Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Hivi wewe Mbowe alishakupitia?Mbowe bado hajatoa tamko?
Hivi wewe Mbowe alishakupitia?Mbowe bado hajatoa tamko?
Ukimkamata ulete mrejeshoJamaa nimechoka kupigwa ban Kwa ajiri yako,nimeshajua ulipo ntakufanyia kazi siku si nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kama ni bidhaa zenyewe wakina bluee band na maziwa na panadol hatuogopi hakuna kufungua wao wameanza sisi tunamalizaBidhaa gani za muhimu ambazo hazipatikani SA? Au unafikiri Blue Band? Maziwa yao tuliwapiga marufuku na hayapo tena. Nakuhakikishia wao ndiyo wataumia sana. Just wait and see!
Soko letu kwao zaidi ni chakula. Watanunulia uganda. Tanzania na Uganda bidhaa mbalimbali za viwandani zinatoka kenya. Kwa Tz backup plan yetu ni ipi?
Kama alishakupitia wewe mimi nitajuaje?Hivi wewe Mbowe alishakupitia?
You are not informed Zambia wameshafungua, Rwanda wameshakubaliana na TZ na hakuna kuwapima madreva watz bali watapimwa TZ tu. Uganda ni ndugu zetu hawawezi funga mpaka tumetoka mbali nao tuliwasaidia kumng'oa Nduli. Ngoja tuwashughulikie hawa nyang'ao kwanza!!
Mbona unapenda kumtajataja sana. Mie nikadhani labda alishakupitia ndio maana hakauki mdomoni mwako.Kama alishakupitia wewe mimi nitajuaje?
mtanange bado ngonja tuone power ya TanzaniaUtawashughulikia kwa lipi ulilonalo?
Uchumi mbovu
Kila kitu kibovu
Viongozi wenu wabovu,etc
Zambia ni closed,kadanganye watoto huko!
Hawa watu hawataki muwapelekee Covid-19,mnawalazimishia kuingia nchi zao nyie kama nani?
EA hawa viongozi wakikutana tena wakipitisha azimio TZ na Burundi kua locked out,ni locked out mnakua na sio eti ndugu zetu na blah blah za kipumbavu!
Ndugu zako walizaliwa na nyie?
Fuata guidelines kama wengine,sio unaleta kiburi halafu uachiwe sababu wewe ni bwana mawe,no one gives a fvck!
Fuata guidelines!
In two weeks ngoja akina Kagame,Uhuru,Museveni na Kiir wakutane tena muone,fungia kushoto huko!
Hamna la kufanya....
TZ is not an economic powerhouse like Kenya,na ukiongeza UG,RW na SS,we are loosing here....stop mustabation!
Ameshakuinamisha ndio maana naona unamtetea sana.Mbona unapenda kumtajataja sana. Mie nikadhani labda alishakupitia ndio maana hakauki mdomoni mwako.
Kenya wajiandae kisaikolojia kwa loss watakayopata kikweli kweli lkn pia bongo tujiandae mikoa ya (Kilimanjaro,Arusha,Manyara) ambayo hii tayari imeshasomeshwa No. Kwny utalii kwny hili suala la Kenya wanaenda kuumia big time bado mikoa inayolima Mahindi kwa wingi na nafaka nyinginezo.Hii kufunga mipaka msichukulie poa
Watu wengi wataathirika
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
PipiKwani sisi tunahitaji nini toka Kenya. Funga kabisa!
Tabia za kiongozi wetu zinaonekana kwenye hayo matamshi, naamini yeye ndie atakuwa amewaagiza hao "subordinates" wake wazuie hayo malori.
Halafu akiwa anahutubia kanisani anaonekana mnyenyekevu, kumbe moyoni amejaa kisasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mliambiwa fungeni Mipaka mkasema Majirani watakufa na njaa,wanawategemea,wao wamefunga mnanuna na kuwaig kufunga,eti kujibu MapigoHaya kuna hii tena nayo kanusheni.
View attachment 1452759
Kufungiana mipaka inathiri sana mamboKenya wajiandae kisaikolojia kwa loss watakayopata kikweli kweli lkn pia bongo tujiandae mikoa ya (Kilimanjaro,Arusha,Manyara) ambayo hii tayari imeshasomeshwa No. Kwny utalii kwny hili suala la Kenya wanaenda kuumia big time bado mikoa inayolima Mahindi kwa wingi na nafaka nyinginezo.
Hapo tayari wahesabu wanarudi kwny umaskini,Tanga wale jamaa na mafuso yao ya machungwa pia inaenda kula kwao.Kufungiana mipaka inathiri sana mambo
Maana Bidhaa zinazo toka bongo kwenda Kenya kuuza haziendi na Bidhaa wanazofata wakenya huku au kuleta huku Inakuwa mbinde
Mfano tu msimu wa mananasi huko kiwangwa wanunuzi wengi wanatokea Kenya
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app