Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Inakuja wakuu.. Episode 7, lazima idondoke usiku huu huu..

Ila hakikisha uko na mwenzi wako pembeni, usije ukajiunga Chaputa bila kupenda..

Mimi hapa Nifah ameniganda ubavuni.! Anajua balaa la leo litakalosababishwa na hii episode..

Tuvute subira kidogo! Inadondoka ndani ya lisaa limoja..
Uhondo juu ya uhondo huwa siku zote burdan hupata kusoma maandishi yako keep it up
 
Mhhhhh. Haya The Bold nimekupata. Nimewamalizia utamu waliolala. Wakiamka kazi kwao. Nimefurahi kusoma mtu wa nane. Safi.
 
Damnnnn jambazi kuu na mimi ameanza fujo wacha nimuamshe bibi @CIkey hali ni mbaya,
Kwa style hyo mkuu usiende jela ooohhhhooo kule hakuna hayo mambo kule ukizubaa unaombwa ww (kidding)
Ila shukurani mkuu umekeep promise yako japo ni too late lakini nishakusamehe najua tatizo ni nini
goodnite The bold, Nifah
Baba Bite aisee jana nilitingwa nimemisi vitu kwa wakati wake ila The Bold weka mbali na watoto
 
"Please Ray,usiseme chochote just hold me tight (JUST HOLD ME TIGHT)
Nngejua nngeisoma jioni maana hali mbaya Ray na Cheupe wana makusudi sana mfyuuu zao
Ahsante mkuu The Bold
Hadi kamudi ka kazi kamepungua vimawazo vinawaza kwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom