Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Mbona hiyo taarifa mi siioni The bold?
Habari wakuu,

Kuna wazo nalileta kwenu ili tulijadili..

Nimepata maoni ya watu wengi kuhusu namna bora ya kuendelea na hii simulizi ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba 0034, pamoja na aina za thread ninazoandikaga Jamii Intelligence na nimekuwa natafakari na kufanyia kazi maoni hayo kwa muda sasa na baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na wazo hili;

Nimeonelea tuwe na "premium convo" huko PM hapa hapa JF kwa wale ambao wako tayari au tuwe na group ya whatsapp exclusively kwa ajili simulizi hii pamoja na simulizi nyingine ambazo nina mpango wa kuziweka.

Now, how is this going to work??

Katika hiyo convo/whats group nimelenga niwe naweka 4 episodes kila wiki za simulizi hii ya vipepeo weusi na kila weekend nitakuwa naweka Makala maalumu kama zile za kina D.B Cooper au Geranimo ambazo huwa naziweka Jamii Inteligence..

But.. Katika hii convo/whatsapp group kutakuwa na "subscription fee" kwa kila mwezi, na napendekeza iwe Tsh. 5,000/- kwa mwezi.

Lengo ni nini?

Lengo langu kuu kutaka kuweka utaratibu huu ni kama ifuatavyo;

1. Nadhani si dhambi The Bold walau akiwa na kijihela cha kununua juice atulize koo wakati anaandika hizi simulizi na makala. LOL

2. Kwa utaratibu huu ninaopendekeza nadhani walau simulizi itakuwa inaenda haraka so naamini itaisha haraka, maana kwa utaratibu huu wa sasa ambao tumekuwa tunaenda nao hii simulizi inaweza kuisha May/June.. Ila kwa utaratibu huu mpya nadhani ndani ya miezi miwili itakuwa imeisha.. Ziko simulizi nyingine mbili tamu sana natamani kushea nanyi ila nashindwa kwa kuwa hii bado inaendelea. Simulizi hizo moja inaitwa "La Ultima Letra (Herufi ya mwisho)" na nyingine inaitwa ZEO. Ni hadithi mbili matata sana..

3. Sababu yangu ya mwisho, ni kuweka muelekeo mzuri ili kuweza kujua kama kuna 'base' ya kutosha ili kuanza kutoa vitabu hapo miezi ya baadae mwaka huu.

Sasa, najua kuna maswli nitaulizwa! Na moja wapo ni hili; Je, simulizi hii ya Vipepeo Weusi itaendelea humu na je vipi kuhusu makala za Jamii Intelligence?

Jibu: Thread itaendelea humu ila itasimama kwa wiki moja ya kwanza (kuanzia Jumamosi) na ikirejea baada ya wiki hiyo moja, nitakuwa naweka episode moja kwa wiki.
Kwa lugha nyingine, kule kwenye group tunaweza tukawa tumefika episode 21 but huku kwenye huu uzi ikawa episode 9. Na tutaendelea na utaeatibu huo. Hapa itatolewa episode moja per week!!

Na kuhusu makala za Jamii Intelligence, zitaendelea but nitakuwa naweka makala moja kwa mwezi tofauti na kule kwenye group nitakuwa naweka makala kila weekend (makala za uchambuzi) na simulizi nitakuwa naweka episode 4 kwa wiki.

Mwisho,
Kama kuna mwenye maoni, naomba tujadili but naomba tutumie lugha ya staha.

Na kwa walio tayari, naomba uniPM namba yako au nitumie meseji whatsapp kupitia namba 0718 096 811


Asanteni!

The Bold.
 
Mkuu na sisi Stuff tunalipia (jokes)

Ingawa usawa wa Magu unabana hakuna namna inabidi tukuunge tu mtu wetu na ni unafiq mtoto wa kiume kupenda vya bure kusubiria hapa JF mi nitakuja hukohuko ila kwa ghost number . Ila mkuu wasap situmiagi inabidi niweke tu kwa kuwa ni mchizi wangu(Ushauri wanawake wawe wengi kuliko wanaume maana si wengine ndio ulemavu wetu huo)
teh teh teh teh

Hakyanani...........
 
Habari wakuu,

Kuna wazo nalileta kwenu ili tulijadili..

Nimepata maoni ya watu wengi kuhusu namna bora ya kuendelea na hii simulizi ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba 0034, pamoja na aina za thread ninazoandikaga Jamii Intelligence na nimekuwa natafakari na kufanyia kazi maoni hayo kwa muda sasa na baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na wazo hili;

Nimeonelea tuwe na "premium convo" huko PM hapa hapa JF kwa wale ambao wako tayari au tuwe na group ya whatsapp exclusively kwa ajili simulizi hii pamoja na simulizi nyingine ambazo nina mpango wa kuziweka.

Now, how is this going to work??

Katika hiyo convo/whats group nimelenga niwe naweka 4 episodes kila wiki za simulizi hii ya vipepeo weusi na kila weekend nitakuwa naweka Makala maalumu kama zile za kina D.B Cooper au Geranimo ambazo huwa naziweka Jamii Inteligence..

But.. Katika hii convo/whatsapp group kutakuwa na "subscription fee" kwa kila mwezi, na napendekeza iwe Tsh. 5,000/- kwa mwezi.

Lengo ni nini?

Lengo langu kuu kutaka kuweka utaratibu huu ni kama ifuatavyo;

1. Nadhani si dhambi The Bold walau akiwa na kijihela cha kununua juice atulize koo wakati anaandika hizi simulizi na makala. LOL

2. Kwa utaratibu huu ninaopendekeza nadhani walau simulizi itakuwa inaenda haraka so naamini itaisha haraka, maana kwa utaratibu huu wa sasa ambao tumekuwa tunaenda nao hii simulizi inaweza kuisha May/June.. Ila kwa utaratibu huu mpya nadhani ndani ya miezi miwili itakuwa imeisha.. Ziko simulizi nyingine mbili tamu sana natamani kushea nanyi ila nashindwa kwa kuwa hii bado inaendelea. Simulizi hizo moja inaitwa "La Ultima Letra (Herufi ya mwisho)" na nyingine inaitwa ZEO. Ni hadithi mbili matata sana..

3. Sababu yangu ya mwisho, ni kuweka muelekeo mzuri ili kuweza kujua kama kuna 'base' ya kutosha ili kuanza kutoa vitabu hapo miezi ya baadae mwaka huu.

Sasa, najua kuna maswli nitaulizwa! Na moja wapo ni hili; Je, simulizi hii ya Vipepeo Weusi itaendelea humu na je vipi kuhusu makala za Jamii Intelligence?

Jibu: Thread itaendelea humu ila itasimama kwa wiki moja ya kwanza (kuanzia Jumamosi) na ikirejea baada ya wiki hiyo moja, nitakuwa naweka episode moja kwa wiki.
Kwa lugha nyingine, kule kwenye group tunaweza tukawa tumefika episode 21 but huku kwenye huu uzi ikawa episode 9. Na tutaendelea na utaeatibu huo. Hapa itatolewa episode moja per week!!

Na kuhusu makala za Jamii Intelligence, zitaendelea but nitakuwa naweka makala moja kwa mwezi tofauti na kule kwenye group nitakuwa naweka makala kila weekend (makala za uchambuzi) na simulizi nitakuwa naweka episode 4 kwa wiki.

Mwisho,
Kama kuna mwenye maoni, naomba tujadili but naomba tutumie lugha ya staha.

Na kwa walio tayari, naomba uniPM namba yako au nitumie meseji whatsapp kupitia namba 0718 096 811


Asanteni!

The Bold.
Ngoja nikutafute mida
 
Habari wakuu,

Kuna wazo nalileta kwenu ili tulijadili..

Nimepata maoni ya watu wengi kuhusu namna bora ya kuendelea na hii simulizi ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba 0034, pamoja na aina za thread ninazoandikaga Jamii Intelligence na nimekuwa natafakari na kufanyia kazi maoni hayo kwa muda sasa na baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na wazo hili;

Nimeonelea tuwe na "premium convo" huko PM hapa hapa JF kwa wale ambao wako tayari au tuwe na group ya whatsapp exclusively kwa ajili simulizi hii pamoja na simulizi nyingine ambazo nina mpango wa kuziweka.

Now, how is this going to work??

Katika hiyo convo/whats group nimelenga niwe naweka 4 episodes kila wiki za simulizi hii ya vipepeo weusi na kila weekend nitakuwa naweka Makala maalumu kama zile za kina D.B Cooper au Geranimo ambazo huwa naziweka Jamii Inteligence..

But.. Katika hii convo/whatsapp group kutakuwa na "subscription fee" kwa kila mwezi, na napendekeza iwe Tsh. 5,000/- kwa mwezi.

Lengo ni nini?

Lengo langu kuu kutaka kuweka utaratibu huu ni kama ifuatavyo;

1. Nadhani si dhambi The Bold walau akiwa na kijihela cha kununua juice atulize koo wakati anaandika hizi simulizi na makala. LOL

2. Kwa utaratibu huu ninaopendekeza nadhani walau simulizi itakuwa inaenda haraka so naamini itaisha haraka, maana kwa utaratibu huu wa sasa ambao tumekuwa tunaenda nao hii simulizi inaweza kuisha May/June.. Ila kwa utaratibu huu mpya nadhani ndani ya miezi miwili itakuwa imeisha.. Ziko simulizi nyingine mbili tamu sana natamani kushea nanyi ila nashindwa kwa kuwa hii bado inaendelea. Simulizi hizo moja inaitwa "La Ultima Letra (Herufi ya mwisho)" na nyingine inaitwa ZEO. Ni hadithi mbili matata sana..

3. Sababu yangu ya mwisho, ni kuweka muelekeo mzuri ili kuweza kujua kama kuna 'base' ya kutosha ili kuanza kutoa vitabu hapo miezi ya baadae mwaka huu.

Sasa, najua kuna maswli nitaulizwa! Na moja wapo ni hili; Je, simulizi hii ya Vipepeo Weusi itaendelea humu na je vipi kuhusu makala za Jamii Intelligence?

Jibu: Thread itaendelea humu ila itasimama kwa wiki moja ya kwanza (kuanzia Jumamosi) na ikirejea baada ya wiki hiyo moja, nitakuwa naweka episode moja kwa wiki.
Kwa lugha nyingine, kule kwenye group tunaweza tukawa tumefika episode 21 but huku kwenye huu uzi ikawa episode 9. Na tutaendelea na utaeatibu huo. Hapa itatolewa episode moja per week!!

Na kuhusu makala za Jamii Intelligence, zitaendelea but nitakuwa naweka makala moja kwa mwezi tofauti na kule kwenye group nitakuwa naweka makala kila weekend (makala za uchambuzi) na simulizi nitakuwa naweka episode 4 kwa wiki.

Mwisho,
Kama kuna mwenye maoni, naomba tujadili but naomba tutumie lugha ya staha.

Na kwa walio tayari, naomba uniPM namba yako au nitumie meseji whatsapp kupitia namba 0718 096 811


Asanteni!

The Bold.
wazo zuri sana tunakufata whatsapp
 
I wish ningekuwa kwa hilo group, ila ndo hvyo hali yangu hairuhusu..
To [HASHTAG]#TheBolds[/HASHTAG] "huu ni ukatili wa kifikra kwetu sisi tusiokuwa na uwezo, ni kwamba hii story humu itapoteza mvuto (episode moja kwa wiki) mpka mtu atasahau kuifatilia, na hizo chambuzi moja kwa mwezi zinafanya msiwe muhimu tena humu jf, kingine ni kwamba mmeamua whatsapp ndo utakuwa mtandao mnaotumia sana(sio jf tena)... Japo ni maamuzi yenu na nisingependa kuyaingilia ila naomba muyafikirie tena.
 
Habari wakuu,

Kuna wazo nalileta kwenu ili tulijadili..

Nimepata maoni ya watu wengi kuhusu namna bora ya kuendelea na hii simulizi ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba 0034, pamoja na aina za thread ninazoandikaga Jamii Intelligence na nimekuwa natafakari na kufanyia kazi maoni hayo kwa muda sasa na baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na wazo hili;

Nimeonelea tuwe na "premium convo" huko PM hapa hapa JF kwa wale ambao wako tayari au tuwe na group ya whatsapp exclusively kwa ajili simulizi hii pamoja na simulizi nyingine ambazo nina mpango wa kuziweka.

Now, how is this going to work??

Katika hiyo convo/whats group nimelenga niwe naweka 4 episodes kila wiki za simulizi hii ya vipepeo weusi na kila weekend nitakuwa naweka Makala maalumu kama zile za kina D.B Cooper au Geranimo ambazo huwa naziweka Jamii Inteligence..

But.. Katika hii convo/whatsapp group kutakuwa na "subscription fee" kwa kila mwezi, na napendekeza iwe Tsh. 5,000/- kwa mwezi.

Lengo ni nini?

Lengo langu kuu kutaka kuweka utaratibu huu ni kama ifuatavyo;

1. Nadhani si dhambi The Bold walau akiwa na kijihela cha kununua juice atulize koo wakati anaandika hizi simulizi na makala. LOL

2. Kwa utaratibu huu ninaopendekeza nadhani walau simulizi itakuwa inaenda haraka so naamini itaisha haraka, maana kwa utaratibu huu wa sasa ambao tumekuwa tunaenda nao hii simulizi inaweza kuisha May/June.. Ila kwa utaratibu huu mpya nadhani ndani ya miezi miwili itakuwa imeisha.. Ziko simulizi nyingine mbili tamu sana natamani kushea nanyi ila nashindwa kwa kuwa hii bado inaendelea. Simulizi hizo moja inaitwa "La Ultima Letra (Herufi ya mwisho)" na nyingine inaitwa ZEO. Ni hadithi mbili matata sana..

3. Sababu yangu ya mwisho, ni kuweka muelekeo mzuri ili kuweza kujua kama kuna 'base' ya kutosha ili kuanza kutoa vitabu hapo miezi ya baadae mwaka huu.

Sasa, najua kuna maswli nitaulizwa! Na moja wapo ni hili; Je, simulizi hii ya Vipepeo Weusi itaendelea humu na je vipi kuhusu makala za Jamii Intelligence?

Jibu: Thread itaendelea humu ila itasimama kwa wiki moja ya kwanza (kuanzia Jumamosi) na ikirejea baada ya wiki hiyo moja, nitakuwa naweka episode moja kwa wiki.
Kwa lugha nyingine, kule kwenye group tunaweza tukawa tumefika episode 21 but huku kwenye huu uzi ikawa episode 9. Na tutaendelea na utaeatibu huo. Hapa itatolewa episode moja per week!!

Na kuhusu makala za Jamii Intelligence, zitaendelea but nitakuwa naweka makala moja kwa mwezi tofauti na kule kwenye group nitakuwa naweka makala kila weekend (makala za uchambuzi) na simulizi nitakuwa naweka episode 4 kwa wiki.

Mwisho,
Kama kuna mwenye maoni, naomba tujadili but naomba tutumie lugha ya staha.

Na kwa walio tayari, naomba uniPM namba yako au nitumie meseji whatsapp kupitia namba 0718 096 811


Asanteni!

The Bold.
The bold,

Kwanza nikushukru mkuu kwa namna unavyotoa elim,

Pili, nitoe maoni yangu kuhusiana na ulivyo sema hapo juu,

Kimsingi upo sahihi, changamoto kadhaa mhim kuzielewa,
1, kunawatu ni wapenzi Wa maandiko yako lakin hawapendi kujulikana kabisa wao ni nani na wanafanya mini,

2:ghalama yaweza kuwa sahihi, kwangu ila ikawa balaa kwa MTU mwingine hvyo itazame vzr,

3;nahisi kinawatu watakuwa wamekwazika kwa hili ila pia nimhim kutambua kuwa kipo kizazi ambacho hakitaki kujulikana...

Mwisho,

Hujatoa mwongozo hyo pesa inatolewa wakati gani kabla ya kujiunga au baada ya kujiunga,

Weka ufafanuzi ili pia wadau wajue, ...
 
The bold usishangae episode za kwenye group zote ukazikuta humu tena mtu kaanzisha na thread yake.. Hivyo ikawa group na thread yake viko episode inayolingana. Na hii yako ndio ikafia hapo kifo cha mende.
 
''It's time to blow your cover''....

Changamoto:

1. Kasimu kangu kana screen ndooogo ntakuwa nachungulia kwa taabu sana,

2. Group la whatsapp kwangu ni usumbufu mkubwa, linanichukulia muda mwingi sana. (Ulemavu wasimu utazidi kukomaa)

.....Pamoja na hayo, bure huwa hainogi. serikali yenyewe inatutoza kodi kutumia barabara tuzizojenga kwa kodi zetu...
 
The bold usishangae episode za kwenye group zote ukazikuta humu tena mtu kaanzisha na thread yake.. Hivyo ikawa group na thread yake viko episode inayolingana. Na hii yako ndio ikafia hapo kifo cha mende.
Nimejiandaa namna ya kudeal na hao manyang'au.. Si unajua mimi mwenyewe nina chembe chembe za Vipepeo Weusi.!!

Nafahamu hiyo changamoto but nimejiandaa kudili nao..
 
Mkuu na sisi Stuff tunalipia (jokes)

Ingawa usawa wa Magu unabana hakuna namna inabidi tukuunge tu mtu wetu na ni unafiq mtoto wa kiume kupenda vya bure kusubiria hapa JF mi nitakuja hukohuko ila kwa ghost number . Ila mkuu wasap situmiagi inabidi niweke tu kwa kuwa ni mchizi wangu(Ushauri wanawake wawe wengi kuliko wanaume maana si wengine ndio ulemavu wetu huo)
wewe mpambe wa Membe una mambo sana.
 
Habari wakuu,

Kuna wazo nalileta kwenu ili tulijadili..

Nimepata maoni ya watu wengi kuhusu namna bora ya kuendelea na hii simulizi ya Vipepeo Weusi: Mkakati namba 0034, pamoja na aina za thread ninazoandikaga Jamii Intelligence na nimekuwa natafakari na kufanyia kazi maoni hayo kwa muda sasa na baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na wazo hili;

Nimeonelea tuwe na "premium convo" huko PM hapa hapa JF kwa wale ambao wako tayari au tuwe na group ya whatsapp exclusively kwa ajili simulizi hii pamoja na simulizi nyingine ambazo nina mpango wa kuziweka.

Now, how is this going to work??

Katika hiyo convo/whats group nimelenga niwe naweka 4 episodes kila wiki za simulizi hii ya vipepeo weusi na kila weekend nitakuwa naweka Makala maalumu kama zile za kina D.B Cooper au Geranimo ambazo huwa naziweka Jamii Inteligence..

But.. Katika hii convo/whatsapp group kutakuwa na "subscription fee" kwa kila mwezi, na napendekeza iwe Tsh. 5,000/- kwa mwezi.

Lengo ni nini?

Lengo langu kuu kutaka kuweka utaratibu huu ni kama ifuatavyo;

1. Nadhani si dhambi The Bold walau akiwa na kijihela cha kununua juice atulize koo wakati anaandika hizi simulizi na makala. LOL

2. Kwa utaratibu huu ninaopendekeza nadhani walau simulizi itakuwa inaenda haraka so naamini itaisha haraka, maana kwa utaratibu huu wa sasa ambao tumekuwa tunaenda nao hii simulizi inaweza kuisha May/June.. Ila kwa utaratibu huu mpya nadhani ndani ya miezi miwili itakuwa imeisha.. Ziko simulizi nyingine mbili tamu sana natamani kushea nanyi ila nashindwa kwa kuwa hii bado inaendelea. Simulizi hizo moja inaitwa "La Ultima Letra (Herufi ya mwisho)" na nyingine inaitwa ZEO. Ni hadithi mbili matata sana..

3. Sababu yangu ya mwisho, ni kuweka muelekeo mzuri ili kuweza kujua kama kuna 'base' ya kutosha ili kuanza kutoa vitabu hapo miezi ya baadae mwaka huu.

Sasa, najua kuna maswli nitaulizwa! Na moja wapo ni hili; Je, simulizi hii ya Vipepeo Weusi itaendelea humu na je vipi kuhusu makala za Jamii Intelligence?

Jibu: Thread itaendelea humu ila itasimama kwa wiki moja ya kwanza (kuanzia Jumamosi) na ikirejea baada ya wiki hiyo moja, nitakuwa naweka episode moja kwa wiki.
Kwa lugha nyingine, kule kwenye group tunaweza tukawa tumefika episode 21 but huku kwenye huu uzi ikawa episode 9. Na tutaendelea na utaeatibu huo. Hapa itatolewa episode moja per week!!

Na kuhusu makala za Jamii Intelligence, zitaendelea but nitakuwa naweka makala moja kwa mwezi tofauti na kule kwenye group nitakuwa naweka makala kila weekend (makala za uchambuzi) na simulizi nitakuwa naweka episode 4 kwa wiki.

Mwisho,
Kama kuna mwenye maoni, naomba tujadili but naomba tutumie lugha ya staha.

Na kwa walio tayari, naomba uniPM namba yako au nitumie meseji whatsapp kupitia namba 0718 096 811


Asanteni!

The Bold.
Wazo zuri, mi napendekeza ungefungua Telegram channel, ambapo ni wewe pekee utakuwa na mamlaka ya ku post, sie members kazi itakuwa ni kusoma tu. Whatsapp changamoto za multi-chat zitatuondolea dhumuni kuu la kuburudika na maandishi ya The bold
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom