Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

Operation chaos ya kitoto. Zitto alishakuja hapa na kusema kuwa yeye kama kiongozi na mwanachadema anapaswa kushauri na kuelekeza, hakuna mtafaruku wowote baina ya msimamo wa mbowe kama mwenyekiti na ushauri wa Zitto
CCM wanahaha pamoja na mateka wao inabidi wauziwe propaganda yeyote kutoka kwa yeyote.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hivi ofisi ya Zitto na ya Slaa zipo kwenye umbali mkubwa kiasi gani? Dr. Slaa ni katibu mkuu na Zitto ni Naibu katibu mkuu. Hivi kulikuwa na sababu yoyote ya msingi ya Zitto kumwandikia barua Dr. Slaa? Kwanini hakwenda kuongea naye in person au asubiri vikao ambavyo yeye ni mmoja wa wapangaji wake ili atoe hilo pendekezo? CHADEMA hakuna utaratibu wa vikao vya dharura vya viongozi wakuu wa chama? Kwani hakuomba kikao cha dharura, na hasa kwa jambo kubwa kama hili?

Na kwanini barua ilivuja? Mbowe amegundua kwamba Zitto anataka kuwachezea akili. Na wanataka wamwonyeshe kwamba hawanunuliki kirahisi hivyo kwa pesa za mafisadi. Zitto anatakiwa atulize akili kidogo katika utendaji wake wa mambo. Asitafute sana kuonekana.

Nakuunga mkono kwa ulichokisema pia ninaongezea kitu hapa, ile Barua ilivujishwa na ZITTO mwenyewe kwani barua ile aliichapa yeye mwenyewe alipoiprint aliisaini na kipereka kwa katibu wake mkuu na akaamua kuiprint nyingine na kuifanyia scanning na kuipost na amefanya hivi makusudi kwani anajua angepeleka hoja yake kwa mdomo wapambe wake wasingejua huu upuuzi wake hivyo akaamua kutumia barua, Pia katika ile barua yake ametoa tishio la kuchukua uamuzi mgumu chama kisipotekeleza tamko ambalo ni la kijinga kwa mwanasiasa mkomavu kama yeye, Kitu kingine Mwigulu amesema ile video alipewa na kiongozi wa CDM ambaye yupo tayari kutoa ushahidi mahakamani kitu ambacho ninamuhisi ZITTO kwa 70% ndiyo anayetajwa.
 
Katika hali ya kushitua,Mh:mbowe akiongea na wanachi na wanachama wa chadema hii leo Ubungo plaza amesema
Hali ya kushtua iliyokukuta wewe na wenzako mliotarajia Mh Mbowe(kwa niaba ya chama) angetoa maelezo tofauti na mlivyokuwa mkitarajia?chadema hakiongozwi na maoni ya watu JF kwenye kutoa maamuzi.Na wapenzi au wafuasi wa chadema kusupport chama kwenye maamuzi yoyote yanayofikiwa kichama chini ya Mwenyekiti wake kwasababu yatakuwa na malengo yenye nia ya nzuri na manufaa kwa chama.Mkuu Taswira inawezekana una hisia au mapenzi kwa baadhi ya viongozi wa chadema na sio mapenzi kwa chadema kama chama cha siasa.kumbuka viongozi wote walioko chadema,wenye umaarufu na wasio na umaarufu ni timu moja ya CHADEMA.Taswira uwezo wako wa kushawishi na uelewa wako ni mdogo sana Mkuu.be blessed!
 
Nani na nani wametofautiana hapo?zitto alitoa maoni yake binafsi kabla ya kujua msimamo wa chama,mbowe kaweka wazi msimamo wa chama(zitto akiwa naibu katibu)shida iko wapi?

Ikumbukwe pia kua baada ya kila mtu kutoa maoni yake (including Mbowe kusema Lwakatare awajibike) ndio chama kikaja na kauli moja, na leo hii wote wanaongea kwa sauti moja. Zitto mwenyewe kasema he aligns with the party decision
 
Swala la kumtosa au kutomtosa Lwakatare lilikuwa ni swala la ndani ya ofisi za CHADEMA.

Viongozi wa CHADEMA wanapotoka nje na kuanza kulipigia kelele kwenye majukwaa inaashiria kuna sintofahamu kubwa kati yao viongozi ambayo inaakisi picha kutoka kwa wananchi.

Matamko kama haya yanaashiria misuago kati yao wanaigeuza kuwa mapambano baina yao kwa wananchi kuhusiana na maamuzi.
 
Zitto hana maamuzi, vikao ndo vyenye maamuzi. Full stop!

Unajua tatizo kuu la CHADEMA ni kwamba wanamuwinda Zitto kila kona. Wakati barua ilipovuja, walicharuka humu JF wakitaka Zitto aje kuthibitisha. Mimi niliwaambia jukumu la kuthibitisha si la Zitto bali ni la CHADEMA. Wakang'ang'ania Zitto aje mpaka mapovu yanawatoka. JF wakawasiliana na Zitto na yeye akaikana ile barua hewa lakini akathibitisha kwamba kweli aliandika barua na wamejadili hayo kwenye kikao cha chama na hakuna lililoharibika. Sasa leo hii walewale waliokuwa wanatoka povu kumtaka Zitto aje athibitishe wanaanza kulaumu kwamba hakutakiwa ajibu yeye kwani yeye sio Chama. Ili mradi tu Zitto asipumuwe. Wanamuwinda kila kona.

Vilevile kwa umakini wa Zitto, sidhani kama aliamua kusema yale aliyoyasema bila kupata baraka za CHADEMA. Labda iwe kwenye muendelezo huohuo wa kutegeana ili watafute mahala pa kummalizia.

Kweli hiki chama ni chama cha magumashi sijapata kuona.
 
wasira na sitta ni wenyeviti au makatibu wakuu wa chama gani? TUMIA FIKRA HURU , mwanadamu aliumbwa HURU jifungue minyororo ya kuataka watu wafikiri kwa niaba yako.
Mkuu naona mods wameitendea haki ile Id yako nyingine ya Kitalekwa na hii umekula ban. Pole mkuu vumilia utatoka.
 
Last edited by a moderator:
Hili linajulikana.

Tatizo ni kwamba Mzee Edwin Mtei ndiye anayeamua nani awe mwenyekiti.

Kwa sasa anamataka Mbowe na option yake ya pili ni Godbless Lema.

Kutokana na hiyo option yake ya pili, mimi naona ni bora Mbowe tu aendelee kuwa mwenyekiti kuliko kumkabidhi chama Godbless Lema kwa sababu movie itakuwa ndio imeshaisha na itaisha vibaya mno...

Yaani katika viumbe wa ajabu wewe umo. Siku zote wewe na Chadema,Slaa na Mbowe tuu. Hivi huwezi kuzungumzia mambo ya kujenga chama chako CCM? Au post hizo hazina posho? Ndugu yangu nikuambie kitu kimoja, heshima yako imeshuka sana. Binadamu anayetetea uhayawani hana tofauti na hayawani.
 
Kimbunga ninakuheshimu sana. How much have they paid you to post this piece of shit!
Mkuu usiseme nimelipwa kiasi gani onyesha mapungufu ya post kwa hoja. Hayo ni maoni yangu kwa jinsi ninavyofuatilia siasa hapa nchini. Niambie udhaifu wa post ili uemdelee kuniheshimu. kukimbilia kusema umelipwa kiasi gani nashindwa kuelewa na kulipwa na nani ati?
 
mleta uzi unaonekana wewe ni kiazi sana. Kwani kuna tatizo gani hapo?

Yale yalikuwa ni mapendekezo ya zitto na si uamuzi wa chama. Sasa kuna shidagani kama zitto alitoa ushauri na chama kikasema hapa?

Kwani nilazima kila kitu anachosema zitto chama kiaafiki? Kila mtu anamtazamo wake, hata mbowe mwenyewe alikuwa na mtazamo tofauti na hiki alichokisema leo, lakini yote hayo yanaletwa kwenye kikao yanajadiliwa!

Uache utoto na ushabiki wa kijinga.

hapo ndo inadhihirisha kweli chadema ni chama cha mbowe ndo mana yeye anataka mawazo yake ndo yafanye kaz kuliko yawengine
 
Hivi ofisi ya Zitto na ya Slaa zipo kwenye umbali mkubwa kiasi gani? Dr. Slaa ni katibu mkuu na Zitto ni Naibu katibu mkuu. Hivi kulikuwa na sababu yoyote ya msingi ya Zitto kumwandikia barua Dr. Slaa? Kwanini hakwenda kuongea naye in person au asubiri vikao ambavyo yeye ni mmoja wa wapangaji wake ili atoe hilo pendekezo? CHADEMA hakuna utaratibu wa vikao vya dharura vya viongozi wakuu wa chama? Kwani hakuomba kikao cha dharura, na hasa kwa jambo kubwa kama hili?

Na kwanini barua ilivuja? Mbowe amegundua kwamba Zitto anataka kuwachezea akili. Na wanataka wamwonyeshe kwamba hawanunuliki kirahisi hivyo kwa pesa za mafisadi. Zitto anatakiwa atulize akili kidogo katika utendaji wake wa mambo. Asitafute sana kuonekana.

Barua ndio taratibu za kiofisi.
 
Mbowe alisema ikidhihirika Lwakatare amerekodi basi awajibishwe.

Imedhihirika kuwa ni KWELI Lwakatare alirekodiwa na Tundu Lissu anamjua mpaka aliyemrekodi Lwakatare. Mbowe huyohuyo anawaambia kuwa sasa asiwajibishwe.

Hii ni kwa sababu Mbowe kashajua kuwa vijana mnalaghaika kirahisi.

Usilaghaike - Uamuzi ni wako...
Alichosema Mbowe ni kwa niaba ya chama. yawezekana kabisa huo sio msimamo wake binafsi.
 
Udini Na Ubinafc Ndo Unao Msumbua Mbowe,kwanza Tangu Lini Muuza Hotel Akawa Kiongoz Wa Chama
 
Kimbunga ninakuheshimu sana. How much have they paid you to post this piece of shit!
Mkuu usiseme nimelipwa kiasi gani onyesha mapungufu ya post kwa hoja. Hayo ni maoni yangu kwa jinsi ninavyofuatilia siasa hapa nchini. Niambie udhaifu wa post ili uemdelee kuniheshimu. kukimbilia kusema umelipwa kiasi gani nashindwa kuelewa na kulipwa na nani ati?
 
Udini Na Ubinafc Ndo Unao Msumbua Mbowe,kwanza Tangu Lini Muuza Hotel Akawa Kiongoz Wa Chama

Akili za kijuha alichokisema cha udini ni kipi?huwez kusema mambo paspo tafti zozote kwani viongoz waliopo wa ccm wamesoma ni matajiri na maskini wamo lakini nchi wameifkisha wapi?ingelikuwa matatzo ya taifa hili yanasababishwa na kutokuwa na viongoz wasomi, hapo ningekuelewa,nchi hii kwa sasa inahtaji viongoz wazarendo tu bila kujari ana elimu gani.
 
Mie nilikuwepo ubungo
plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili
mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi!
Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze
chama,ni mtupu ajabu

Mkuu,
Sasa wewe unaingia saa 6, saa 8 tayari umetoka, sasa ulienda kufanya nini mle GAMBA wewe? Au ndo mambo yenu ya kuchakachua? maana term hii kulikuwa na kiingilio, ulipokamatwa umeingia free ikabidi utoke kwa aibu?
CHADEMA itajengwa na wanaCHADEMA. MAmbo ya cdm yaacheni.
 
Back
Top Bottom