johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Ya pili imetoka jana saa 2 usikuHalaf kumbe ya 2 ishatoka hata hunambii
Ya pili imetoka jana saa 2 usikuHalaf kumbe ya 2 ishatoka hata hunambii
Kuna jamaa mla bata tu pamoja na demu wake, unaweza kumchukulia kawaida kumbe ana siri nzito ndani yake na ndie mlengwa mkuu wa Ray kuingizwa kwenye mkakati ili kuleta ushirikiano mzur na baba bite.... Ni mawazo yangu tu
Kichwa chako kama changu mkuu.The bold nataka uniweke sawa kwenye hz dots zangu, nani alikuwa mpangaji wa kwanza katika zile apartments kati ya ray baba bite na mzee wa bata?Episode 1 iko post # 1
Episode 2 iko post # 282
Episode 3 inakuja j'pili
Maswali yote yatajijibu yenyewe kadiri simulizi inavyoendelea..The bold nataka uniweke sawa kwenye hz dots zangu, nani alikuwa mpangaji wa kwanza katika zile apartments kati ya ray baba bite na mzee wa bata?
Jumapili Mkuu..Mkuu The bold hiyo episode ya 3 lini?
Maswali yote yatajijibubyenyewe kadiri simulizi inavyoendelea..
Tafadhali endelea kufuatilia mwanabodi johnsonmgaya
Haya mwanabodi the bold niache kiherehere!!

NmeshaisomaYa pili imetoka jana saa 2 usiku
Kula gwala man![]()
![]()
![]()
Kichwa chako kama changu mkuu.
Hahahahaha kiaje ss chalii yanguUmenichinjia baharini siyo![]()
![]()
![]()
poa tu
![]()
Hahahahaha kiaje ss chalii yangu
Aina noma arifu ngoja ninote down jina hilo nitakutag kiroho safi,Hayo maneno ss![]()
![]()
Aina noma arifu ngoja ninote down jina hilo nitakutag kiroho safi,
Tatizo waafrika hatuna upendo, wenzetu wahindi ukimuokotea kitambaa tu lazima muimbe song,Hayo maneno ss

Tatizo waafrika hatuna upendo, wenzetu wahindi ukimuokotea kitambaa tu lazima muimbe song,![]()
![]()
![]()
Haya mchana mwema kazi njema nisije tumbuliwa buree kakazi kenyewe ka ngama![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ahsante nshatoa shukrani bwana
Hilo neno wanguHaya mchana mwema kazi njema nisije tumbuliwa buree kakazi kenyewe ka ngama
Acha kiherehere mwanabodi ila usisahau kunipa tenda mie Aisha mzava![]()
![]()
Haya mwanabodi the bold niache kiherehere!!
![]()
![]()
![]()
Hahahaha acha kiherehere na ww tenda hazitoki hv hvAcha kiherehere mwanabodi ila usisahau kunipa tenda mie Aisha mzava
