Vipi kudeal na mama mkwe mkorofi

Vipi kudeal na mama mkwe mkorofi

Wakwe wengi na mawifi hujiona kama vile wana mamlaka juu ya mke aliyeolewq. Yaani hujiona nao ndio mume sasa hili ni kosa. Binafsi ninapenda tuzoeane ila kuwe na mipaka. Eti uingie chumbani kwangu, haiezekani Yaani mlango utauona tu ulee lkn huezi inhia hata siku moja sasa ndio unipekue hapo utanilazimisha nikukosee adabu. Na ni lazima tuzungumze ili ujue sikufurahia,sasa ukiendelea itakua mbaya.
465ad97e47864696eb37edd6ada764fe.jpg
 
Kama sio mchafu mbona umesema kila akija anachunguza usafi??

Haya mengine unaweza kumzulia tu mzazi wa mwenzako, hiyo ni tabia mbaya binti,

Utajisikiaje mumeo akimchukia mama yako mzazi?? Kwani unadhan mama yako Hana mapungufu?? Mumeo anavumilia tu kwani anajuwa mzazi wako ni mzazi wake,

Badilika,
Kuna lugha nzuri ya kutumia kumwambia mtu kuhusu uchafu wake. Na huko kupekenyua makabati wakati nyumba si yake si tabia nzuri. Mama mkwe ana mipaka yake. Wengine wanaingia mpk chumbani mnapolala au kukupangia chakula cha kupika, mambo kama hayo hayavumiliki. Nyumba yangu na mume wangu hana mamlaka yoyote zaidi ya kutoa ushauri.
 
Tatizo ndugu zangu mkwe wangu atahamia jirani yangu nyumba ya pili yaani sina vya kumkwepa yaani hadi chumbani hupekura pekura
Ohoooo utawangiwa sio muda, mkwe anaingiaje chumbani kwenu?
 
Natumai wote wazima humu....kwa hakika ningependa tubadilishane mawazo jinsi ya kudeal na mama mkwe na mawifi wakoro bila kumfanya mumeo akuchukie..mfano mimi mama mkwe wangu ni mkorofi sana na mbeya hataki na mawifi ni hivo hivo mama mkwe akija kwangu anachunguza usafi ....tudeal nao vipi
Mama mkwe wako hakuchukii ila anaona unaumri mdogo na mengi bado hujayajua, ongeza kufanya usafi, uwe msafi binafsi sipendi mtu mchafu asiyejali familia yake haswa mtoto aliyenaye. Muombe akufunze badala ya kutaka kushindana naye, mama eti hapa nifanye nini, nashukuru mama.
 
baada ya kuolewa tu, wifi akaanza mizinga eti tumkopeshe hela anataka m1, harusi yenyewe ilituchukulia hela kibao, bado kuna mtu anataka akopeshwe, ikiwa kila mwisho wa mwezi wifi anatuma message kibao akopeshwe hela, baada ya miezi mitatu kupita kila mweiz anaomba akopeshwe hela nikamwambia bado tunalipa madeni na hatuna hela ya kukopesha tulizonazo hazitutoshi hata kidogo, hajawahi ten hata kunibip
 
Kama sio mchafu mbona umesema kila akija anachunguza usafi??

Haya mengine unaweza kumzulia tu mzazi wa mwenzako, hiyo ni tabia mbaya binti,

Utajisikiaje mumeo akimchukia mama yako mzazi?? Kwani unadhan mama yako Hana mapungufu?? Mumeo anavumilia tu kwani anajuwa mzazi wako ni mzazi wake,

Badilika,
kwn hyo mama ni bwana usafi??? hahahahah aufyate kwake atulie kwn hana mume si autulize na mumuwe?
 
Nashukuru umeliona hili, Kuna wanawake Wengine hawajui kabisa usafi, sebulen mainzi yamejazana yeye kajiachia tuuu,

Mama mkwe akisema anaonekana mmbaya!!
mzee raza kwaiyo na ww kwko mama ndo akija asimamie usafi?? au inabdi kidume ndo uwe sauti ya nymba na maelekezo kadhawakadha?
 
Watakuelewa wanawake wenzako ambao upeo wenu wa kufikiri unafanana!!

Lakini mwanamke mwerevu na mke Mwema aliyefunzwa kwao, hawez kumchukia mzazi wa mumewe,

Badilika,
mzee raza inauma kuchukiliwa mzazi ila huwzi jua mapngufu ya mzz wa mwnzko. ieleweke kwmba hjasema anamchkia mkwewe ispokua mkwe hyo kchomi na inakera. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua mimi simchukii bila sababu...actually mkwe wangu ana mke mwenza nlivoolewa alikuwa analalamika kuwa anateswa na mke mwenzake sana nilimuonea huruma sana na nilimshauri mume wangu tujenge nyumba kumbwa tuwachukue tuishi nao nilimpenda sana lakini badae nikagundua anaongea na watoto wake waje kunichunguza hadi night dress gani navaa na mengi tu niliyajjua badae
hawanaga dogo hao ndgu yngu dawa yao kuwapotezea pili kuwa strictly wth ur family and life kwa ujumla na wala usiwaogope. hta uwpende mpka uwabebe mgongni bdo watkusema.
 
Me iyo kesi ilitakunikumba ila niliiwai fasta nikapiga narufuku uwo ukalibu baina ya mather na wife alaf nikaamia mbali to asaiv eshima naadabu
inaonekana ww kka muelewa. kwli mwanaume kma unatka ndoa ya amani basi ishi mbali na mama yko..yaani waweke mbalimbli mkeo na mamayo.
 
Yani naombaga Mungu mie juu ya huyo atayekuwa mama mkwe na wifi, wawe tu kawaida tuheshimiane, tuvumiliane, tuependane basi. Maana wakiwa wasumbufu na wagomvi, sijui kwa kweli
bora uombe uolewe na yatma ndgu haknaga mawifi na wakwe wapole. mwnzon utaona wapole ukishaishi nao ndo utaona rngi zao. hahaha
 
Wapi kaandika anamchukia ma mkwe
Ule msemo wa gubu la ndugu wa mme ukweli mtupu, watu wengine bana yani ukioa basi mke utadhani ni mali ya ukoo atetemekee ukoo Mzima ndo hayo mwishoni kuchunguzwa hadi kabati ufala huo
yaani umeongea ukwli mtpu. wakwe wingine huwa wnataka wawacntrol wake za wtoto wao yni wao ndo waww watoa amri. ufala huo
 
Actually nlikuwa nafanya kazi mume wangu akaniachisha akasema labda nijifanyie biashara..lakini nilipotaka kuanza biashara mama mkwe alikataa na kusema kwani mwanawe hanilishi hata nifanye biashara na mume wangu alimsapoti mama yake..japo aliniruhusu mwenyewe nianza biashara
mwanaumw yyte anaemsikliza mama ake mmbo yke yy na mkewe huyo ni bwege. pole sna shosti una wkat mgmu sna
 
Mama angu hawezi Kuja kwangu akague kabati akague vitu vyangu hawezi hata siku moja
He he he upo moto it seems mama ako ni msemaji wa ndoa yako eeh, nyumba iwe na nzi iwe na nyoka ni nyumba yako wewe no mkeo full stop sio kazi ya mtu mwingine
hbu mwambie hyo aelewe. nymba yke na mkewe wasmamie wao wnyewe na sio mamamkwe
 
bora uombe uolewe na yatma ndgu haknaga mawifi na wakwe wapole. mwnzon utaona wapole ukishaishi nao ndo utaona rngi zao. hahaha
Mmh sijawahi kuwaza hivyo na wala sitoomba niolewe na yatima, itokee tu labda. Can't imagine huko nje kuna mtu anawish wazazi wangu wafariki ili yeye aje aolewe (God forbid). Wakwe, mawifi sio malaika just like ndugu zetu wengine. Kuna ndugu au hata wazazi ni pasua vichwa hadi unatamani ufute undugu, but sidhani kama tumeshawahi waombea wafariki. BTW na wewe si ni mwanamke, utakuwa laana kwa mawifi zako?? (coz hakuna wifi wala wakwe wazuri)
 
Ushauri wa bure, jitizame ulipokosea na unapoendelea kukosea, familia nzima haiwezi kukuchukia bila sababu.
 
Kwenda ukoo,afadhari kutokua na adabu kuliko kua mume usieweza kumtetea mke wako,unamruhusu mama ako akague mke wako we unaweza kuruhusu mama ake akukague?usilazimishe uambiwe upungufu wako kulinganisha na wanaume wenzako usijifanye wewe uko perfect.Aina yako ndo walewale hela huna,sura huna,hata adabu hun
(watoto wa mama) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom