Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Kwahili umemkosea heshima mke wa Bashite.
Nifah katoa ya moyoni tu! maana hata huyo mke wa bashite kwa rekodi za tz alikuwa hajulikaniki kabisaaa! scandal hii imemfanya hovyoooo kabisaa[emoji31] [emoji30]

Wanawake wakat mwingine tuwe makini tu kuchagua hakuna namna kwa kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yeye tu kuwa na mume wa hovyohovyo namna ile amejikosesha heshima.
Labda uniambie ni heshima gani niliyomkosea mkuu?
Ukimuona wiser1 anasema anampenda The bold nikutokana na sifa nyingi saana alizonazo mtu huyu!

Akili, ubunifu, jasiri,husimamia anacho amini, hapendi dhuluma, uvumilivu,mcha Mungu, muelewa, "hajanunua cheti cha mtu", anajikubali,....ila king'ang'anizi huyooo[emoji23] [emoji23] (joke) baadhi tu hzo

Nifah unahaki kabisa ya kufunguka haiwezekani mwanamke ukakubali tu mtu wa hovyo bhnaa! Nikujivunjia heshima!
 
Ukimuona wiser1 anasema anampenda The bold nikutokana na sifa nyingi saana alizonazo mtu huyu!

Akili, ubunifu, jasiri,husimamia anacho amini, hapendi dhuluma, uvumilivu,mcha Mungu, muelewa, "hajanunua cheti cha mtu", anajikubali,....ila king'ang'anizi huyooo[emoji23] [emoji23] (joke) baadhi tu hzo

Nifah unahaki kabisa ya kufunguka haiwezekani mwanamke ukakubali tu mtu wa hovyo bhnaa! Nikujivunjia heshima!

Ndio maana tokea mwanzo nilikuambia sishangai mwanamke yeyote yule kumpenda The bold wangu.
Mwanamke yeyote anayejitambua lazima atatamani kuwa na mwanaume kama yeye.

Yani huwa namuambia nisingekuwa mimi halafu ndio akawa yuko na mwingine jamani ningeliaje?
Uwiiiiiii nampenda huyu mtu mnooooo (hata kabla hatujawa wapenzi hahahahaaaaaa )

BTW...bora umesema wewe mwaya,nimekupenda bure.
Mwanamke huheshimika/kudharaulika kutokana na mwanaume aliyekuwa nae katika jamii.
Wewe uwe na mume wa hovyo halafu nikuheshimu? Thubutuuuu [emoji57]
 
THanks the bold,ila najipongeza kwa uamuzi wangu wa kishujaa wa kuto isoma hii espodi mapema,nimeeisomaaa jionii hii ya alhamisi ili kesho ijumaa ni unganisheee.
Vipi mkuu maandalizi ya kumpokea mrembo kutoka Koromije yanaendeleaje?[emoji4]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom