Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Mkuu The bold naungana nawe kabisa upo sahihi ili pande zote wawezi kufurahia mabandiko yako. Napendekeza wale wanaoungana na wazo lako wawe wanatuma mwanzoni mwa mwezi na tunaanza kujisajili kabla ya kuanza kurusha ili uweze kupata mwitikio wa watu

Shukrani sana Mkuu..

Niwashukuru wewe pamoja na lee empire na johnsonmgaya kwa kuhakikisha napooza koo kwa juice na kuweka bando kabla hata sijaleta hili ombi la leo..

Mbarikiwe sana..
 
The bold kuhusu hilo natamani kulipitisha lakini karoho kanauma sana
Shida si financial shida inakuja mawasiliano ya wife Clkey yatakuwa wazi sana nitaibiwa kirahisi
Hapa tu anatumia anonyms lakini napata presha je huko,,
Damn me! story nataka sana tu ukizingatia Nifah kanambia ep zipo 50 we have to do that.
Hey boy @Trancend stay away from her sasa kama hutaki kuendelea kusoma story mfatilie,,,,,
Why Transcend only...?
 
The bold kuhusu hilo natamani kulipitisha lakini karoho kanauma sana
Shida si financial shida inakuja mawasiliano ya wife Clkey yatakuwa wazi sana nitaibiwa kirahisi
Hapa tu anatumia anonyms lakini napata presha je huko,,
Damn me! story nataka sana tu ukizingatia Nifah kanambia ep zipo 50 we have to do that.
Hey boy @Trancend stay away from her sasa kama hutaki kuendelea kusoma story mfatilie,,,,,
Mume wangu jiamini bwana mm mtu mzima ww c wangu tatizo nn ss unanitia mashaka ss itakuwa ww ndo mchepukaji mkuu
 
Kuhusu usalama wa mawasikiano ya watu..

Kwa ninavyo fahamu, ubaya unakuwepo pale mtu anajua namba yako ya simu na ID unayotumia humu jf.. Ila akijua kimoja pasipo kujua kingine (kwa mfano ajue namba pasipo kujua ID yako ya JF) kunakuwa hakuna hatari wala ubaya wowote..

Kwa mfano mpaka sasa nimeshapokea meseji za members kadhaa whatsapp lakini wengi wao sifahamu ID zao wanazotumia humu na hakuna ulazima wa mimi kufahamu..

Alafu hakuna hacker hapa Tanzania mwenye uwezo wa kuhack whtasapp.. Ni kama ilivyongumu kuhack Google au Facebook..

Ukiona mtu "amekuingilia" anajua settings zako za siri but sio "hacking"

Kwahiyo naomba tuaminiane tu kwenye hili..
Mai kaka sioni namba tena aha wamenivuruga leo wajinga fulani
Hujambo lkn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom