Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

sijui nisemeje but kiukweli hii hadithi imekuwa nzuri kutokana na ujuzi wa KICHWA The bold.mkuu hamna kitu kigumu kama kuwazuia watu wasitaje assumption zao sababu kuu ni kwamba story inawatengenezea picha flani katika ubongo kiasi cha kusisimua na ku solve puzzle mbalimbali kwa kuunganisha dots automatical.
Shukrani Mkuu!
Pamoja sana mike2k
 
Nenda pale mwanzoni kwenye ile Episode 1 (post # 1) mwishoni kabisa utakuta link imeandika "soma episode 2 post # 282" . bonyeza hiyo link itakupeleka moja kwa moja post # 282 (Episode 2)
Pamoja mkuu ngoja nibonyeze nisome
 
Uvivu mbaya huu aisee nijifunze kuacha
Sikuona kajina kangu
Mungu akubariki mlete katoto kazuri kakike mwanangu aoe
In shaa allah! Mwaka huu mwishoni mwishoni utasikia anaanza kukusumbua umletee maembe mabichi.. [emoji4]
 
Asijali nitambebea ndoo nzima pamoja na ndimu za kutosha hadi miezi 9 asiwe anasumbua sumbua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ninavyomjua tayari amenote hiyo ahadi kwenye notebook.. Sasa ole wako usitimize [emoji23]
 
In shaa allah! Mwaka huu mwishoni mwishoni utasikia anaanza kukusumbua umletee maembe mabichi.. [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] honey you crazy Wallah [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom