Ni kama wimbo wa Darassa, MuzikiHhahha hata ww umechidbenzika basi hii kitu ni shida
Iko post # 655 (kama unatumia app kwenye simu nenda page ya 66)Jamani mkuu the Bold naomba unitag hiyo kitu ya 3 make siioni hapa kwenye uzi
AAAAAAAAAMIIIIIIINIIIIIAAAA!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimecheka hadi kichwa kinauma!
Nitafanya hivyo sis,count on me.
Mods naomba mnisaidie kuweka link za Episodes pale mwanzoni post # 1
Nimejitahidi kuweka link mwenyewe ila naona wadau wanalalamika kuna mushkeli link haziwapeleki kwenye post lengwa..
Episode 2 iko post # 282
Episode 3 iko post # 655
Episode 4 iko post # 852
Naomba mnisaidie kuweka link zake mwishoni mwa post # 1
Cc JamiiForums, Maxence Melo, Mod 1, Mod 2, Mod 3, Mod 4, Mod 5
teheheheheeh hujambo kwanza leo hatujasalimia aiseee chalii yang unakuwaje lknDoh, kina chid benz mpo wengi kumbe [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nshukuru Mkuu! Ila naona link ya Episode 4 haijawekwa.. Episode 4 iko post # 852Ombi limefanyiwa kazi mkuu..
Ipo tayari sasa.Nshukuru Mkuu! Ila naona link ya Episode 4 haijawekwa.. Episode 4 iko post # 852
ShukuranPost # 852 (page ya 86 kama unatumia app kwenye simu)
Nashukuru sana..Ipo tayari sasa.
Hongereni mpo vizuriOmbi limefanyiwa kazi mkuu..
Mimi mzima haswaaaa,teheheheheeh hujambo kwanza leo hatujasalimia aiseee chalii yang unakuwaje lkn
Huku kwetu salama kabisaa mkuuMimi mzima haswaaaa,
Vp ww huko
Nafurahi kusikia hvo, pole kwa kuchelewa kulala maana nimekuta fujo zako humuHuku kwetu salama kabisaa mkuu
Hahahaha nililala mapema bwana saa nne mbonaNafurahi kusikia hvo, pole kwa kuchelewa kulala maana nimekuta fujo zako humu
HahahahahahNa wasipo sikiliza proposal yako kwa hasira "mcheki" The Bold wewe mwenyewe binafsi [emoji123] [emoji35]