Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Kama unamaanisha mimi...
Mara nyingi naona watu wanachanganya Nifah na Tiffah...
Mimi ni Nifah mkuu.
Asante sana.
Dangooteee's daughter naona anakupa cheo si unajua mtoto yule ni maarufu kuliko hata babu yangu ?
 
Shwain mwenyewe.ukisikia roho mbaya ndio hii. Mbali na hii hadithi.humu kuna chatting na utani wa hapa na pale mwingi tu.ila hili dogo tu ndio ndio umeona utoe kasoro.
No usinge mrudishia tusi bwana mstaarabu huwa halipizi mpe asante ajione mjinga
 
Mkuu The bold naomba unapoweka nyuzi kama hizi unitag.mimi ni mpenzi wa mimuvi kama ya kijasusi kiterorist nakadhalika.hapa unenifikisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom