Mwanaume mswahili wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usijaki Mkuu! Kama King Kiba tuna hit bila tuzo..
Hhahhahaha leo umenikosha mkuu karibu kkoo tukipiga ike YOOOHHH!! hadi trump anaisikia,Usijaki Mkuu! Kama King Kiba tuna hit bila tuzo..
Siri ya views ni show-off tu hakuna jipya nashangaa hatuonyesheagi zile dislike pale chini,Mwanaume mswahili wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itabidi umuulize boss wako Chibu 'siri' ya views...[emoji12]
Usijaki Mkuu! Kama King Kiba tuna hit bila tuzo..
Mkuu kuna taarifa niliweka humu kuhusu muendelezo.! Tafadhaki naomba icheki nimeipandisha pale juu post # 1 mwanzoni kabisa utaona kichwa cha habari kina rangi nyekundu..Mkuu za saa hizi? Stori inaendelea lini?
Mkuu kuna taarifa niliweka humu kuhusu muendelezo.! Tafadhaki naomba icheki nimeipandisha pale juu post # 1 mwanzoni kabisa utaona kichwa cha habari kina rangi nyekundu..
Kuhusu usalama nilijibu humu kuna post.. Niligusia vitu vingi lakini nikasisitiza zaidi itabidi tu tuaminiane maana hakuna namna..Wazo Zuri sana mkuu je kwa walioko nchi za nje? Vipi kuhusu hawa jamaa wanaotaka info za wachangiaji uku?
Kuhusu usalama nilijibu humu kuna post.. Niligusia vitu vingi lakini nikasisitiza zaidi itabidi tu tuaminiane maana hakuna namna..
Kama uko nje, tupeane tu taarifa si suala gumu kutuma hela kutoka nje kuja Tz
Mkuu tafadhari rejea bandiko nililoliweka humu na nimelipandisha pale juu mwanzoni kabisa post # 1 utaona kichwa cha habari chenye rangi nyekundu..Muendelezo wa EPISODE 9 ni lini wakuu??
Ok mkuu nimekusoma vema.Mkuu tafadhari rejea bandiko nililoliweka humu na nimelipandisha pale juu mwanzoni kabisa post # 1 utaona kichwa cha habari chenye rangi nyekundu..
UshauriWAKUU GROUP LIMESHAANZA..
SASA TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUADD MEMBERS..
WHATSAPP YOUR NUMBER TO 0718 096 811
Maadamu yeye ndie ametoa namba hakuna tatizo, kwa sababu utamfuata huko whatsapp bila hata yeye kujua kwamba wewe ndio Jackal wa jf, itafahamika tu kua wewe ni member wa jf lakini haitafahamika id yako ya Jf.Ushauri
Kwanini tusiendelee na JF pekee .Kutoa namba za simu ina maana tunaji expose IDs zetu kuficha inakuwa haina maana na usalama unakuwa mdogo .Sasa hivi jamii forums inatafutwa sana na watawala .Ref:Kesi inayoendelea ya Max Mello.
Mkuu na sisi Stuff tunalipia[emoji4] [emoji4] [emoji4] (jokes)Mkuu tafadhari rejea bandiko nililoliweka humu na nimelipandisha pale juu mwanzoni kabisa post # 1 utaona kichwa cha habari chenye rangi nyekundu..
Jawabu sahihi kabisa! Nashukuru Mkuu..Maadamu yeye ndie ametoa namba hakuna tatizo, kwa sababu utamfuata huko whatsapp bila hata yeye kujua kwamba wewe ndio Jackal wa jf, itafahamika tu kua wewe ni member wa jf lakini haitafahamika id yako ya Jf.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu na sisi Stuff tunalipia[emoji4] [emoji4] [emoji4] (jokes)
Ingawa usawa wa Magu unabana hakuna namna inabidi tukuunge tu mtu wetu na ni unafiq mtoto wa kiume kupenda vya bure kusubiria hapa JF mi nitakuja hukohuko ila kwa ghost number[emoji4] [emoji4] . Ila mkuu wasap situmiagi inabidi niweke tu kwa kuwa ni mchizi wangu(Ushauri wanawake wawe wengi kuliko wanaume maana si wengine ndio ulemavu wetu huo)[emoji1] [emoji1] [emoji1]