Ukiondoa taifa la America na baadhi ya mataifa ya ulaya, wengi wa viongozi wakuu wa taifa mbali mbali wang'angania kuilaumu Israel kwa uisambaratisha Hamas. Sasa israel inajipanga kuivamia RAFAH na bado viongozi wa kiarabu ,UN ,Afrika waniona israel kama nchi mbaya sana.
swali ni je israel ndiyo ilienda kuwachinja wapalestina tarehe 7 october 2023?
kama wangeshinikiza hamass kuwaachia huru mateka wa kisraeli ,kungekuwepo ahuweni kubwa sana kwa watu wa gaza kuliko kuwaacha wakiteseka pale Rafah
ulimwengu hauwatakii mema watu wagaza.kabla ya tarehe 7octyober 2023,waliishia kwa amani hata kama yamkini yalikuwepo manyanyaso kutoka israel ,lakini si kwa kiwango hichi tunachokishuhudia.watu zaidi ya 27000 wakufa.
unataka mateka wa gaza 10,000 waachie ,then una exchange na wafu 27000? very stupid
unang'ang'ania mateka wa israel 130 una exchange na watu wako vifo 27000?kukosa akili ni shida kwa kweli.hasira haisadia bali hukaa kifuani mwa mpumbafu. HAMAS ni wapumbafu kiwango cha kutisha
swali ni je israel ndiyo ilienda kuwachinja wapalestina tarehe 7 october 2023?
kama wangeshinikiza hamass kuwaachia huru mateka wa kisraeli ,kungekuwepo ahuweni kubwa sana kwa watu wa gaza kuliko kuwaacha wakiteseka pale Rafah
ulimwengu hauwatakii mema watu wagaza.kabla ya tarehe 7octyober 2023,waliishia kwa amani hata kama yamkini yalikuwepo manyanyaso kutoka israel ,lakini si kwa kiwango hichi tunachokishuhudia.watu zaidi ya 27000 wakufa.
unataka mateka wa gaza 10,000 waachie ,then una exchange na wafu 27000? very stupid
unang'ang'ania mateka wa israel 130 una exchange na watu wako vifo 27000?kukosa akili ni shida kwa kweli.hasira haisadia bali hukaa kifuani mwa mpumbafu. HAMAS ni wapumbafu kiwango cha kutisha