Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Hilo neno wangu
Wajibika
Naww muda mwema
Usisahau kunitag kwenye vistory vizuri vizuri
Wapenda genre gani zaidi? mm napenda sna ngumu kumeza zenye uhitaji wa akili nyingi kuzielewa(ujasusi) labda na mikasa ya maisha, pia nakushauri nenda play store search hadithi app,
sikufichi utaipenda simu yako coz mda wote utakuwa nayo bize
 
Wapenda genre gani zaidi? mm napenda sna ngumu kumeza zenye uhitaji wa akili nyingi kuzielewa(ujasusi) labda na mikasa ya maisha, pia nakushauri nenda play store search hadithi app,
sikufichi utaipenda simu yako coz mda wote utakuwa nayo bize
Ahsante ngoja nikimbie huko ulikonambia
 
Very good stori...........ila mkuu The bold hujanitendea haki kutonistua, yaani post ya mwaka jana ndio naigundua leo,,,,,,,,,,hahahaaah.
 
Hapa ndipo napozichukia (kwa uzuri) series, yani kusubiria muda mrefu huku ukitengeneza episode ijayo kichwani... Tafadhali nyie mnaotaja taja majina ya watu halisi kulinganisha na characters wa hii series mnatuharibia, hatuchelewi kuambiwa hadithi imesitishwa mpaka hapo badae, nchi hii wa kujistukia wapo sana. Hata huko kwa wenzetu wa nje series nyingi tu zimekua cancelled kwa critics za namna hii kutoka kwa watazamaji.
 
Very good stori...........ila mkuu The bold hujanitendea haki kutonistua, yaani post ya mwaka jana ndio naigundua leo,,,,,,,,,,hahahaaah.
Mbona nimekutag Mkuu! Tazama hapo kwenye orodha ya niliowatag, sema muda mwingine notification zinasumbua kufika.. Nashukuru umeuona uzi
 
Hapa ndipo napozichukia (kwa uzuri) series, yani kusubiria muda mrefu huku ukitengeneza episode ijayo kichwani... Tafadhali nyie mnaotaja taja majina ya watu halisi kulinganisha na characters wa hii series mnatuharibia, hatuchelewi kuambiwa hadithi imesitishwa mpaka hapo badae, nchi hii wa kujistukia wapo sana. Hata huko kwa wenzetu wa nje series nyingi tu zimekua cancelled kwa critics za namna hii kutoka kwa watazamaji.
Hahahah! Nakuelewa sana Mkuu, unacho maanisha.. Ile Kiu ya kusubiri next episode

Yeah umenena jambo jema sana, wadau tujiepushe kuwahusisha watu halisi na charecters wa kwenye simulizi.. Nimeweka tahadhali pale mwanzoni kabisa nashangaa baadhi ya wadau bado hawaelewi..
 
Mbona nimekutag Mkuu! Tazama hapo kwenye orodha ya niliowatag, sema muda mwingine notification zinasumbua kufika.. Nashukuru umeuona uzi
Asante sana mkuu, nimeiona tag hivi sasa nadhani notification tu ndio imesumbua kunifikia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom