At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Habari zenu wakuu. Bila shaka mnafanya vyema katika ujenzi wa taifa.
Tuwe wazalendo, tupendane.
Haya moja kwa moja kwenye mada. Kuhusiana na machinga. Hapo mwanzoni mwa utawala wa Samia sakata la machinga lilichukua taswira pana. Kukatokea movement kibao na matamko ya kutosha toka kwa waandamizi mbali mbali.
Ila kwa sasa kadri siku zinaenda inaonekana kuwa serikali imeshafeli kulishughulikia suala big time. Sababu maeneo mengi ni business as usual. Na haya yote ni kwa sababu ya kukurupuka na kutaka kuridhishana ilhali hakuna mipango endelevu. Ndio maana mpaka sasa kuna maeneo machinga wameanza kurudi.
Hili jambo lilipaswa kwanza kuwa na longterm plan. Naona i short imewashinda sijui pesa hakuna, tukakope tena tukajenge masoko basi.
Anyway hizo ni stori. Na piah nina shida ya uwasilishaji hoja. Kama umenielewa akhsante.
Sasa karibu kwa mchango wako. Je mkoani kwako hali ya machinga ikoje? Did the issue has been resolved. Au wameanza kurudi nyuma? Na wale walopongeza kuhusu hatua zilizochuliwa, je bado mambo yanaendelea kama mwanzo?
Na mwisho ni kipi kifanyike kuwa na suluhu ya kudumu juu ya suala hili la machinga?
Jumapili njema.
At Calvary
Tuwe wazalendo, tupendane.
Haya moja kwa moja kwenye mada. Kuhusiana na machinga. Hapo mwanzoni mwa utawala wa Samia sakata la machinga lilichukua taswira pana. Kukatokea movement kibao na matamko ya kutosha toka kwa waandamizi mbali mbali.
Ila kwa sasa kadri siku zinaenda inaonekana kuwa serikali imeshafeli kulishughulikia suala big time. Sababu maeneo mengi ni business as usual. Na haya yote ni kwa sababu ya kukurupuka na kutaka kuridhishana ilhali hakuna mipango endelevu. Ndio maana mpaka sasa kuna maeneo machinga wameanza kurudi.
Hili jambo lilipaswa kwanza kuwa na longterm plan. Naona i short imewashinda sijui pesa hakuna, tukakope tena tukajenge masoko basi.
Anyway hizo ni stori. Na piah nina shida ya uwasilishaji hoja. Kama umenielewa akhsante.
Sasa karibu kwa mchango wako. Je mkoani kwako hali ya machinga ikoje? Did the issue has been resolved. Au wameanza kurudi nyuma? Na wale walopongeza kuhusu hatua zilizochuliwa, je bado mambo yanaendelea kama mwanzo?
Na mwisho ni kipi kifanyike kuwa na suluhu ya kudumu juu ya suala hili la machinga?
Jumapili njema.
At Calvary