Vipi kudeal na mama mkwe mkorofi

Vipi kudeal na mama mkwe mkorofi

Unachotakiwa kufanya ni kuacha huo uchafu na uwe msafi!!

"Mama mkwe akija anachunguza usafi"... Anachunguza ni kwa sababu ww ni mchafu, nyumba imechafuka, mainzi yamejaa sebulen na kila mahali, unataka mama mkwe asiseme??

Acha kukariri kuwa mawifi na wakwe ni wabaya! Je na ww ni mbaya kwa mawifi zako wake wa Kaka zako??

Mtu hawez kuwa mkorofi Bila sababu, km ww ni mchafu na mama mkwe anapenda usafi ni lazma mugombane tuuu!!

Badilika,
Sio kazi yake kukuchunguza hapo sio kwake embu atoe ujinga wake hapo,nyamaza kimya muangalie tu mwisho atachoka mwenyewe.
Upo na mtoto wai siajabu ni chanzo cha uchafu humo ndani anamapungufu kibao ,siku ukichoka mtolee uvivu mpe fact ukiwa unajirekodi ila asije sema umemtukana matusi ya nguoni hawakawii hao

Mimi amewahi niuliza mbona unazaa sana nilimpa moja tu hajarudi,nilimwambia kwa sababu mtoto wako anafanya sana.alifumba mdomo kimya mpaka leo.
 
Tatizo ndugu zangu mkwe wangu atahamia jirani yangu nyumba ya pili yaani sina vya kumkwepa yaani hadi chumbani hupekura pekura
Duuh..Huyo mama hajielewi..Vipi we ni mama wa nyumbani?
 
Watakuelewa wanawake wenzako ambao upeo wenu wa kufikiri unafanana!!

Lakini mwanamke mwerevu na mke Mwema aliyefunzwa kwao, hawez kumchukia mzazi wa mumewe,

Badilika,
Unajua mimi simchukii bila sababu...actually mkwe wangu ana mke mwenza nlivoolewa alikuwa analalamika kuwa anateswa na mke mwenzake sana nilimuonea huruma sana na nilimshauri mume wangu tujenge nyumba kumbwa tuwachukue tuishi nao nilimpenda sana lakini badae nikagundua anaongea na watoto wake waje kunichunguza hadi night dress gani navaa na mengi tu niliyajjua badae
 
Me iyo kesi ilitakunikumba ila niliiwai fasta nikapiga narufuku uwo ukalibu baina ya mather na wife alaf nikaamia mbali to asaiv eshima naadabu
 
Natumai wote wazima humu....kwa hakika ningependa tubadilishane mawazo jinsi ya kudeal na mama mkwe na mawifi wakoro bila kumfanya mumeo akuchukie..mfano mimi mama mkwe wangu ni mkorofi sana na mbeya hataki na mawifi ni hivo hivo mama mkwe akija kwangu anachunguza usafi ....tudeal nao vipi
"ungekuwa mwanaume Hapo ni kuongeza Mke wa pili tu mkuu"
 
Huenda mume mwenyewe bushoke anaogopa kumwambia mkewe kuwa nyumba imetapakaa mainzi,

Hata mama yake mzazi huyu mtoa Mada akija hapo atapenda akute nyumba Safi na sio kukutana na mainzi kila kona ya nyumba, Bila Shaka mama mzaz wake naye atacharuka tu na kusema kuwa nyumba ni chafu unless nae awe mchafu km binti yake!!

Badilikeni,
Hata kama, nyumba ni ya wawili sio ya ukoo kila mtu aje kutoa toa maoni
 
Yani naombaga Mungu mie juu ya huyo atayekuwa mama mkwe na wifi, wawe tu kawaida tuheshimiane, tuvumiliane, tuependane basi. Maana wakiwa wasumbufu na wagomvi, sijui kwa kweli
 
Hata kama, nyumba ni ya wawili sio ya ukoo kila mtu aje kutoa toa maoni
Kwa hiyo mama ako mzazi huwa Haji kwako na kutoa maoni anapokuta mambo si mambo?? Akitoa maoni huwa unamchukia??

Mama ako mzazi akija kwako akipokelewa na mainzi huwa haelekezi kuwa mabadiliko yafanyike??

Kama huwa hasemi basi Bila Shaka nawe umerithi uchafu toka kwake.

Badilika,
 
Watakuelewa wanawake wenzako ambao upeo wenu wa kufikiri unafanana!!

Lakini mwanamke mwerevu na mke Mwema aliyefunzwa kwao, hawez kumchukia mzazi wa mumewe,

Badilika,
Wapi kaandika anamchukia ma mkwe
Ule msemo wa gubu la ndugu wa mme ukweli mtupu, watu wengine bana yani ukioa basi mke utadhani ni mali ya ukoo atetemekee ukoo Mzima ndo hayo mwishoni kuchunguzwa hadi kabati ufala huo
 
Unajua mimi simchukii bila sababu...actually mkwe wangu ana mke mwenza nlivoolewa alikuwa analalamika kuwa anateswa na mke mwenzake sana nilimuonea huruma sana na nilimshauri mume wangu tujenge nyumba kumbwa tuwachukue tuishi nao nilimpenda sana lakini badae nikagundua anaongea na watoto wake waje kunichunguza hadi night dress gani navaa na mengi tu niliyajjua badae
Acha uongo bana, sasa wakuchunguze night dress unayovaa wao ni ya nini?

Acha kuwasingizia,
 
Duuh..Huyo mama hajielewi..Vipi we ni mama wa nyumbani?
Actually nlikuwa nafanya kazi mume wangu akaniachisha akasema labda nijifanyie biashara..lakini nilipotaka kuanza biashara mama mkwe alikataa na kusema kwani mwanawe hanilishi hata nifanye biashara na mume wangu alimsapoti mama yake..japo aliniruhusu mwenyewe nianza biashara
 
Kwa hiyo mama ako mzazi huwa Haji kwako na kutoa maoni anapokuta mambo si mambo?? Akitoa maoni huwa unamchukia??

Mama ako mzazi akija kwako akipokelewa na mainzi huwa haelekezi kuwa mabadiliko yafanyike??

Kama huwa hasemi basi Bila Shaka nawe umerithi uchafu toka kwake.

Badilika,
Mama angu hawezi Kuja kwangu akague kabati akague vitu vyangu hawezi hata siku moja
He he he upo moto it seems mama ako ni msemaji wa ndoa yako eeh, nyumba iwe na nzi iwe na nyoka ni nyumba yako wewe no mkeo full stop sio kazi ya mtu mwingine
 
Nikukaa kimya tu zungumza Yale muhimu hakuna kumuweka karibu...

Kuna kuwa mkali mpaka waogope sheria za home kwako hakuna kubadilisha ...

Bila mzuri kuliko ni kukaa nao mbali
Kukaa mbali nao ni sawa nakubaliana kabisa..lakin pia ili muende sawa akileta choko tu liweke mezan mkiwa wote kama familia ili kubalansi mara mbili mara tatu hata rudia tena na atakuwa anaogopa kama ukoma
 
We Raza utakua bushoke wewe,mamaako aje kuniuliza mimi usafi na we hujalalamika?atakoma
Nilishasema huko juu kuwa huenda mume wa mtoa Mada ni bushoke hivyo anashindwa kuhoji ama mume naye ni mchafu zaidi ya mkewe,

Hivyo, mama mkwe anachukizwa na Hali hiyo ya uchafu na kuamua kuwa mkali lakini anaonekana ni mbaya,

Na ww Bila Shaka ndo walewale tuuu cha uchafu,
 
Nikukaa kimya tu zungumza Yale muhimu hakuna kumuweka karibu...

Kuna kuwa mkali mpaka waogope sheria za home kwako hakuna kubadilisha ...

Bila mzuri kuliko ni kukaa nao mbali
Kukaa mbali nao ni sawa nakubaliana kabisa..lakin pia ili muende sawa akileta choko tu liweke mezan mkiwa wote kama familia ili kubalansi mara mbili mara tatu hata rudia tena na atakuwa anaogopa kama ukoma
 
Unajua mimi simchukii bila sababu...actually mkwe wangu ana mke mwenza nlivoolewa alikuwa analalamika kuwa anateswa na mke mwenzake sana nilimuonea huruma sana na nilimshauri mume wangu tujenge nyumba kumbwa tuwachukue tuishi nao nilimpenda sana lakini badae nikagundua anaongea na watoto wake waje kunichunguza hadi night dress gani navaa na mengi tu niliyajjua badae
Kama unataka kumjengea ma mkwe mjengee kwake so sehemu mnayokaa kuepusha tu hayo makolokocho
 
Me iyo kesi ilitakunikumba ila niliiwai fasta nikapiga narufuku uwo ukalibu baina ya mather na wife alaf nikaamia mbali to asaiv eshima naadabu
Actually mie natamani tukae mbali mbali ili sana la kufanya najua anavokuja kuhamia na mimi hamna uhuru tena yaani hata akiskia tumeenda kumsalimia ndugu bila kumwabia analaumu sana..kukaaa mbali ndo mpango mzima ila ni wameshaamua kuja sina la kusema
 
Back
Top Bottom