CCM ndo mnaomuwinda ZITTO, lengo lenu mumchonganishe na viongozi wenzake katika hili LENGO LENU KUBWA NI KUONA CDM INAANGUKA hili limeshajulikana ndani ya cdm. Zito mwenyewe keshasema TUSHIKAMANE WANACHADEMA, vita ni kubwa kwa sasa.
....Mkuu maswali ya msingi yako mengi...inategemea upande uliopo...wa utetezi... au....wa mashtakaBandiko lililoenda shule kwa kuchanganua mambo kwa kina na kuuliza maswali ya msingi. Shukurani Mkuu Lukolo.
Mbowe alisema ikidhihirika Lwakatare amerekodi basi awajibishwe.
Imedhihirika kuwa ni KWELI Lwakatare alirekodiwa na Tundu Lissu anamjua mpaka aliyemrekodi Lwakatare. Mbowe huyohuyo anawaambia kuwa sasa asiwajibishwe.
Hii ni kwa sababu Mbowe kashajua kuwa vijana mnalaghaika kirahisi.
Usilaghaike - Uamuzi ni wako...
Mimi ninavyojua lwekatare bado ni mtuhumiwa na anastahili haki zake zote mbele ya sharia,CDM awawezi kumuhukumu sasa kabla ya mahakama,ndio maana mh zitto katoa maoni kuwa chama kifanye uchunguzi wake wa dani alafu ikibainika hatua stahiki zipo,kwa sasa mh mbowe alichosema ndio yaliyofikiwa katika vikao ndani ya chadema,ndani ya chadema kuna wasomi wakubwa na maamuzi yote yanafikiwa baada ya majadiliano wapo akina prof safari,dr kitilya,tindu lissu,marando,zitto jamani hawa watu na wengine wengi ndani ya kamati kuu awaburuziki
Kwani mtu kujiuzuru ni kuadhibiwa?
Mbona Lowassa aliwajibika wakati akiwa "mtuhumiwa"?
Kwani mtu kujiuzuru ni kuadhibiwa?
Mbona Lowassa aliwajibika wakati akiwa "mtuhumiwa"?
Mkuu tofautisha ishu ya lowasa na lwekatare,lowasa tayari bunge lilimtia hatiani kwa kushindwa kuwajibika na kuisababishia serikali kuingia katika mkataba tata,tena bunge likaagiza na wengine nao wachukuliwe hatua za kinidhamu,ila kamati kuu ya ccm baadaye ikamsafisha kwa kusema kuwa hakuwa na hatia yoyote ila aliwajibika kisiasa kulinda heshima yake na chama chake(je,wewe unaamini ni kweli?)lakini mh lwekatare yeye ameshitakiwa mahakamani,kwa kosa la jinai,wakati ukifika atawajibika tu kwa kuiacha nafasi aliyonayo katika chama.kwa sasa akifanya hivyo italeta tafsiri mbaya kwa jamii,pia na chama pia.Pia katika hali ya kawaida ata kama mahakama itamkuta hana hatia ni lazima ataondoka kwani anakosa credibility ya kuwa mkuu wa usalama katika chama