Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Yesu na maria ! Dada unafanya nini tena!

Si unajua ukoo wetu unataka vitu kama kina clkey..

Anhaaaaaaaa unafikiri na mimi nimesahau eeeeh?
Wewe si ulimuambia The bold utaniozesha kwake kwa mahari ya kipande cha hadithi? (Episode)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
leo nami nimejibu mapigo kwa kumpigia chaguo Johnson [emoji12]
 
Polee! Ila ukipenda Ua penda la boga lake...

Hapo nadhani umenielewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika...sina jinsi.
Na mpaka tumalize hii simulizi mbona nitakoma?
Maana kwa alivyoniambia ina episode not less than 50's!
Uwiiiiiii ndio kwanza tupo kwenye episode ya 8.

But it's okay...and am proud of at least nami nina kijimsaada [emoji4]
Safi sana kumsaidia Mr na pole kwahyo kazi
Asante mpendwa wangu
We aknowledge u [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Am humbled [emoji120]
 
Anhaaaaaaaa unafikiri na mimi nimesahau eeeeh?
Wewe si ulimuambia The bold utaniozesha kwake kwa mahari ya kipande cha hadithi? (Episode)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
leo nami nimejibu mapigo kwa kumpigia chaguo Johnson [emoji12]
Hahahhhaaaaaa! Loool!

Sasa wewe ungeambiwa umuache The Kichwa kwa kuwa ameshindwa kutoa mahari ungekubali....?

Speak your heart please!! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anhaaaaaaaa unafikiri na mimi nimesahau eeeeh?
Wewe si ulimuambia The bold utaniozesha kwake kwa mahari ya kipande cha hadithi? (Episode)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
leo nami nimejibu mapigo kwa kumpigia chaguo Johnson [emoji12]
Mahari kipande ya hadithi hahaha huna kaka aisee
 
Kuanzia episode ya sits hadi ya nane nitajieni post # na page # natumia simu jf app

Sikuzisoma wakuu


Cc The bold and jirani Nifah[emoji2]
Zote zipo kwenye page ya kwanza jirani.
Nenda kwenye post ya kwanza kabisa utakuta links za episodes zote kama unanawa.
Karibu [emoji4]
 
Hahahhhaaaaaa! Loool!

Sasa wewe ungeambiwa umuache The Kichwa kwa kuwa ameshindwa kutoa mahari ungekubali....?

Speak your heart please!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwakweli mimi The kichwa niko tayari hata bure anichukue lakini tatizo ni wale wazee wa kimasai [emoji24]

Na hivi Cheupe tena sijui itakuwaje jamani [emoji17]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom