Vipi kuishi na mume mkali kupitiliza?


Mtu mkali huwa anahisia kali za ukali na HURUMA vilevile, ukimjulia mtu mkali utakula mema ya nchi.
Yaani ukimkosea kabla hajagundua wewe jisalimishe kwa msamaha, baasi kesi hakuna.
Tofauti na wapole wana vinyongo vya maisha atakukumbusha baada ya miaka
Exactly
 
Natumai ni wazima..

Lengo la kuanzisha uzi humu ni kutaka msaada wetu wa mawazo jinsi ya kuishi na mume mkali.

Nina miaka minne kwenye ndoa na watoto wawili.

Kwa kweli nampenda mume wangu na yeye najua ananipenda lakini napata mawazo ya kuomba talaka sababu tokea niolewe hajabadilika kabisa anaweza nifokea hata mbele ya wazee wake kisa mtoto kaumia bahati mbaya. Yaani hata mtoto akiamka usiku akalia anatoka sana anasema namfanyia fujo makusudi!

Nikisahau kitu kama chupa ya maji kwenye gari yake anafoka hadi kuishia kuniita ukuta na kutaka kunipiga.

Naumia sana ndugu zangu naombeni ushauri.
Njoo kwangu nikubembeleze mtoto mzuri
 
Kitu kimoja unachokosea ni kukaa katika uhusiano wa namna hiyo. Hapo hakuna uhusino wa kimapenzi.

Huo uhusiano unaendeshwa na constant abuse......kwann mwanaume akukosee heshima hivyo?!

Step out......usisubiri akuchoke zaidi hadi aiku afikie hatua ya kuanza kukufukana.

Hebu find your life. Kuna wanaume kibao wapo nje na wanaweza kukupenda na kukupa care unayotaka, kwanini ujilazimishe kukaa na mtu ambaye hana adabu hata kidogo na wewe?!

So fanyia kazi haya maneno, na si jambo la kufikiria mara mbili ni la kufanyia maamuzi. Ondoka sasa. Never tolerate an abusive spouse. Huyo si mtu anayekupenda acha hayo makauli ya kijinga wewe.

Ondoka sasa. Nenda katafakari upya maisha yako na watoto wako. Unayonafasi ya kupata mwanaume mwingine believe me.

Hayo ndio aina ya majaume yanayoshusha thamani ya taaisi ya ndoa.....tena ningekuwa namfahamu ningekuja mchana live mpumbavu m'moja huyu takataka mfano wa mwanaume.
 
Jaribu kuangalia nn anapenda Na nn hapendi. Itakuwa personality zenu ziko tofauti na unamboa. Au ww ni mbishi sana au unajiona uko perfect huwezi kukosea. Na usishangae huyo unamwita mkali akikutana na mwingine anaweza kuwa mpole tu sababu huyo mwingine anampatia alivyo
 
Kitu kimoja unachokosea ni kukaa katika uhusiano wa namna hiyo. Hapo hakuna uhusino wa kimapenzi.

Huo uhusiano unaendeshwa na constant abuse......kwann mwanaume akukosee heshima hivyo?!

Step out......usisubiri akuchoke zaidi hadi aiku afikie hatua ya kuanza kukufukana.

Hebu find your life. Kuna wanaume kibao wapo nje na wanaweza kukupenda na kukupa care unayotaka, kwanini ujilazimishe kukaa na mtu ambaye hana adabu hata kidogo na wewe?!

So fanyia kazi haya maneno, na si jambo la kufikiria mara mbili ni la kufanyia maamuzi. Ondoka sasa. Never tolerate an abusive spouse. Huyo si mtu anayekupenda acha hayo makauli ya kijinga wewe.

Ondoka sasa. Nenda katafakari upya maisha yako na watoto wako. Unayonafasi ya kupata mwanaume mwingine believe me.

Hayo ndio aina ya majaume yanayoshusha thamani ya taaisi ya ndoa.....tena ningekuwa namfahamu ningekuja mchana live mpumbavu m'moja huyu takataka mfano wa mwanaume.


zoooozy
 
Natumai ni wazima..

Lengo la kuanzisha uzi humu ni kutaka msaada wetu wa mawazo jinsi ya kuishi na mume mkali.

Nina miaka minne kwenye ndoa na watoto wawili.

Kwa kweli nampenda mume wangu na yeye najua ananipenda lakini napata mawazo ya kuomba talaka sababu tokea niolewe hajabadilika kabisa anaweza nifokea hata mbele ya wazee wake kisa mtoto kaumia bahati mbaya. Yaani hata mtoto akiamka usiku akalia anatoka sana anasema namfanyia fujo makusudi!

Nikisahau kitu kama chupa ya maji kwenye gari yake anafoka hadi kuishia kuniita ukuta na kutaka kunipiga.

Naumia sana ndugu zangu naombeni ushauri.
Akupendae hupunguza tuhuma....upendo husitiri wingi wa dhambi
 
kwa jinsi ulivyoandika tu unaonekana wewe ndio mgomvi kabisa,jirekebishe lasivyo utaishia kupata kipondo tu!
Natumai ni wazima..

Lengo la kuanzisha uzi humu ni kutaka msaada wetu wa mawazo jinsi ya kuishi na mume mkali.

Nina miaka minne kwenye ndoa na watoto wawili.

Kwa kweli nampenda mume wangu na yeye najua ananipenda lakini napata mawazo ya kuomba talaka sababu tokea niolewe hajabadilika kabisa anaweza nifokea hata mbele ya wazee wake kisa mtoto kaumia bahati mbaya. Yaani hata mtoto akiamka usiku akalia anatoka sana anasema namfanyia fujo makusudi!

Nikisahau kitu kama chupa ya maji kwenye gari yake anafoka hadi kuishia kuniita ukuta na kutaka kunipiga.

Naumia sana ndugu zangu naombeni ushauri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom