Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,757
- Thread starter
- #3,881
Nitafanya hivyo mkuu..Mkuu wengine tunakosa utamu huu,tupandishie basi episode au tupe post number toka Episode ya 14..pls
Nitafanya hivyo mkuu..Mkuu wengine tunakosa utamu huu,tupandishie basi episode au tupe post number toka Episode ya 14..pls
And..Staki ushabiki maandazi kaka kila mtu ana ufahamu wake wa kuchambua mambo so nina vigezo vingi vya kumpa U King the Bold hapa Tz so kama ujajua nasema nini hutojua pia nitasema nini
Ana Stahili u Super Woman Kwa kusababisha haya matamu yakatokea Haya Nifah Inama kwa Heshima Upewe Taji la Usuper Woman kwa kufanikisha Hili Teh Teh Teh The bold U made it Bob
Kuna Kitu Pia nilikwambia Usisahau kusubili Lee Super Suprise The bold na sasa hivi nimeongeza List akiwemo Nifah yani kila siku natamani kuifanya na kuiboresha hiyo kitu iweje iweje ila basi tu itatimia soonWoooww!! [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Nashindwa hata nisemeje mkuu.!!
Shukrani sana kwa kunitia moyo kiasi hiki.. Hakika najisikia deni niendelee kubaki kwenye ubora huu..
Salute Chief.!
Hili swali huwa namuuliza sana,ukisikia wajuzi wa mambo ndio The bold sasa.
Halafu ukimuona huwezi kudhania kabisa,dah kuna watu wamebarikiwa akili bwana [emoji119]
Sina lengo la kumshusha Nifah,don get me wrong aseee[emoji30] [emoji31] [emoji30] [emoji31]Mimi nakuwa mtazamaji ! Japo nimetokea kuwa mshauri wako mapema....!
Go mama! Get Nifah down if you can..!
Una shida gani wewe[emoji1]Sina lengo la kumshusha Nifah,don get me wrong aseee[emoji30] [emoji31] [emoji30] [emoji31]
am in love with her husband that's all!
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jaman mbona unasema maneno ya kuchoma hivi? mweeeee.....[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]Sasa utapendaje mme wa mtu wakat dummez tupo wengi humu mbaya zaid the bold hata hakupend. Usiforce kupendwa penda unapo pendwa kama kwangu
Jaman Nifah na ww pia ni sababu ya kumpenda Mumeo!How old are you mama?[emoji4]
Halafu ww..nishakuona aseee...huu pia ni MKAKATI eeee!Penda usipopendwa utajijua, mm mwenyewe nilipenda nisipopendwa basi tu so sio mbaya tuka make love
sasa ntamuachaje nawakati ndo kwanza nabembeleza hata anipende kiduchuuu[emoji4]Wee unamtaka the bold ambaye keshanyeshwa maziwa mabichi na Nifah...?
Nishakupa kijana Mondray! The bold muachee tuu
huwez nikuta kule!...mie Jasiri sana tu...usinchukulie poa ooohWahenga tunasema "Unapiga teke vibuyu vya asali . Nisije nikakukuta kule love connect tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ntake radhi mwenzio hata roho ngumu mie sina! ni upendo tu ndugu yangu!Duuh! aisee Wiser1 una roho ngumu weyeeee!
Tuonyeshe vyeti na CV kwa ujumla tukusaidie kupendwa[emoji17]Ntake radhi mwenzio hata roho ngumu mie sina! ni upendo tu ndugu yangu!
Hahahaaa! Nilishakwambia kuwa mtu kanyweshwa maziwa mabichi..Jaman Nifah na ww pia ni sababu ya kumpenda Mumeo!
Nilianza kukupenda ww mwishoe mumeo daaaaah...too bad,,The bold umemnywesha "maziwa mabichi"
Time will tell! Ila you deserve to be with Mondray..huwez nikuta kule!...mie Jasiri sana tu...usinchukulie poa oooh
Don't even dare !! Huwezi watenganisha wale..!sasa ntamuachaje nawakati ndo kwanza nabembeleza hata anipende kiduchuuu[emoji4]