Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

Huyu mbowe in mtu hat air sana. Mona analamba matapishi take? In majuzi tu ametoka kusema Kuwait Lwakatare lazima awajibike kutokana na video ole iWeb kwa makusudi au uzembe
 
Zitto ni mmoja wa virusi vinavyotafuna cdm, mh. Mbowe yuko sahihi, na hata ningekuwa mm ningesema hivyohivyo.

Unleash au kirusi kikubwa, Slaa am aye hat air take in zaidi ya kirusi kinachosababisha ugonjwa wa ukimwi
 
kweri we mgonjwa tena sana haisee zito si jana tu kasema msimamo wake ndio huwo wa chama na msemaji ni Lisu sasa sijui nikubanwa haja kubwa au kuwashwa?????????

kumbukeni zito hana nafasi ndani ya chadema ila anashindwa namna ya kutoka watammaliza kwa kuwa anajua mabo mengi yaliyomo cdm hivyo akitoka ile sumu lazima imfuate tena
 
Kwanza ngojea niLale

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
wewe utakuwa mtu wa kijiweni hujui kuwa Ofisi zinazungumza kupitia hati ( documents) hata bosi na secretary wake huzungumza kwa njia ya maandishi, ofisi ya chama cha siasa tofautisha na saloon ya kunyoa ndevu ambayo maelekezo yanaweza kutolewa hata kwa ishara ya kunyanyua kidevu cha anaenyolewa, Zitto kuongea kwa njia ya karatasi ndio mfumo sahihi we hujaona hata Lwakatare wakati anamfundisha Ludovic hutumia karatasi
The good thing ni kwamba hapa JF hatujuani! Kwahiyo nielewe hivyohivyo kwamba mimi ni mtu wa kijiweni.
 
Yule dogo hapati jani kweli?

Uhuru Muigai Jommo Kenyatta mtoto wa Mama Ngina, Rais wa Jamhuri ya Kenya na Rais wa zamani wa Amerika waliwahi kupata hii kitu.

Mkuu mmeishakigundua kirusi ambacho ni andamizi chamani?
 
Uhuru Muigai Jommo Kenyatta mtoto wa Mama Ngina, Rais wa Jamhuri ya Kenya na Rais wa zamani wa Amerika waliwahi kupata hii kitu.

Mkuu mmeishakigundua kirusi ambacho ni andamizi chamani?

Bahati mbaya kirusi cha sasa hivi kinaheshimika sana ndani ya Chadema.
 
kumbukeni zito hana nafasi ndani ya chadema ila anashindwa namna ya kutoka watammaliza kwa kuwa anajua mabo mengi yaliyomo cdm hivyo akitoka ile sumu lazima imfuate tena

Mkuu unasemaje kwamba Zitto hana nafasi wakati yeye ni Naibu Mtendaji MKuu wa Chama? Kama ana shida ndani ya chama na hataki kutoka si mmfute tu? Mbona mmemfuta Makamo Mwenyekiti wa BAVICHA? Utake usitake Zitto ana ngivu kubwa sana CHADEMA. Najua CHADEMA imewaandaa vijana ili kumfunika Zitto lakini wote wameshindwa kuvivaa viatu vya Zitto katika nyanja ya kisiasa kwa vijana hapa nchini. CHADEMA ina vijana wengi lakini hawawezi kujenga hoja kama za Zitto. Zitto akiibuka na hoja iwe ndani ya Chama ama ndani ya Bunge lazima itikise. Wengine wamejaribu kila siku kuja na hoja lakini mwishowe zinaishia hewani ila za Zitto zinakuwa na impact kubwa kwa jamii na Taifa kwa ujumla. Anajenga hoja murua hadi karibia kuiangusha serikali. Ni nani anamkaribia Zitto katika kujenga hoja kwa vijana wa CHADEMA? Zaidi zaidi wanaishia kutukana badala ya kujenga hoja. wakitukana wanaonekana mashujaa!!
 
Msimamo wa chama ndio msimamo wangu-zitto

sasa sijui nani katofautiana na mwingine?
 
Mkuu kuna sehemu kwenye ile barua ameandika ''...wakipuuza atafanya maamuzi magumu''
Ukichunguza vizuri hayo maneno nadhani unapata kitu kama uko makini vya kutosha.

Kuna kitabu changu cha hekima kwenye Biblia nakipenda sana kinaitwa Methali, 27:21 (b) kinasomeka hivi ''Mtu hujaribiwa na sifa apokeazo''

wewe utakuwa mtu wa kijiweni hujui kuwa Ofisi zinazungumza kupitia hati ( documents) hata bosi na secretary wake huzungumza kwa njia ya maandishi, ofisi ya chama cha siasa tofautisha na saloon ya kunyoa ndevu ambayo maelekezo yanaweza kutolewa hata kwa ishara ya kunyanyua kidevu cha anaenyolewa, Zitto kuongea kwa njia ya karatasi ndio mfumo sahihi we hujaona hata Lwakatare wakati anamfundisha Ludovic hutumia karatasi
 
Mbowe ana siri nzito anailinda wanachama zindukeni Chama kina kufa
 
Nani na nani wametofautiana hapo?zitto alitoa maoni yake binafsi kabla ya kujua msimamo wa chama,mbowe kaweka wazi msimamo wa chama(zitto akiwa naibu katibu)shida iko wapi?

Eti nashangaa kuna watu wanataka CHADEMA kimuache Lwakatare na kumsimamisha uongozi kwa uzushi uliopandikizwa na CCM, Hilo halitafanyika . hapo ndio wametofautiana
 
kumbukeni zito hana nafasi ndani ya chadema ila anashindwa namna ya kutoka watammaliza kwa kuwa anajua mabo mengi yaliyomo cdm hivyo akitoka ile sumu lazima imfuate tena

Kwani imeisha thibitika kwamba ndo kirusi chenyewe? jamani JF siku hizi ule moto wetu wa 'where we dare to talk openly' vipi? Ama ile habali ya dentist na nailst? asiye na ganzi imetuogofya?
 
Mkuu unasemaje kwamba Zitto hana nafasi wakati yeye ni Naibu Mtendaji MKuu wa Chama? Kama ana shida ndani ya chama na hataki kutoka si mmfute tu? Mbona mmemfuta Makamo Mwenyekiti wa BAVICHA? Utake usitake Zitto ana ngivu kubwa sana CHADEMA. Najua CHADEMA imewaandaa vijana ili kumfunika Zitto lakini wote wameshindwa kuvivaa viatu vya Zitto katika nyanja ya kisiasa kwa vijana hapa nchini. CHADEMA ina vijana wengi lakini hawawezi kujenga hoja kama za Zitto. Zitto akiibuka na hoja iwe ndani ya Chama ama ndani ya Bunge lazima itikise. Wengine wamejaribu kila siku kuja na hoja lakini mwishowe zinaishia hewani ila za Zitto zinakuwa na impact kubwa kwa jamii na Taifa kwa ujumla. Anajenga hoja murua hadi karibia kuiangusha serikali. Ni nani anamkaribia Zitto katika kujenga hoja kwa vijana wa CHADEMA? Zaidi zaidi wanaishia kutukana badala ya kujenga hoja. wakitukana wanaonekana mashujaa!!
Kimbunga ninakuheshimu sana. How much have they paid you to post this piece of shit!
 
Wana JF heshima kwenu wakuu !!

Ukweli utabaki pale pale " Haijawahi na haitatokea akili ndogo kuongoza akili kubwa" .

Kwa mtizamo wangu Kamanda wa anga Mh. Mbowe alikuwa anawajibu Magambaz kwani hao ndo wanao piga kelele kila kukicha ati " CHADEMA ikitaka iwe salama the only option ni kumpotezea kamanda Lwakatare". Nachelea kusema matarajio yao yamegonga mwamba kwani CHADEMA ni chama kinacho ongozwa na viongozi makini, kina wanachama makini, kina wapenzi makini, kina wapambanaji makini, kina makamanda makini, na hivyo basi hakiwezi endeshwa na akili ndogo ya maCCM.
 
Back
Top Bottom