Usiache kunitag na mie Nifah pliz..Uwiiiiiiii Mungu wangu Tag list mistress ndio naingia humu saa hizi!
Dah...haya ngoja nifanye yangu
Samahanini niliochelewa kuwatag...
Ambao sijawatag here we go
Thanx....be blessedTayari
shemeji hajambo? Hajaniweka kwenye tag list.Tayari
Hii imenikumbusha siku nimezinguana na mtoto wa kike wa mwenyenyumba apeleka Osterbay Police usiku, ndani ya cello jamaa wakataka niwasimulie tukio langu. nikawaambia "kuna tajiri nimezinguana naye, nimechinja mbwa wake live mbele yake" nikasikia jamaa mmoja anamwambia mwenzake "mwana, jamaa noma eti kamtia mbwa bisu la shingo" sikupata usumbufu wowote.
Hajambo broh...duuuuh nakuadd sasa hivi.shemeji hajambo? Hajaniweka kwenye tag list.
Hajambo broh...duuuuh nakuadd sasa hivi.
Tusameh bure.
teh teh teh... Noma kweli, unatakiwa uelezee tukio la hatari.hahahahaha walifikiri unaweza kuwatia bisu la shingo
Acha wivu mkeMtt mzur cheupe
Haya mai swthati lala salama
Duh we kibokoNafurahi kama unajua kuwa mmeniweka mtu kati ila tu nikufamishe mimi ni sterling wa kihindi napiga kijiji kizima then nasepa na wife
Kwani ulikuwa unasukuma kinyesiMoyo sukuma damu c vinginevyoooo akhaa

Duuuuu una majibu rafiki yangu aisee ila c mbaya tunatofautianaKwani ulikuwa unasukuma kinyesi![]()
Hahahahah eti moyo sukuma damu kwani tangu unazaliwa ulikuwa unasukuma hewaDuuuuu una majibu rafiki yangu aisee ila c mbaya tunatofautiana

UshaelewekaHahahahah eti moyo sukuma damu kwani tangu unazaliwa ulikuwa unasukuma hewa![]()
Msiukomandi moyo acheni ufanye kazi yake involuntary nyie mfuate kinachowajia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Baby ake!!Ushaeleweka
Yes hnyBaby ake!!