoona mgeni "ameshakutaimu" ukaona bora ulipize haaahhaaaa pombe ikikuchezesha ni noma 😂😂
 
Nikiwa pale Mwakavuta Secondary tulikunywa ulanzi , getoni tulikuwa watatu tulijiharishia balsa, ule ulanzi sijui yule Mzee alichanganya na nn

hahaha mwaka gani mzee ? 2006 nimekipiga hapo.Nimekunywa sana ulanzi enzi hizo 😂 😂
 
Back
Top Bottom