Kwa The bold!
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa story zako karibu zote.Wazo ulilotoa ni zuri lakini ni baya pia.
Nikweli unatumia muda wako kutuandalia vitu vizuri km hivi na nimuhimu upate juice/maji pamoja na bibie chaurembo wetu Nifah.
Mkuu The bold,ombi langu kwako punguza kiwango cha kuchangia kiwe japo elfu 3000 tsh ili hata tusio na ajira rasmi tuweze kuendelea kuburudika.
Nikiri wazi kuwa bandiko lako limeniumiza sana ndani ya nafsi maana tayari nilikuwa nimejiandaa kusoma VIPEPEO WEUSI...ghafla nakutana na bandiko ambalo kiukweli si zuri hata kidogo!..limeniumiza akili yangu.
The bold ulihaidi jmosi!..siku 2/3 kabla ya siku ya ahadi unakuja na bandiko hilo,jaman huoni km umenionea/kutuonea wapenzi wa story zako?...mimi siyo mtu wa kukomenti komenti sana japo ktk hili...aaah umenikwaza!
Itabidi niwe mpole nisubirie vitabu vikitoka ninunue hasa hichi ulichoniahidi na kunikata stim hapa jukwaani!
Asante!
wiser1