Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Damn!!!!................hili cha leo mbona kifupi jamaa yangu!?
anyways,asante kutupia haya maujanja bure tu humu.
I will wait mpaka hiyo ijumaa.
Salimia cheupe wako@The Bold
 
aisee km movie vile.! Ndo maana cheupe anaringa sana aseee..si kwa akili hizi zilizotulia ktk hadithi hii murua!
Hongereni Mr and Mrs The bold kichwaaaaa......











Ila sijaacha kukulove you know......ha ha ha haaaaaaaa
 
aisee km movie vile.! Ndo maana cheupe anaringa sana aseee..si kwa akili hizi zilizotulia ktk hadithi hii murua!
Hongereni Mr and Mrs The bold kichwaaaaa......











Ila sijaacha kukulove you know......ha ha ha haaaaaaaa
Hahahahaha [emoji3] [emoji23]

Thank you wiser1..
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe jamaa umejua kunifurahisha.
Shukraan mkuu [emoji120]
mkuuu the bold inabidi tufurahishane tu hata kwa maneno maana hamna namnaa,na hii tunaifanya makusudi ili wewe ujue kua tunakufatilia kwa karibuuu.mgeni wangu wangu kutoka koromije atapokuja hiyo jumapili akini ruhusu nitatupiamo ka picha kake humu jamvini.😵😵😵😵😵😵
 
mkuuu the bold inabidi tufurahishane tu hata kwa maneno maana hamna namnaa,na hii tunaifanya makusudi ili wewe ujue kua tunakufatilia kwa karibuuu.mgeni wangu wangu kutoka koromije atapokuja hiyo jumapili akini ruhusu nitatupiamo ka picha kake humu jamvini.😵😵😵😵😵😵
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu huyo mrembo wa koromije shule alikuwa njema?
Maana nasikia watu wa kule ni mabingwa wa kuzungusha hahahahaaaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu huyo mrembo wa koromije shule alikuwa njema?
Maana nasikia watu wa kule ni mabingwa wa kuzungusha hahahahaaaaaa
mkuu hilo la elimu yake sijalipa kipaumbele,nimezingatia zaidi umaarufu wa ghafla wa hicho kijiji maana tuendako chaweza kufanywa kua moja ya vivutio vya tanzania ya viwanda,hivyo nawahi nafasi mapemaaa ili kina gwajima na bashite wasije nitengaa😀😀😀😀😀😀😀
 
Mkuu,mimi kigezo changu kikuu kwa mwanaume ni akili...tena akili haswaaaa (nimewahi kulisema huku mara nyingi sana,hata kabla ya kuwa na The bold)

Sijui wanawake wenzangu wanawezaje kuwa na akina Bashite,mimi siwezi kabisa.

Kwanini nasema hayo yote? Ni vile nina furaha sasa nimempata mwanaume niliyekuwa namuhitaji na zaidi.

Huyu kijana ana akili hadi huwa nastaajabu.
Ujue ukikaa na mtu mwenye akili kuna mambo ya kawaida tu lakini yeye anayafanya tofauti hadi unashangaa.
Au jambo ambalo kiukawaida lingepaswa kuchua muda mrefu kufikiri ila yeye ni fastaaa na yuko sahihi.

Sijui nisemeje ila ni ana akili kuliko hii mnayoiona huku,he is gifted indeed.

Asante mkuu,ubarikiwe sana.

Kwahili umemkosea heshima mke wa Bashite.
 
mkuu hilo la elimu yake sijalipa kipaumbele,nimezingatia zaidi umaarufu wa ghafla wa hicho kijiji maana tuendako chaweza kufanywa kua moja ya vivutio vya tanzania ya viwanda,hivyo nawahi nafasi mapemaaa ili kina gwajima na bashite wasije nitengaa😀😀😀😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu una karama ya uchekeshaji.
Yani kila post yako navunjika mbavu.

Kila la kheri ktk 'uwekezaji' wako mkuu,usisite kutushtua na wenzako ukiona fursa zaidi.
 
Yeye tu kuwa na mume wa hovyohovyo namna ile amejikosesha heshima.
Labda uniambie ni heshima gani niliyomkosea mkuu?

Kila mtu anachaguo lake kama wewe ulivyo na machaguo yako na yeye ndivyo alivyo. Haujui elimu yake,labda elimu yake ni ya primary na yeye akaamua kutafuta ambae ana elimu ya primary.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu una karama ya uchekeshaji.
Yani kila post yako navunjika mbavu.

Kila la kheri ktk 'uwekezaji' wako mkuu,usisite kutushtua na wenzako ukiona fursa zaidi.
Naahidi kuwakumbuka katika ufalme wetu ujao wa koromije.maana zama hizo vyeti vya kidunia vya elimu itakua ni chukizo mbele ya ufalme wetu utakao tukuka mnoo.mniombee tuuu
 
Mkuu,mimi kigezo changu kikuu kwa mwanaume ni akili...tena akili haswaaaa (nimewahi kulisema huku mara nyingi sana,hata kabla ya kuwa na The bold)

Sijui wanawake wenzangu wanawezaje kuwa na akina Bashite,mimi siwezi kabisa.

Kwanini nasema hayo yote? Ni vile nina furaha sasa nimempata mwanaume niliyekuwa namuhitaji na zaidi.

Huyu kijana ana akili hadi huwa nastaajabu.
Ujue ukikaa na mtu mwenye akili kuna mambo ya kawaida tu lakini yeye anayafanya tofauti hadi unashangaa.
Au jambo ambalo kiukawaida lingepaswa kuchua muda mrefu kufikiri ila yeye ni fastaaa na yuko sahihi.

Sijui nisemeje ila ni ana akili kuliko hii mnayoiona huku,he is gifted indeed.

Asante mkuu,ubarikiwe sana.
Wana naooo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom