Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,723
- 15,366
Hahahaha hahahahUmezinduka ndotoni?
Hahahaha hahahahUmezinduka ndotoni?
Hahahahaaa! Shosti anakuharibia??Wapi kwingine lkn hny [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Hahaha aiseee hapo nmeelewaHahahahaaa! Shosti anakuharibia??
Alitakiwa aulize una wanaume wangapi ? NA SIO una wanaume wangapi kwenye huu uzi..?
Do you get the difference?
Hahahaaa!!
Wewe humu una wangapi?Ni vigumu sana kunielewa kama ni mmoja wao
wakat wa kusoma nipo peke yangureally hauna?
NimefatiliaUmeifatilia yote kweli ?? Make majukumu yalikuwa yamekutinga najua mama Bite wangu
Waorodheshe kabisa hapaWako wanne
Wako kwa kampeni atakayepatikana mshindi basi anachukua jimbo
C mnajijua ww nawe au una hasira sabab umekuwa kama DovutwaWaorodheshe kabisa hapa
Jana ulikuwa unaandika maruerue nikajua kwa umri wako itakuwa ni mkojo unakusumbua.Dogo hujambo!
Naona ndo unaamka now!
Hahahahah eti moyo sukuma damu kwani tangu unazaliwa ulikuwa unasukuma hewa[emoji3]
Msiukomandi moyo acheni ufanye kazi yake involuntary nyie mfuate kinachowajia[emoji2]
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji120] [emoji120]
Kama sita hiviWewe humu una wangapi?
Mie kwenye anga hizo huwa SIRUDI NYUMA ingawa huwa naangalia assurence ya ku successC mnajijua ww nawe au una hasira sabab umekuwa kama Dovutwa
sema neno.Asante The Bold ila hii episode ya 7 acha niwe bubu tu
Errrh! Wasalimie hao wapanga foleni mkuu..Kama sita hivi
Umefail mkuu! Kajipange uchaguzi mwingine...!Jana ulikuwa unaandika maruerue nikajua kwa umri wako itakuwa ni mkojo unakusumbua.
hahahahah acha tu fakalavasema neno.
mambo ya cheupe unayaweza?hahahahah acha tu fakalava