Virtual Private Network (VPN) imenirudisha JF

Kuzima mtandao pia ni kosa. Binadamu tuna haki zetu za msingi na hii ya haki ya ku access internet ipo pamoja na haki ya kusoma, kuvaa , kula n.k

Wakiamua kutufunga kisa tumetumia vpn na sisi tutawafunga kwa kutufungia internet ambayo ni haki yetu ya msingi.

Halafu mkuu na wewe uache uoga...watakushikaje simu inasoma nipo Washington kwa trump.
 
hakuna wa kutumia Premium services kwa user wa kawaida ambao wameijua VPN baada ya TCRA kuzima mitandao.

wengi wao wanapendelea VPN za Bure au kutumia kwa Trial time

Hiyo nikiyoutaja hapo ni Cracked version, ina full swing kama Vile imelipiwa
Naipataje hiyo mzee?
 
Muambieni Basi mfalme wetu atoe amri internet ifunguliwe wafanyabiasha wanapata hasara huku jamani!
 
Poleni .... simu yangu haijakumbwa na hilo tatizo kabisa,,, wasap, fb ,insta pote naperuzi toka mwaka jana
 
Huwa najiuliza serikali ikiamua si wa azima kabisa minara ya Internet, kwa hiyo hata uwe na VPN itakuwa kazi bure, au mwenye kuelewa anifafanulie
 
Poleni .... simu yangu haijakumbwa na hilo tatizo kabisa,,, wasap, fb ,insta pote naperuzi toka mwaka jana
acha uwongo wako labda utakua upo nnje ya hii falme ya Magu
 
Poleni .... simu yangu haijakumbwa na hilo tatizo kabisa,,, wasap, fb ,insta pote
naperuzi toka mwaka jana
Sasa wewe kwa mfano Kama Ni mfagiaji wa kasri la mfalme au muosha majoho yake!
Hivi utakosa insta kweli?
 
Unajua kutumia vpn ni kosa kisheria?
Haha pole mkuu wengine siku ileile wanafunga baada ya muda tu tukarudi hewani.. nawaonea huruma ambao mpk sasa wapo kwenye kifungo!
 
Sijapanic.. hueleweki...

Nimekuuliza aliyekwambia JF ilikuwa haipatkan mpk VPN ni nan? Mimi hapa Situmii VPN tangia hiy tar 28.

Alaf som vzr ulichoandika hapo juu
 
Fb na insta unapata??au ni hii jamii tu??msaada majibu tafadhali
 
Wameyataka wenyewe! Hizo ni sheria za kishamba kwahiyo kuzimia watu mitandao si kosa..?

Watu wanajitoa sana ufahamu, walijua watz washamba hawajui habari za vpn, tena next time wakizima watakuta kila raia ana vpn. Vpn itakuwa app ya muhimu kabla ya kuanza kutumia simu yeyote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…