Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,105
Kwa siku za hivi karibuni kumeibuka changamoto ya akaunti nyingi za Facebuku kutumika kama platfom ya picha za ngono.
Utafiti mdogo unaonyesha ukitaka kutambua mtazamaji wa picha chafu kagua akaunti zao kwani wamewekewa ads za Facebuku akaunti kurahisisha watu wengi kuvutiwa na kujiunga.
Kama nawewe umeona matangazo haya kwenye facebuku ya mtu maarufu tusaidie kumwambia hii tabia ya sirini imekuja nuruni hivyo aache kabisa kutazama mambo machafu.
Ila pia inabidi tuyasome masharti ya huu mtandao kuona ni namna gani wanaweza kushtakiwa kwa kuruhusu picha za uchi kusambaa mitandaoni na hivyo kuathiri hata watoto wadogo.
Utafiti mdogo unaonyesha ukitaka kutambua mtazamaji wa picha chafu kagua akaunti zao kwani wamewekewa ads za Facebuku akaunti kurahisisha watu wengi kuvutiwa na kujiunga.
Kama nawewe umeona matangazo haya kwenye facebuku ya mtu maarufu tusaidie kumwambia hii tabia ya sirini imekuja nuruni hivyo aache kabisa kutazama mambo machafu.
Ila pia inabidi tuyasome masharti ya huu mtandao kuona ni namna gani wanaweza kushtakiwa kwa kuruhusu picha za uchi kusambaa mitandaoni na hivyo kuathiri hata watoto wadogo.