Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

Swala la kumtosa au
kutomtosa Lwakatare lilikuwa ni swala la ndani ya ofisi za CHADEMA.

Viongozi wa CHADEMA wanapotoka nje na kuanza kulipigia kelele kwenye
majukwaa inaashiria kuna sintofahamu kubwa kati yao viongozi ambayo
inaakisi picha kutoka kwa wananchi.

Matamko kama haya yanaashiria misuago kati yao wanaigeuza kuwa mapambano
baina yao kwa wananchi kuhusiana na maamuzi.

MwanaDiwani:
Viongozi wa cdm kutoka na kuongea na wananchi juu ya msimamo wa chama juu ya sakata la Rwakatare ni move nzuri.
Wanachi wanastahili kujua msimamo wa chama juu ya mambo yanayohusu chama chao.
Inapopatikana nafasi ya kukutana na wananchi inatumika kufikisha ujumbe.
 
Unajua tatizo kuu
la CHADEMA ni kwamba wanamuwinda Zitto kila kona. Wakati barua
ilipovuja, walicharuka humu JF wakitaka Zitto aje kuthibitisha. Mimi
niliwaambia jukumu la kuthibitisha si la Zitto bali ni la CHADEMA.
Wakang'ang'ania Zitto aje mpaka mapovu yanawatoka. JF wakawasiliana na
Zitto na yeye akaikana ile barua hewa lakini akathibitisha kwamba kweli
aliandika barua na wamejadili hayo kwenye kikao cha chama na hakuna
lililoharibika. Sasa leo hii walewale waliokuwa wanatoka povu kumtaka
Zitto aje athibitishe wanaanza kulaumu kwamba hakutakiwa ajibu yeye
kwani yeye sio Chama. Ili mradi tu Zitto asipumuwe. Wanamuwinda kila
kona.

Vilevile kwa umakini wa Zitto, sidhani kama aliamua kusema yale
aliyoyasema bila kupata baraka za CHADEMA. Labda iwe kwenye muendelezo
huohuo wa kutegeana ili watafute mahala pa kummalizia.

Kweli hiki chama ni chama cha magumashi sijapata kuona.

CCM ndo mnaomuwinda ZITTO, lengo lenu mumchonganishe na viongozi wenzake katika hili LENGO LENU KUBWA NI KUONA CDM INAANGUKA hili limeshajulikana ndani ya cdm. Zito mwenyewe keshasema TUSHIKAMANE WANACHADEMA, vita ni kubwa kwa sasa.
 
Yani wewe ndio mtoto kabisa!
Kwa hiyo mmeanza kumuita muuza hotel? Kama wewe Abdilah Salim si mtoto tuoneshe udini wa mbowe!
Udini Na Ubinafc Ndo Unao Msumbua Mbowe,kwanza Tangu Lini Muuza Hotel Akawa Kiongoz Wa Chama
 
Last edited by a moderator:
Katika hali ya
kushitua,Mh:mbowe akiongea na wanachi na wanachama wa chadema hii leo
Ubungo plaza amesema

'Eti nashangaa kuna watu wanataka CHADEMA kimuache Lwakatare na
kumsimamisha uongozi kwa uzushi uliopandikizwa na CCM, Hilo
halitafanyika' - Mwenyekiti wa Chadema Kamanda Freeman Mbowe.

IKUMBUKWE siku chache zilizopita naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto
Kabwe alitoa mapendekezo ya kuomba Mshitakiwa mkuu kwenye kesi ya Ugaidi
ambaye ni Ndugu rwakatale mkuu wa usalama wa chadema awajibike kisiasa.
Kuwajibika kisiasa ni pamoja na kuachia ngazi ya ukurugenzi wa usalama
ili kupisha uchunguzi salama na kukiacha chama salama. Pia Lwakatare
chama kijichunguze na shutuma zinazokikabili huku Lwakatare akiwa nje ya
ulingo wa viongozi waandamizi wa chadema.

Hata hivyo katika hali ya kustaabisha barua ya zitto ilivuja wakati
Zitto anadai ilikuwa ni barua ya siri kati yake na ofisi ya katibu mkuu
wa chadema.

SASA
Kauli ya Mbowe hii leo kumkana zitto (kauli) mbeye ya wanachama wa
chadema inaleta sura gani ndani ya chadema?

Je inadhihirisha hata ile barua ya mapendekezo ya Zitto ilivujishwa kwa
maksudi kama njia ya kumpinga zitto?

Au kauli ya Mbowe ya leo inamkingia kifua katibu mkuu kutowajibika kwa
kuvujisha barua kwa sababu barua haikubebe ujumbe wenye maana kwa chama
na Lwaktare?

acha fitina wwe
 
fanyeni kazi ninyi adui wa chadema kwani nchi hii ina matatizo mengi kuliko kuongelea mambo ya chadema. kuna mataizo ya elimu, mikataba mibovu, afya, mfumuko wa bei, mauji ya usalama wa taifa, wananchi kukata tamaa, migogoro ya ardhi udini n.k. kazi ya chama cha upinzani ni jicho la pili kikatiba kuikosoa serikali na kuweka mawazo mbadala. wapinzani wasipofanya hivyo na wao tutawajibisha kwa kutotimiza wajibu wao.
 
pamoja na heshima kwa mbowe lakini kwa sasa afanye apumzike, siasa za sasa zinahitaji uongozi wa vijana wasomi , afanye apumzike sambamba na slaa wabaki kuwa washauri

Mbowe na Slaa wanawasumbua sana Magamba kwa kuwa hawanunuliki, hawana shida na utajiri wana nia ya dhati ya kuwakomboa Watanzania 2015. Sasa nyie na video yanu feki na uongozi wa kisanii endeleeni kupoteza muda kwa siasa za majitaka.
 
Huyu mbowe in mtu hat air sana. Mona analamba matapishi take? In majuzi tu ametoka kusema Kuwait Lwakatare lazima awajibike kutokana na video ole iWeb kwa makusudi au uzembe

Hueleweki we Zombi,ni makorokocho.
 
Akili za kuazima ni mzigo kwa anayeazimwa kwani uzitumia kulingana na matakwa ya aliyeazimwa.

Wewe kama,sio wa Kilimanjaro basi wa Arusha na kama siyo wa Arusha basi wa Manyara yani nyinyi Slaa na Mboe wakianzisha dini wakisema mmoja wao ni mungu na mungine mtume mtakubali kama wafuasi Wakibwetere.kudadadeki!!!!
 
Akili za kuazima ni mzigo kwa anayeazimwa kwani uzitumia kulingana na matakwa ya aliyeazimwa.

Wewe kama,sio wa Kilimanjaro basi wa Arusha na kama siyo wa Arusha basi wa Manyara yani nyinyi Slaa na Mboe wakianzisha dini wakisema mmoja wao ni mungu na mungine mtume mtakubali kama wafuasi Wakibwetere.
 
Mie nilikuwepo ubungo plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi! Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze chama,ni mtupu ajabu

PIMBI @work
 
Katika hali ya kushitua,Mh:mbowe akiongea na wanachi na wanachama wa chadema hii leo Ubungo plaza amesema
'Eti nashangaa kuna watu wanataka CHADEMA kimuache Lwakatare na kumsimamisha uongozi kwa uzushi uliopandikizwa na CCM, Hilo halitafanyika' - Mwenyekiti wa Chadema Kamanda Freeman Mbowe.

IKUMBUKWE siku chache zilizopita naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe alitoa mapendekezo ya kuomba Mshitakiwa mkuu kwenye kesi ya Ugaidi ambaye ni Ndugu rwakatale mkuu wa usalama wa chadema awajibike kisiasa. Kuwajibika kisiasa ni pamoja na kuachia ngazi ya ukurugenzi wa usalama ili kupisha uchunguzi salama na kukiacha chama salama. Pia Lwakatare chama kijichunguze na shutuma zinazokikabili huku Lwakatare akiwa nje ya ulingo wa viongozi waandamizi wa chadema.

Hata hivyo katika hali ya kustaabisha barua ya zitto ilivuja wakati Zitto anadai ilikuwa ni barua ya siri kati yake na ofisi ya katibu mkuu wa chadema.

SASA
Kauli ya Mbowe hii leo kumkana zitto (kauli) mbeye ya wanachama wa chadema inaleta sura gani ndani ya chadema?

Je inadhihirisha hata ile barua ya mapendekezo ya Zitto ilivujishwa kwa maksudi kama njia ya kumpinga zitto?

Au kauli ya Mbowe ya leo inamkingia kifua katibu mkuu kutowajibika kwa kuvujisha barua kwa sababu barua haikubebe ujumbe wenye maana kwa chama na Lwaktare?

Kwenye hili la Lwakatare bora Zitto angekaa kimya,
 
(((Katika hali ya kushitua,Mh:mbowe akiongea na wanachi na wanachama wa chadema hii leo Ubungo plaza amesema
'Eti nashangaa kuna watu wanataka CHADEMA kimuache Lwakatare na kumsimamisha uongozi kwa uzushi uliopandikizwa na CCM, Hilo halitafanyika' - Mwenyekiti wa Chadema Kamanda Freeman Mbowe.)))


Hii sio namna mwanasia makini anavyotakiwa kuzungumza, Kinachonoshangaza kwanini hawa Viongozi wa Chadema wanapenda kuanika chupi zao hadharani, they have their own board and offices, si wayazungumzie haya mambo katika privacy yao na kusawazisha mambo. hebu imagine wakisha serekali, si wataendesha kazi zote za kiserekali kwenye magazeti. Sasa hii imezidi na inaonyesha picha mbaya sana. Ushauri wangu wote hawa wanastahili kuachia ngazi ugomvi wao utaua chama
 
Hivi ofisi ya Zitto na ya Slaa zipo kwenye umbali mkubwa kiasi gani? Dr. Slaa ni katibu mkuu na Zitto ni Naibu katibu mkuu. Hivi kulikuwa na sababu yoyote ya msingi ya Zitto kumwandikia barua Dr. Slaa? Kwanini hakwenda kuongea naye in person au asubiri vikao ambavyo yeye ni mmoja wa wapangaji wake ili atoe hilo pendekezo? CHADEMA hakuna utaratibu wa vikao vya dharura vya viongozi wakuu wa chama? Kwani hakuomba kikao cha dharura, na hasa kwa jambo kubwa kama hili?

Na kwanini barua ilivuja? Mbowe amegundua kwamba Zitto anataka kuwachezea akili. Na wanataka wamwonyeshe kwamba hawanunuliki kirahisi hivyo kwa pesa za mafisadi. Zitto anatakiwa atulize akili kidogo katika utendaji wake wa mambo. Asitafute sana kuonekana.

Mkuu Lukolo , Narudia kukwambia na nitazidi kuyasema haya kila siku.
Zitto na akina Mwampamba / Shonza wanaongea Lugha Moja.
Mbowe ameshastukia na CDM inachokifanya ni More the Rights, wanakwenda nae Taratibu Mpaka mwenyewe aseme basi.
Unajua Techinique ya Kumfuka Mwizi Kimya Kimya??? atafika kipindi yeye mwenyewe tu atapiga Kelele
 
Last edited by a moderator:
Mtoa maada, mbona unarudia rudia mambo kama kasseti iliyoharibika? Zitto aliishatoa uzi kuelezea kila kitu! Hukuelewa?
 
Finaly mtajua Mwigulu yuko smart kiasi gani. Watatofaitiana mpaka lakini kajamaa kalishawambia msitafute mchawi nendeni kanisa lililokaribu au msikiti mkatubu dhambi ya mauaji. Then mkawaombe radhi watanzania
 
Chadema kipo makini kuliko usalama wa taifa,kuliko serekali ya ccm na ccm yenyewe....wametukoza sasa wametupa nguvu na hali ya kufanya kazi acha ccm wakae na upumbavu wao.....(Dr.Slaaa(rais wangu wa rohoni)alinenea hayo.
 
hata mimi namshangaa huyu jamaa kwani hata kule walikokomaa katika ugaidi sijasikia kwamba mmoja akitajwa kuhusika na jambo fulani awajibike na kutoshwa na kundi lake, tumeona hata OSAMA mpaka alipouawa na wamarekani ndio nafasi yake ilichukuliwa na mtu mwingine na sasa wanafanya shughuli zao huko duniani na katika maeneo mengine wakiendelea kama vile somalia (alshabaab), mali (tuareg), pakistan na afghanistan (twalaban) na kwingine duniani.
tuache uchunguzi wa hao waliopewa majukumu hao uendelee na mahakama kutoa hukumu hapo ndio utakuwa mwisho wa lwak, ludov na kundi lao. ila kinyume chake wataendelea kuwa watu wema katika jamii na kundi lao...... ila tujue kuwa samaki mmoja ...........................................
 
Back
Top Bottom