Kidogo tu sio sanaUnamfaidi lakini?
OhooPm pulizi
Atemwe tu hamna namna, akatafute mkunja ndita mwenzie.maisha mafupi haya,usionee wala kukubali kuonewa na mwengine.upo kama mm jaman !sipend kukasirika wala gubu aisee yaan mie had huwa najistukia aise maaana napenda kucheka na kuenjoy maisha yenyewe haya jaman !akuu !yaan huyu mm aniite [HASHTAG]#UKUTA[/HASHTAG]!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! heehehehe namhama tu
Yethuu, umejulia wapi hiliMkiwaga normal mnajua sana kudekeza loh!!
Yani wewe ni mimi kabisa, sipendi uonevu na siwez kukaa kimya mtu akinionea. Ningekuaga na nguvu za kupigana mimi ningekua napigana sana sema ndo vile nimejaaliwa mdomo na machozi, nikishindwa kuongea nitalia mpaka ulienikosea ujute na roho yako.
Heeeee I'm sorry lkn siko na nia mby ni juhudi ya kumtafutia tiba huyu mtu mwenye hasira
Nawajua sana nyieYethuu, umejulia wapi hili
Kaka huyo ndo wifi?Umewasili kipenzi changu!!!
MmmmhKwa ujumla twaweza kuwa marafiki miaka mingi bila kuligundua hilo kwangu kwani siyo mtu wa kulipuka, hadi unikorofishe sanaaa hapo utakimbia bila viatu, but all in all siyo mgomvi wala mwonevu
Tiba ya temper yenu ndo siijuiYethuu, umejulia wapi hili
Sema kweli nimewahi kukuonea honey!!!Mmmmh
Ukiona manyoya naweKaka huyo ndo wifi?
Bila shaka wakati mnafunga ndoa ulitamka haya maneno "KWA SHIDA NA RAHA",kwa dalili hizi umeanza kutengua kiapo chakoNatumai ni wazima..
Lengo la kuanzisha uzi humu ni kutaka msaada wetu wa mawazo jinsi ya kuishi na mume mkali.
Nina miaka minne kwenye ndoa na watoto wawili.
Kwa kweli nampenda mume wangu na yeye najua ananipenda lakini napata mawazo ya kuomba talaka sababu tokea niolewe hajabadilika kabisa anaweza nifokea hata mbele ya wazee wake kisa mtoto kaumia bahati mbaya. Yaani hata mtoto akiamka usiku akalia anatoka sana anasema namfanyia fujo makusudi!
Nikisahau kitu kama chupa ya maji kwenye gari yake anafoka hadi kuishia kuniita ukuta na kutaka kunipiga.
Naumia sana ndugu zangu naombeni ushauri.
Mwenzanguu, hatimaye nimepata wifi lakini..Ukiona manyoya nawe