Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

TAHADHARI



Morning wakuu,


Leo jioni nitaweka hapa Episode 20 ya Simulizi yetu ya Vipepeo Weusi.. Ningependa nitoe angalizo kuhusu Episode hii..

Huko katika familia yetu ya WhatsApp Episode hii niliiweka maalumu kwa ajili ya Valentine (Valentine day special) hivyo basi Episode hii ina vipande vingi vya mambo ya "Kikubwa".!!


Kama hupendi kusoma vitu vya dizaini hiyo, nakushauri usisome Episode hii.. Subiri Episode 21.



Kutokana na content ya hii Episode itanipasa niiweke jioni..



Shukrani.!
Sawa sawa kaka.
 
teheteheee,the bold itabidi airudie hii kipande jumapili ijayoooo maana zao la koromije litakua hapa home
mkuu chukua hii episode uicopy halafu ipestie sehemu, demu wako akija hiyo jpili wew unasoma halafu unapractice kwa gal wako. ila sasa bafuni kwako kuna bomba la mvua? isijekuwa choo ndio pia hutumika kama bafu!!
 
Hili swali huwa namuuliza sana,ukisikia wajuzi wa mambo ndio The bold sasa.

Halafu ukimuona huwezi kudhania kabisa,dah kuna watu wamebarikiwa akili bwana [emoji119]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Basi ngoja nisiseme.. Nilitaka kusema swali fulani ulikuwa unaniuliza juzi [emoji23] [emoji23] remember??
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Basi ngoja nisiseme.. Nilitaka kusema swali fulani ulikuwa unaniuliza juzi [emoji23] [emoji23] remember??
Mhhhhhhh [emoji87] [emoji15]
Hold on babe,juzi asubuhi?
Uwiiiiiii [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]
 
Hili swali huwa namuuliza sana,ukisikia wajuzi wa mambo ndio The bold sasa.

Halafu ukimuona huwezi kudhania kabisa,dah kuna watu wamebarikiwa akili bwana [emoji119]
Cheupe + Kichwa Niffah Ni Cheupe na Kichwa ni The Bold




Nimeamua nitoboe siri Tu nyie watu ni hatari lakini salama nashindwa niwaelezee vipi ila naona mnaweza endesha hata ndege Boing 717 bila kupata mafunzo yoyote yale bila Niffah hakuna The Bold Bila The Bold Hakuna Niffah Na nimewahi kuwaza kitu flani Ety niko tayari kughalamia hii movie hadi nifilisike kuileta kwenye uhalisia ila nikapata maswali mengi tena kwenye akili yangu........... Nikiendelea sana nitaropoka siri nyingi zaidi haya bhana Ukweli usemwe tu The bold Huna mpinzani kwenye Level za Uandishi hapa Tanzania Tumekaa tukaaminishwa kina E Sh: kumbe wapo Wengi Tu na kwa Humu JF Inabidi Tukutengee tu uishi pekee ako sio kwa kujua huku jamani



Salute
 
Cheupe + Kichwa Niffah Ni Cheupe na Kichwa ni The Bold




Nimeamua nitoboe siri Tu nyie watu ni hatari lakini salama nashindwa niwaelezee vipi ila naona mnaweza endesha hata ndege Boing 717 bila kupata mafunzo yoyote yale bila Niffah hakuna The Bold Bila The Bold Hakuna Niffah Na nimewahi kuwaza kitu flani Ety niko tayari kughalamia hii movie hadi nifilisike kuileta kwenye uhalisia ila nikapata maswali mengi tena kwenye akili yangu........... Nikiendelea sana nitaropoka siri nyingi zaidi haya bhana Ukweli usemwe tu The bold Huna mpinzani kwenye Level za Uandishi hapa Tanzania Tumekaa tukaaminishwa kina E Sh: kumbe wapo Wengi Tu na kwa Humu JF Inabidi Tukutengee tu uishi pekee ako sio kwa kujua huku jamani



Salute
Sio kweli hana mpinzani,watunzi wapo wengi na wazuri tu labda kama ww umezoea za Shigongo tu.Sema ni mmoja wa watunzi wazuri.[emoji109]
 
Sio kweli hana mpinzani,watunzi wapo wengi na wazuri tu labda kama ww umezoea za Shigongo tu.Sema ni mmoja wa watunzi wazuri.[emoji109]
Staki ushabiki maandazi kaka kila mtu ana ufahamu wake wa kuchambua mambo so nina vigezo vingi vya kumpa U King the Bold hapa Tz so kama ujajua nasema nini hutojua pia nitasema nini
 
Cheupe + Kichwa Niffah Ni Cheupe na Kichwa ni The Bold




Nimeamua nitoboe siri Tu nyie watu ni hatari lakini salama nashindwa niwaelezee vipi ila naona mnaweza endesha hata ndege Boing 717 bila kupata mafunzo yoyote yale bila Niffah hakuna The Bold Bila The Bold Hakuna Niffah Na nimewahi kuwaza kitu flani Ety niko tayari kughalamia hii movie hadi nifilisike kuileta kwenye uhalisia ila nikapata maswali mengi tena kwenye akili yangu........... Nikiendelea sana nitaropoka siri nyingi zaidi haya bhana Ukweli usemwe tu The bold Huna mpinzani kwenye Level za Uandishi hapa Tanzania Tumekaa tukaaminishwa kina E Sh: kumbe wapo Wengi Tu na kwa Humu JF Inabidi Tukutengee tu uishi pekee ako sio kwa kujua huku jamani



Salute
Woooww!! [emoji87] [emoji87] [emoji87]

Nashindwa hata nisemeje mkuu.!!


Shukrani sana kwa kunitia moyo kiasi hiki.. Hakika najisikia deni niendelee kubaki kwenye ubora huu..


Salute Chief.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom