Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Mbunge ni kg mjn
Mfanyabiashara nI wa radio two (Mrisho mpoto aliimba mjomba ila hakumtaja ni nan ila tunamjua na mjomba mwenyewe anajijua)

Nimependa hapo kwa msagasumu na gentamysin......

Mbona ujaweka post ya niffah?
Baba bite amepAnga jirani na ray ili kuhakikisha yupo safe ila ni THE BOARD..
STORY Hii imenifanya niache kusoma wakati nna test next week.......
HonGera sana The bold[/(mrisho mpoto
 
Mbunge ni zitto kabwe
Mfanyabiashara ni reginald mengi

Nimependa hapo kwa msagasumu na gentamysin......

Mbona ujaweka post ya niffah?
Baba bite amepAnga jirani na ray ili kuhakikisha yupo safe ila ni THE BOARD..
STORY Hii imenifanya niache kusoma wakati nna test next week.......
HonGera sana The bold
Mkuu! Hebu jitahidi tusitaje majina ya watu tafadhali.. Kila mtu abaki na tafsiri yake kichwani..
 
Daah !!!! Kila mda lazima nipitie huu uzi ili kujua kama episode 3 imetoka, Aisee yani nimeamini kusoma kitabu cha mwandishi mzuri kunanoga kuliko kuangalia muvi ya director mzuri.

Najiskia aibu kupata burudani hii nzuri bila kulipa
 
Bila shaka! Nitakutag scorpnose
Mkuu kwanza nakupongeza sana kwa kipaji ulicho nacho. Hii simulizi ni nzuri sana kuanzia mtililiko mazingira mpaka namna ya kufikirisha.
Binafsi naomba niwe kati ya watu utakuwa unawatag (Naomba uni-tag)
Pia naomba kama ikikupendeza na ukawa na muda basi uongeza dose at least mara tatu kwa week. Hii alosto ni noma.
Mwisho naomba umsabahi shem Nifah mwambie tunampongeza kwa kukubali brother yetu, na mwambie akipata muda atimbe huku masikani tarime.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom