madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,453
- 2,849
Tanzania ni high risk profile kwenye Covid19 kwa sababu tumeamua kuficha data.
Hakuna atakayependa kurisk afya yake kizembe.
Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi, Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au?
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe,
Hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao wala kutoa hifadhi wa wakimbizi kutoka kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Kuna baadhi watu wanajiita wa Tz lakn maneno na matendo yao yanaonesha siyo wenzetu kabisa, katika kila Nchi kuna changamoto zake za maisha , democracry, tofauti za kisiasa, lakini linapokuja suala la Taifa lako lazma uliongelee vzr , hata hyo Nchi unayoisifia kuwa hawana unafika wa matatzo kibak pengine kuliko Tz lakn huwez sikia wenzako wanaisema Nchi yao vibaya, kaka tubadilike .Kenyatta hapendi unafiki,, watanzania wengi tuna unafiki wa kuwango cha juu,,,
Haya hawajaja wanamchukia jiwe na oktoba watashiriki kumpigia kampeni Lisu!Bendera kupepea nusu mliongoti ni swala ambalo ni la makubaliano ya EAC na lipo kwenye muongozo. Uwe unafuatilia mambo kabla hujaandika.
Dah aisee, apa umeamua kufikiria kwa kina au umeongea tu, kwa hiyo furaha yako ni kutajiwa idadi ya Wagonjwa? au kupewa taarifa za walipoteza maisha?.Kuna wakati unaongea vitu vya maana, then kuna wakati unaongea UPOLOTO kama huu. Protokali gani hizo unazojua mwenzetu ambazo sie hatuzijui? It is this simple: hakuna Rais Mwenye akili timamu anayeweza kuzuru Tanzania muda huu. Nyie endeleeni kuficha takwimu za korona makalioni, mtakapotengwa na kila mtu ndio mtagundua kuwa kuficha tatizo kunaweza kuzua tatizo kubwa zaidi ya unaloficha.
Mkuu ebu nitajie shida mbili zilizotokeaKwenye shida ndipo utapi mjua yupi rafiki yupi mnafiki.
Kwahiyo ndiyo maana wamebaki kwaoKagame, Museven walitangaza siku tatu za maombolezo na bendera nusu mlingoti. Sema jingine
Aisee sio mchezo.
Aisee sio mchezo.
Deligation ya Kenya leo imefika mpaka JNIA alafu ndege yao ikageuza tatizo sijui lilikuwa nini. Wamesema wataitolea statement hiyo issueKwahiyo ndiyo maana wamebaki kwao
Oh kumbe the issue has already been reported.
Kwani wewe umerudi toka Kenya?Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.
Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Haya ni mawazo yako, ushirikiano kati ya nchi na nchi ni jambo kubwa kuliko msiba. Hivi mtu kama ametuma salamu za rambirambi na kupepea bendera ya nchi yake nusu mlingoti kwa siku tatu bado haitoshi tu?
Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi, Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au?
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe,
Hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao wala kutoa hifadhi wa wakimbizi kutoka kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Wametuma wawakilishi.
Nimeona bendera zao pia zinapepea nusu mlingoti.
Sasa hivi maisha ni NIPE NIKUPEInawezekana mkuu wa Kaya Ana ushawishi unakumbuka alivyo kufa Pierre awakwenda na akwenda
Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.
Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Hero gani asiyetambulika?Ila hata nchi nyingine za Afrika tulizoshiriki kuzikomboa? Labda Corona imezuia. Hivi kule kwa Burundi hakuna Marais wa Africa walihudhuria? Anyway tumeshafiwa na our Hero tunaoumia ni sisi.